tag:blogger.com,1999:blog-83432529258526070042024-03-14T05:55:55.918+03:00 SHAKEEL INVESTMENT KWA HABARI ZA SIASA MICHEZO NA BURUDANI UNGANANASI MUDA WOTE
KAMA HUNA HABARI UNAWEZA TUTUMIA KUPITIA shakeelshabani@gmail.com na kama ni msanii unataka kazi zako zitambulike kwa watu wengi pia unaweza tutumia kwa anuani hiyo hapo Unknownnoreply@blogger.comBlogger783125tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-88457821668823059612022-10-04T14:16:00.001+03:002022-10-04T14:16:43.035+03:00MEYA KINONDONI AWATAKA WATANZANIA KUFANYA MAZOEZI TIBA<p> </p><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjps_T1qn9ZwLzqitGhgO7XXpDTNlZXfKpjpUpiktemBkJ4VofSSuGVrvOzcqNpWT6kdnx8qlCfhBjYQsYzkbGr14L6Jpb6WVkTXyqYAeUPWVRZHGtRCScUAQkzvOrlGXY6KJ4q75HYSuAZZJ1EPWYcqqnhybj5Ly5BngoxWRcBUCB2YMrd8b-_lKfjnw/s1040/309150323_1130838951172235_3890044960814026419_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="780" data-original-width="1040" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjps_T1qn9ZwLzqitGhgO7XXpDTNlZXfKpjpUpiktemBkJ4VofSSuGVrvOzcqNpWT6kdnx8qlCfhBjYQsYzkbGr14L6Jpb6WVkTXyqYAeUPWVRZHGtRCScUAQkzvOrlGXY6KJ4q75HYSuAZZJ1EPWYcqqnhybj5Ly5BngoxWRcBUCB2YMrd8b-_lKfjnw/w640-h480/309150323_1130838951172235_3890044960814026419_n.jpg" width="640" /></a></div><b><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></b><p></p><p></p><p style="text-align: left;"></p><p class="MsoNormal"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;"><span style="color: #2b00fe;">Meya Kinondoni<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Awataka Watanzania<span style="mso-spacerun: yes;"> Kufanya</span> Mazoezi tiba.</span><o:p></o:p></span></b></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">MEYA wa
Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Songoro Mnonge ameiasa Jamii ya
Kitanzania kuwa na desturi ya kufanya mazoezi<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>tiba angalau mara moja kwa wiki kwa manufaa yako mwenyewe.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Songoro
aliyasema hayo alipoalikwa kuwa Mgeni rasmi wakati wa sherehe za maadhimisho ya
mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa Taasisi ya Mazoezi tiba ya Kisiwani Clinic
Centre(KCC) yenye makazi yake Mwananyamala Kinondoni jijini Dar es Salaam
ambayo sherehe zake za kutimiza mwaka mmoja zilifanyika mwishoni mwa wiki
Viwanja vya CCM ,Mwinjuma Mwananyamala Dar es Salaam.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Songoro
aliipongeza KCC kwa juhudi inazozifanya za kusaidia jamii kwani wanaisadia
Serikali kupunguza gharama za matibabu kwa wagonjwa wa magonjwa yasiyoambukizwa
na Serikali imeliona hili.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Aidha Meya
Songoro alimuomba Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni ambaye pia alihudhuria
sherehe hizo kuwa mwakani watenge bajeti ya shughuli zinazofanywa na jamii kwa
kujitolea kama hizi naye kama Meya atazisimamia kuhakikisha zinapitishwa kwa
maufaa ya jamii badala ya vikundi kuchangishana.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Songoro
alimaliza kwa kuwapongeza KCC kwa kazi kubwa waliyoifanya<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>ya kukusanya umati mkubwa wa kuhamasisha
jamii kufanya mazoezi tiba na kuimba jamii basi ihamasike kweli kwani kauli
mbiu ya maadhimisho haya kila mmoja inamhamasisha kweli afanye mazoezi kwani ni
dhahili “Afya yako mtaji wako” ni kauli mbiu nzuri bila afya bora huwezi kuwa
na manufaa kwa jambo lolote kwenye familia yako mpaka jamii inayokuzunguka.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Nae Mganga
Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni alitoa shukrani kwa taasisi ya kujitolea ya KCC
kwa kazi kubwa ya kukuzanya umati wa zaidi ya 2000 kuhamasisha jamii kufanya
mazoezi kwa kauli mbiu ya “Afya yako Mtaji wako”<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Pili
aliahidi kushirikiana na KCC pamoja na vikundi vingine vya kusaidia jamii
vyenye mlen go kama KCC Daima katika zoezi dhima la kuisaidia jamii kuondokana
ama kupunguza magonjwa yasiyoambukiza.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Laiza
alimaliza kwa kuahidi kushirikiana na Taasisi kwa kuwakilisha bajeti za vikundi
kama KCC ili kupunguza maumivu ya vikundi kuchangishana ili kufanya hamasa ya
kusaidia jamii ifanye mazoezi kwani tutakuwa tunaisaidia Serikali kufunguza
Madawa ya kuhudumia Wagonjwa kadhaa wa magonjwa yasiyoambuza.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Nae mratibu
wa maadhimisho ya sherehe za mwaka mmoja wa KCC, Michael Machela<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>alishukuru kwa shughuli zote kufanyika kwa
usalama na kwa kufana , ambapo maadhimisho yalihudhuliwa na vikundi vya Jogging
43 vyenye idadi ya Wanachama 25 mpaka 35 kila kikundi.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Lakini pia
kulikuwa na Wananchi ambao walifuata huduma za matibabu mbalimbali zilizoalikwa
katika maadhimishi hayo ambapo kulikuwa na JK Muhimbili ambao walikuwa wanatoa
huduma za Magonjwa ya Moyo, Ocean Road wenyewe walikuja na huduma ya Saratani
ya Mlango wa kizazi kwa kina Mama, Saratani ya Matiti kwa kina Mama na Saratani
ya Tezi Dumea kwakina Wanaume, KAM wenyewe walikuja na huduma ya Kinywa na
Manispa ya Kinondoni kupitia Hospitali ya Magomeni na Mwananyamala walikuja na
huduma ya Macho, Sukari, Shinikizo la damu, kupima uzito, kuchangia damu pamoja
na ushauri wa kitaalamu.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Kwa ujumla
maadhimisho ya Kisiwani Clinic Centre yalihudhuliwa na Watanzania zaidi ya 2500
kutoka kona zote za jiji la Dar es Salaam.<o:p></o:p></span></p><br /><p></p><p></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-51811253533330128462015-12-18T11:55:00.002+03:002015-12-18T11:58:59.967+03:00MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015<div style="text-align: center;">
<img src="http://www.necta.go.tz/images/necta-logo.png" height="400" width="400" /> </div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<div style="text-align: left;">
<span style="font-size: large;"> Jumla ya wanafunzi 503,914 kati ya 518,034 waliofaulu mtihani wa
kumaliza elimu ya msingi,wamechaguliwa kujiunga na kidato cha
kwanza,katika shule za sekondari za serikali katika awamu ya
kwanza.Idadi hiyo ni sawa na asilimia 97.3 ya wanafunzi waliofaulu na
wenye sifa ya kujiunga na kidato cha kwanza</span></div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
<div style="text-align: left;">
<span style="font-size: large;"> </span><a href="http://necta.go.tz/matokeo/xyx_xxx123/psle.htm" target="_blank">Bofya hapa KUONA MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015</a> </div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-5488964379219968392015-12-11T14:28:00.001+03:002015-12-11T14:28:42.765+03:00Video Mpya : Belle 9 – Burger Movie Selfie<img alt="http://www.hassbabytz.com/wp-content/uploads/2015/12/Belle-9-Burger-Movie-Selfie.png" class="transparent" src="http://www.hassbabytz.com/wp-content/uploads/2015/12/Belle-9-Burger-Movie-Selfie.png" /><br />
<br /><iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/nEgBQBNeYDQ" width="560"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-25828815994854314702015-11-27T17:07:00.001+03:002015-11-27T17:07:09.347+03:00 KAMISHNA MKUU WA TRA, RISHED BADE ASIMAMISHWA KAZI<img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12299222_1374271809253900_8041583806275429008_n.jpg?oh=56b3317c35fab4b0674321dd890ddbd7&oe=56EEC19D" style="height: 426px; width: 640px;" /> <br />
<br />
<span class="fbPhotosPhotoCaption" data-ft="{"tn":"K"}" id="fbPhotoSnowliftCaption" tabindex="0"><span class="hasCaption"> KAMISHNA MKUU WA TRA, RISHED BADE ASIMAMISHWA KAZI<br /> <br />
<span style="font-size: large;">Rais Dk Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa mamlaka ya mapato
Tanzania ( TRA) Rished Bade na kumteua Philiph Mpango kukaimu nafasi
hiyo<br /> <br /> Taarifa kutoka ikulu zimesema kuwa uamuzi huo wa Rais
Magufuli umefuatia ziara ya waziri mkuu bandarini iliyobaini upotevu wa
makontena 349.<br /> <br /> Aidha Rais Magufuli amemtaka Rished Bade kutoa ushirikiano kwa Philiph Mpango wakati uchunguzi ukiendelea.</span></span></span>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-61761578504903505602015-03-28T13:55:00.000+03:002015-03-28T13:55:53.681+03:00VIDEO MPYA YA Diamond Platnumz ft Khadija Kopa - Nasema Nawe ( Official Music Video ) <iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/moE_dXt6-CQ" width="560"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-6716458115902444762015-03-23T13:10:00.001+03:002015-03-23T13:10:22.688+03:00Mtoto awa mfungwa nyumbani kwao<br />
<br />
<br />
<img alt="" class="js-image-replace" src="http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/22/150322233135_mtoto_njaa_512x288_bbc_nocredit.jpg" /> <br />
<span class="media-caption__text"> Mtoto muathirika wa utesaji nyumbani
</span><br />
<br />
<br />
<div class="story-body__introduction">
<span style="font-size: large;">Picha ya kushtusha imeachiliwa kwa
ulimwengu hivi karibuni picha inayomuonesha mtoto mdogo mwenye umri wa
miaka mitano aliye kondeana ,aliyetelekezwa katika sehemu ya chini ya
nyumba yao ,aliyefungiwa na kuachwa afe njaa na familia yake.</span></div>
<div class="story-body__introduction">
<br /></div>
<span style="font-size: large;">Tammi
Bleimeyer,mwenye umri wa miaka 33,na mumewe Bradley,mwenye miaka 24,
wameshtakiwa kwa kosa la kuhatarisha uhai wa mtoto wao baada ya kumkuta
mtoto huyo akiwa katika hali dhoofu katika majira ya baridi ,kitongoji
cha Harris, huko Texas.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Askari aliye fanikisha kupatikana kwa
mtoto huyo Mark Herman,amesema kwamba amefanya kazi ya polisi katika
kipindi cha miaka thelathini lakini hajawahi kushuhudia tukio lanamna
hii.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Askari huyo anasema wamemkuta mtoto huyo katika hali mbaya
ana njaa kali,amekondeana,amevilia damu mwilini kama aliyekuwa akipigwa
ama kupitia mateso makali na ngozi yake ilionekana kama imeachana na
mifupa ,ilikuwa ni hali ya kutisha sana kumwona mtoto katika hali hiyo.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Bradley
alikuwa akibishana na mtoto huyo wa kambo mwenye umri wa miaka kumi na
sita aliyekuwa akiwataka wazazi wa mtoto huyo kuacha kumfungia mtoto
wako katika chumba cha chini ya ardhini nyumbani mwao .</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Na polisi
walipofika nyumbani hapo waligundua chumba kidogoo,chini ya nyumba hiyo
kikiwa kimefungwa na godoro tu ndani yake na mtoto aliyeketi juu ya
godoro ,ingawa mama wa kambo wa mtoto huyo alimtorosha baada ya kujua
kwamba polisi wanamfuatilia, na kumkuta katika chumba cha hoteli na
kumfuatilia hatimaye kumchukua mtoto huyo na kumpeleka hospitalini kwa
matibabu.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Ingawa mpaka mtoto huyo anafikishwa hospitalini, sababu
za kufungiwa kwa mtoto huyo hazikufahamika mara moja ,na wazazi wa mtoto
huyo wamekataa kuzungumzia tukio hilo .</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Baba wa mtoto huyo
anashikiliwa na polisi kuhusiana na tukio hilo, na mtoto wake bado
amesalia hospitalini kwa matibabu zaidi katika hospitali ya watoto
iliyoko mjini Texas .</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">chanzo na <a href="http://www.bbc.co.uk/swahili/habari" target="_blank">http://www.bbc.co.uk/swahili/habari</a></span>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-85783729897711718382015-03-23T11:39:00.002+03:002015-03-23T11:39:32.906+03:00HUYU NDIO MWENYEKITI MPYA WA PAC KAMATI ALIYOKUWA ANAIONGOZA ZITTO KABWE<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/11083613_1614096995492112_8854170880405433733_n.jpg?oh=e0fb0e361f32a893485aa44edf6b3487&oe=55B853DF&__gda__=1437654356_24c336a74eadd4d513bbced61e9b45a2" width="640" /><br />
<br />
<br />
<span style="font-size: large;"> Kamati ya Bunge ya
Ukaguzi wa Mashirika ya Umma (PAC), imemchagua Mhe. Amina Mwidau (MB)
kuwa Mwenyekiti mpya wa kamati hiyo kuchukua nafasi ya Mhe. Zitto Kabwe
ambaye si mbunge tena.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;"> Mhe. Mwidau ni Mbunge wa Viti Maalum wa <a class="profileLink" data-hovercard="/ajax/hovercard/user.php?id=100002318417622" href="https://www.facebook.com/Afisautafiti">Chama Cha Wananchi</a>
CUF kutoka mkoa wa Tanga, ni msomi mwenye stashahada ya Diplomasia ya
Biashara, Shahada ya Biashara na Shahada ya Uzamili ya Biashara.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">TUNAMTAKIA KILA LA KHERI KATIKA NAFASI YAKE HII </span><br />
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-75008557949514363792014-12-01T14:32:00.000+03:002014-12-01T14:32:02.514+03:00VIDEO MPYA YA Lady jaydee ft Dabo Forever (Official Video HD/2k/4k) <img src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2013/12/LadyJayDee.jpg" height="425" id="irc_mi" style="margin-top: 32px;" width="640" /><br />
<br />
<br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="315" src="//www.youtube.com/embed/ua9orsQHvoI" width="560"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-29811205105045670892014-12-01T14:20:00.004+03:002014-12-01T14:20:53.667+03:00EMERSON ASAINI YANGA RASMI LEO<img align="left" border="0" class="caption" src="http://youngafricans.co.tz/images/stories/emerson.jpg" title="Kiungo mbrazil Emerson De Oliviera Neves Roque (kushoto) akisaini mkataba leo wa kuitumikia klabu ya Young Africans, kulia ni Afisa Habari wa klabu Baraka Kizuguto" />Kiungo mbrazil Emerson De Oliviera Neves Roque (kushoto) akisaini
mkataba leo wa kuitumikia klabu ya Young Africans, kulia ni Afisa Habari
wa klabu Baraka Kizuguto <br />
<br />
<span style="font-size: large;">Kiungo Emerson De Oliveira Neves Roque leo amesaini mkataba wa mwaka
mmoja kuitumikia klabu ya Young Africans baada ya benchi la ufundi
kuridhika na uwezo wake,na mchezaji mwenyewe kufikia makubaliano hayo ya
kuwatumikia watoto wa Jangwani.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Baada ya kufanya mazoezi kwa siku nne mfululizo chini ya makocha
Marcio Maximo, Leonardo Neiva na makocha wazawa Salavatory Edward,
Shadrack Nsajigwa kwa pamoja wameridhiswa na uwezo wake na kuomba apewe
kandarasi la kuitumikia klabu ya Young Africans.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Emerson aliyekua
akichezea katika timu ya Bonsucesso iliyopo daraja la pili kwenye jimbo
la Rio de Janeiro anachukua nafasi ya mshambuliaji Geilson Santos "Jaja"
ambaye ameshindwa kureje nchini kutokana na matatizo ya kifamilia na
kuomba klabu ya Young Africans imuache.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Kocha wa Young Africans
Marcio Maximo amesema wamerizishwa na uwezo na kiungo mkabaji Emerson na
kusema ataisaidia timu katika michuano mbali mbali ya Ligi na
Kimataifa. </span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Ujio wa Emerson unafanya klabu ya Young Africans
kufikisha jumla ya wachezaji watano wa kimataifa, wengine wakiwa ni
Mbuyu Twite, Haruna Niyonzima, Hamis Kizza na Andrey Coutinho. </span><br />
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-84084365902455768152014-11-20T16:23:00.000+03:002014-11-20T16:23:27.238+03:00HII NDIO VIDEO MPYA YA DIAMOND NTAMPATA WAPI?<img class="irc_mut" height="609" src="" style="margin-top: 0px;" width="640" />
<iframe width="853" height="480" src="//www.youtube.com/embed/gFu2wjQMM0Q?list=UUev-b-xy-p5fHK8x3zJyn1Q" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-10807361623649277642014-10-22T12:13:00.004+03:002014-10-22T12:13:45.394+03:00Vyanzo: Sakata la Diamond kuvaa sare za jeshi, Babu Tale ashikiliwa na polisi, Kamanda wa polisi azungumza <img alt="Vyanzo: Sakata la Diamond kuvaa sare za jeshi, Babu Tale ashikiliwa na polisi, Kamanda wa polisi azungumza " itemprop="image" src="http://timesfm.co.tz/content/uploads/2014/10/22/cache/Diamondd_full.jpg" /><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Kufuatia tukio la Diamond Platinumz kuonekana akiperform na sare
zinazoaminika kuwa za jeshi la Wananchi (JWTZ), imeelezwa kuwa jeshi la
Polisi limemshikilia meneja wa Diamond, Babu Tale na inaelezwa kuwa
alilala selo.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichokuwa katika eneo la kituo cha
polisi cha Osterbay, Dar es Salaam jana (October 21), Babu Tale
alifikishwa katika kituo hicho ambapo maafisa kadhaa wa jeshi na polisi
walionekana katika eneo hilo.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Chanzo hicho kimeeleza kuwa Uongozi wa Diamond ulipewa muda wa
kujieleza kabla ya saa mbili asubuhi, October 21 lakini haukufanya hivyo
na ndipo hatua hiyo ikachukuliwa.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Haijafahamika bado kwa nini jeshi la Polisi lilimshikilia Babu Tale
peke yake bila Diamond lakini vyanzo vimeeleza kuwa mwanamuziki huyo
yuko safarini.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Hadi habari hii inaenda hewani, namba ya simu ya Babu Tale ilikuwa haipatikani.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Tovuti ya Times Fm imeongea na kamanda wa polisi wa mkoa wa kipolisi
wa Kinondoni, Dar es Salaam, Camillus Wambura ambaye amesema bado
hajawasiliana na kituo cha Osterbay kuhusu suala hilo na hajapata
taarifa kwa kuwa kesi hiyo inachunguzwa na iko chini ya mkuu wa
upelelezi wa Mkoa.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">“Mimi ninachojua kuwa suala hilo liko chini ya uchunguzi. Habari ya
kushikiliwa watu na nini bado sijafahamu. Najua tu suala hilo liko
chini ya uchunguzi na linafanyiwa uchunguzi. Hiyo ni kesi ambayo iko
chini ya mkuu wa upelelezi wa Wilaya, chini ya mkuu wa upelelezi wa
Mkoa. Kwa hiyo sijapokea taarifa ya uchunguzi huo ulipofika.” Ameiambia
tovuti ya Times Fm.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Akijibu kuhusu taarifa za uongozi wa Diamond na Diamond kupewa muda wa kujieleza, Kamanda Wambura alijibu:</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">“Uchunguzi unafanywa huko. Kwa sasa hivi sina taarifa hiyo nina mambo
mengi sana. Kwa hiyo kwa sasa hivi uchunguzi unafanywa chini ya Mkuu wa
Upelelezi wa Mkoa. Kwa hiyo sijapata nafasi ya kujua wamefikia wapi
katika uchunguzi wa suala hilo,”ameongeza kamanda Wambura.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Mapema wiki hii, jeshi la wananchi Tanzania lilitoa taarifa kwa vyombo vya habari likipiga marufuku raia kuvaa sare za jeshi.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">chanzo na <a href="http://timesfm.co.tz/" target="_blank">http://timesfm.co.tz</a> </span>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-88965098184590635742014-10-21T12:03:00.003+03:002014-10-21T12:03:47.764+03:00Mwanariadha Oscar Pistorius ahukumiwa kwenda jera miaka 5<br />
<br />
<br />
<br />
<img alt="" class="js-image-replace" height="359" src="http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/17/141017112755_oscar_pistorius_512x288_reuters.jpg" width="640" /><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.<br /><br />Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya mauaji bila ya kukusudia.<br /><br />Jaji aliyetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo itaridhisha pande zote kwenye kesi hiyo.<br /><br />Upande wa mashitaka ulitaka mwanariadha huyo kupewa kifungo cha miaka 10 gerezani baada ya kupatikana na makosa ya kuua bila kukusudia.<br /><br />Pistorius alisema kuwa alifyatua risasi baada ya kudhani kuwa jambazi alikuwa amevamia nyumba yake.<br /><br />Upande wa mashitaka ulisisitiza Pistorius afungwe jela wakati wakili wa Pistorius wakimtaka jaji ampe kifungo cha nyumbani cha miaka mitatu na pia apewe usaidizi na ushauri wa kubadili tabia yake.<br /><br />Jaji alisema kuwa Pistorius asingepewa adhabu ya kifungo cha nyumbani kwani hukumu kama hiyo ingekuwa hatua mbaya na mfano mbaya kwa wahalifu.</span>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-72220247662680392652014-10-08T17:51:00.004+03:002014-10-08T17:51:51.983+03:00KENYATTA AKIWA UHOLANZI<img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/1146642_927356820626205_1065944080174289055_n.jpg?oh=34dac6a568519024636c21e865bab29d&oe=54CD84C5" style="height: 435px; width: 582px;" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" src="https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10672305_927358087292745_706926540174577274_n.jpg?oh=88581c2a88d3a9cd7fca24bfeb1cbfcd&oe=54AC3F54&__gda__=1420820010_6ee586a9879a4d9aa24f63d86c527bf1" style="height: 438px; width: 582px;" /><br />
<br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10418927_927358147292739_7840519245182512683_n.jpg?oh=99dea9af5aa435fb76722b9a6767a615&oe=54C42BD0" style="height: 503px; width: 582px;" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10645267_927358310626056_6491849202064363318_n.jpg?oh=d6633ccc5d95d48e52ed8ec61aa45458&oe=54CDABC0" style="height: 478px; width: 582px;" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/1964838_927358680626019_8100484805777546334_n.jpg?oh=9e4b36e81ecce9a47cf42da6a01d7601&oe=54B1BE72" style="height: 597px; width: 501px;" /><br />
<br />
<br />Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-36815826509726318812014-10-08T17:47:00.000+03:002014-10-08T17:47:32.670+03:00 Lady JayDee kushirikiana na Oriflame wamefanikiwa kutoa mchango wa kununulia madawati shule ya msingi Bugoyi ilioko mkoani Shinyanga. <div class="aboveUnitContent">
<div class="userContentWrapper">
<div class="_wk">
<span style="font-size: large;"><span class="userContent"><div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
Oriflame
kushirikiana na Lady JayDee tumefanikiwa kutoa mchango wa kununulia
madawati shule ya msingi Bugoyi ilioko mkoani Shinyanga. <br /> <br /> <br /> Awamu nyingine ya pili nitaitoa mimi binafsi mwezi January, 2015.<br /> Kwaajili ya ujenzi wa vyoo na nyongez<span class="text_exposed_show">a ya madawati. .<br /> Mungu Ibariki Tanzania. <br /> <br /> Ni mimi mtumishi wenu <br /> JIDE</span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"> </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"><img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10712836_10152331023895025_7667605478545012209_n.jpg?oh=f9ff89affc38a44ad27572bd56ba608d&oe=54AA95BA" /> </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"> huu ni mfano wa cheki ya kiasi walichotoa</span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"><img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10639530_10152331023980025_8558391575522152452_n.jpg?oh=5bf15f3d31985dc4cad0de9646f4ac38&oe=54C3A45C" /> </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"> </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"><img alt="" class="spotlight" src="https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10659370_10152331024180025_1252133418929574062_n.jpg?oh=96b3fd5572e7e3491666f1312f190e29&oe=54C01636&__gda__=1420850019_9564d13bbd85afee8cb42775bd45be52" style="height: 327px; width: 582px;" /> </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"> </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"><img alt="" class="spotlight" src="https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10415586_10152331024330025_4451601659710830801_n.jpg?oh=915c1a309395c29e056ad2d539f714ed&oe=54B2F9BB&__gda__=1422618797_5ea28a045aa3d3c0a7e7f704bd10762b" style="height: 327px; width: 582px;" /> </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"> </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show">Tunapenda kumpongeza Lady JayDee na tunamtaka kuendelea na moyo huu huu wa kuwakumbuka wanafunzi </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"><br /></span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show">Pia wanamuziki wengine sio mbaya kuiga mfano huu sio kushindana kuzungusha tu kwenye meza </span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"><br /></span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show">hongera sana Jide</span></div>
<div class="text_exposed_root text_exposed" id="id_54354ce77d6fe3899762194">
<span class="text_exposed_show"> </span></div>
</span></span> </div>
</div>
</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-37884043812509788202014-09-19T16:41:00.000+03:002014-09-19T16:41:36.333+03:00MCHEKI RAIS KENYETTA AKIWA AMEJICHANGANYA NA RAIA WAKE MITAA YA WATU WA KIPATO CHA CHINI AKIWA NDANI YA JINSI NA FULANA<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10653554_915881821773705_7897484130304964006_n.jpg?oh=61dad136eb455f48ee795bacbc2092d9&oe=548C4D9A&__gda__=1422551586_03a4ad67d498c8830f70ba17bcd7ec80" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10710888_915881848440369_1795791429629149580_n.jpg?oh=686198992e8dbfe4228ae61b5b59554a&oe=54C8B8B4&__gda__=1418127490_b53fabcec4119105042904874bea6861" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10422091_915881865107034_7082242681234357093_n.jpg?oh=aa01166e94ef5fad9f2697f1bc9dddc5&oe=5498DBBB&__gda__=1418263299_67785d1233ab356bb3ebf5f8120b50e6" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10337693_915881915107029_955127183788547268_n.jpg?oh=a2994b14189699224d8ec19c2a1f11e1&oe=548604CC" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10482522_915881948440359_6445291484734075032_n.jpg?oh=1e7515f8c637c5bc0f956a69c5f36556&oe=548C8C42" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/10632594_915881978440356_3195148439382763678_n.jpg?oh=032e536441ebb0fa973ade2755112f36&oe=548F075C" width="640" /> <br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/l/t1.0-9/1601370_915882035107017_4592425473625876544_n.jpg?oh=5ef84a3e101c37458bcca2a669504124&oe=548E3EFB" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/1601345_915882061773681_4708726843519715792_n.jpg?oh=b733cd19f5915efc61baf88aae5cb48e&oe=54CC783F&__gda__=1419253825_19106522f2da6b024334ae5f4b7f47de" width="640" /> <br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/1395146_915882091773678_9144130945454633403_n.jpg?oh=303a7cb4bdd8439c45aba4f6e8e46b63&oe=54978BAF" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10314614_915882111773676_5752513644714758141_n.jpg?oh=2e6866707a15adb64a33da8b4c213b78&oe=548A8640&__gda__=1418756508_ac63dd2786d7379a61da4fd8fa04ccb7" width="640" /> <br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10626665_915882138440340_1324872954985253560_n.jpg?oh=83d05bb81689b0a82c4492d6f23e4237&oe=5488F0DA&__gda__=1417894995_ef1ca286339638eeebff709b136bb229" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10696297_915882178440336_6957077961477582877_n.jpg?oh=6358994eefa6ba0bb7cb89eac2d814b1&oe=5491F800&__gda__=1422611932_d1316f431e9f436507154ade37989722" width="640" /> <br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/10592694_915882208440333_7891678836014711255_n.jpg?oh=6c6d7006398445c84a9811d82ed8358c&oe=5496B0CC&__gda__=1422329766_a3cb769332dfd02f5c76c91b8400adb1" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1459673_915882241773663_4108357658359082479_n.jpg?oh=c7e53b5fee558af17d049a43712b9bea&oe=54CF1836&__gda__=1422905190_d87c84217c0ba0f3d47f35c4966b4620" width="640" /><br />
<br />
<img alt="" class="spotlight" height="426" src="https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10696397_915882278440326_6968299385501252156_n.jpg?oh=60094a12d49927a76858a0e323066373&oe=548452C8" width="640" /><br />
<br />
NA HUU NDIO UJUMBE WAKE<br />
<br />
<span style="font-size: large;"><span class="userContent">Today I was in Kibera slums to launch the
clean-up of informal settlements by the National Youth Service. I was
conducted on an inspection tour of the works by more over 600 servicemen
and women helping clear blocked drainage and collecting<span class="text_exposed_show">
garbage to help improve sanitation. 3,000 young men and women in Kibera
will be engaged in the sanitation programme by NYS where part of their
wages will be saved into a fund to enable them continue with income
generating activities after programme ends. The the clean-up programme
will be rolled out to other areas to improve on sanitation in all parts
of the country</span></span> </span>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-2743559445646134532014-09-15T14:33:00.001+03:002014-09-15T14:33:54.229+03:00Prof jay ft Diamond Kipi SijasikiaProf jay ft Diamond Kipi SijasikiaUnknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-27033200683638656372014-09-05T16:32:00.002+03:002014-09-05T16:36:47.566+03:00MUANGALIE RAIS WA KENYA AKIWA KATIKA MAVAZI YA KIJESHI HUWEZI MJUA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<span style="font-size: x-large;">Usiseme Rais Mtukufu sema Commander in Chief of the Defence forces..Very Social President. </span></div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<br /></div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
</div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/l/t1.0-9/10612731_785573898147627_1244861836802040449_n.jpg?oh=aed23dfe1a4d0013248168433c48cf2f&oe=5499E953" style="height: 597px; width: 399px;" /> </div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
UHURU KENYATTA</div>
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<img alt="" class="spotlight" src="https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10600514_785573858147631_2504028838690524763_n.jpg?oh=b3c35b561c9f14a43555d95f4621deb1&oe=54A8DBA7&__gda__=1415264790_c18d3eed3d81686aad88c29a1bf8d349" /> </div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<br /></div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<img alt="" class="spotlight" src="https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10653675_10152767200104497_3776328655084562655_n.jpg?oh=8ff62555cbbff1d6cd272ed6865a6a3f&oe=548AF456" style="height: 388px; width: 582px;" /></div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
</div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<br /></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-65821736226304506072014-09-05T16:23:00.001+03:002014-09-05T16:23:34.887+03:00UKISTAAJABU YA MUSSA UTAONA YA FIRAUNI BINT AOLEWA NA MBWA Bninti wa miaka 18 huko India ameolewa na katika ndoa ya kimila katika mji wa <span id="ext-gen127" style="font-size: 1.2em;">Jharkhand </span><br />
<span id="ext-gen127" style="font-size: 1.2em;"><br /></span>
<br />
<img alt="Ruff deal: An 18-year-old girl in India (pictured) was ordered by village elders to marry a dog (left) to lift a bad-luck curse that's hanging over her" class="blkBorder img-share" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/09/03/1409742704793_wps_49_JHARKHAND_INDIA_AUGUST_30.jpg" data-track-pos="0" height="419" id="i-a34c7e14e4313a79" width="634" /><br />
Ruff deal: An 18-year-old girl in India (pictured) was ordered by
village elders to marry a dog (left) to lift a bad-luck curse that's
hanging over her<br />
<br />
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">An 18-year-old Indian girl has married a stray dog as part of a tribal ritual designed to ward off an evil spell.</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span id="ext-gen127" style="font-size: 1.2em;">Mangli Munda, from a remote village in the eastern Indian state of Jharkhand, wed the canine in a lavish ceremony.</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font" id="ext-gen128">
<span style="font-size: 1.2em;">The
wedding was hastily organised by village elders after a local guru led
Mangli's parents to believe that the teenager possessed ill-luck and
that marrying a man would bring destruction to the family and her
community.</span></div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br /></div>
<img alt="Ceremony: The dog, Sheru, a stray, falls asleep during the lavish ceremony" class="blkBorder img-share" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/09/03/1409742711244_wps_50_JHARKHAND_INDIA_AUGUST_30.jpg" data-track-pos="1" height="459" id="i-85cb8f10f13568f5" width="634" /><br />
Ceremony: The dog, Sheru, a stray, falls asleep during the lavish ceremony<br />
<br />
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">The baffled
dog, Sheru, a stray found by the girl's father, was brought to the
wedding in a chauffeur driven car and welcomed by revellers.</span></div>
<div class="mol-para-with-font" id="ext-gen137">
<span style="font-size: 1.2em;">Mangli, who has not been to school, said she was not happy to wed a dog, but insisted that it will help change her fortunes.</span></div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br /></div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">The hesitant
bride said: 'I am marrying a dog because the village elders believe
that my evil spell will be passed on to the dog.</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">'After that is done, the man I will marry will have a long life.'</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">Mangli's father Sri Amnmunda agreed.</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">He
said: 'The village elders told us that we should organise the wedding
as soon as we can. We had to make sure that the evil spell is destroyed.</span></div>
</div>
<br />
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<img alt="Tradition: Rituals being performed during the wedding in the remote village" class="blkBorder img-share" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/09/03/1409743527186_wps_54_JHARKHAND_INDIA_AUGUST_30.jpg" data-track-pos="2" height="424" id="i-dddcdf0215592476" width="634" /> </div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
Tradition: Rituals being performed during the wedding in the remote village<br />
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<img alt="Good turn-out: Around 70 relatives attended the ceremony in the eastern Indian state of Jharkhand" class="blkBorder img-share" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/09/03/1409743120433_wps_51_JHARKHAND_INDIA_AUGUST_30.jpg" data-track-pos="3" height="424" id="i-79dc402c010a29f4" width="634" /> </div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
Good turn-out: Around 70 relatives attended the ceremony in the eastern Indian state of Jharkhand</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br />
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">'And marrying a dog is the only way to get rid of the bad luck.'</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">And amazingly, this is not the first time that a local girl has wed a dog in the village.</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">Sri
added: 'Many weddings like this have taken place in our village and
also the other neighbouring villages. This is a custom that we
thoroughly believe in.'</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">According
to the village's customs, the marriage will not affect Mangli's life,
and she will be free to marry again later without divorcing the dog.</span></div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br /></div>
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<img alt="The big day: Mangli Munda poses with her father, Sri Amnmunda, and her stray dog husband" class="blkBorder img-share" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/09/03/1409743171949_wps_53_JHARKHAND_INDIA_AUGUST_30.jpg" data-track-pos="4" height="907" id="i-dafbf8684004216f" width="634" /> </div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
The big day: Mangli Munda poses with her father, Sri Amnmunda, and her stray dog husband</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<span style="font-size: 1.2em;">My
villagers say that many girls like me have followed this ritual and
they have gotten rid of their evil spells and are living happy lives
now,' said Mangli.</span></div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br />
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">'I will also be free to marry a man of my dreams after after the evil spell is over.'</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">At
the wedding ceremony, people danced to traditional drumming, while
around 70 relatives and local villagers attended the wedding.</span></div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br /></div>
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<img alt="VIP: The bride's father carries Sheru in his friend's car on the wedding day" class="blkBorder img-share" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/09/03/1409743720641_wps_59_JHARKHAND_INDIA_AUGUST_30.jpg" data-track-pos="5" height="424" id="i-efbd6dcb9f777313" width="634" /> </div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
VIP: The bride's father carries Sheru in his friend's car on the wedding day</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<span style="font-size: 1.2em;">Apart from
the fact that the groom is a dog, we followed all customs. We respect
the dog as much as we would respect a normal groom,' said Mangli's
mother Seems Devi.</span><br />
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">'We
had to spend money on this wedding in the same way as we would in a
normal wedding. But that is the only way we can get rid of her bad luck
and ensure the benevolence of the village.'</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">Now with the marriage ceremony over, Mangli has to take care of the dog and raise him as a pet for the next few months.</span></div>
<div class="mol-para-with-font">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font">
<span style="font-size: 1.2em;">Mangli
added: 'I will marry a man one day. It is the dream of every girl to
marry a prince charming. So I am also waiting for my prince.' </span></div>
<div class="mol-para-with-font" id="ext-gen135">
<br /></div>
<div class="mol-para-with-font" id="ext-gen135">
<span style="font-size: 1.2em;">TAZAMA VIDEO HAPA</span></div>
<div class="mol-para-with-font" id="ext-gen135">
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br /></div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
<iframe frameborder="0" height="503" id="molvideoplayer" scrolling="no" src="http://www.dailymail.co.uk/embed/video/1117476.html" title="MailOnline Embed Player" width="698"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-25244139041408513442014-09-03T11:51:00.002+03:002014-09-03T11:51:55.234+03:00Video inayowaonyesha makamanda wa JKT wakimtesa binti aliyepitia jeshini hapo kwa mujibu wa sheria huku wakitukana matusi ya nguoni<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="480" src="//www.youtube.com/embed/19lLMIyW6tc" width="640"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-26318683425850255742014-09-01T13:45:00.000+03:002014-09-01T15:09:46.229+03:00BAADA YA KUTOKA HABARI KUWA ANATOKA NA DOGO DOGO LADY JAYDEE ATOA MAJIBU HAYA<div class="_5pbx userContent" data-ft="{"tn":"K"}">
<span style="font-size: large;"> </span><img alt="" class="spotlight hidden_elem" height="200" src="https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/p240x240/10580099_10152264733770025_8897020531165084459_n.jpg?oh=85145d41886e7adc9cdcb8a2b742dd73&oe=547E233D&__gda__=1417623236_45b24ee2920bb97c1aa643702bdb7591" width="200" /> <img alt="" class="spotlight" height="200" src="https://scontent-b-fra.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10975_10152264733850025_7733891414475816663_n.jpg?oh=d6c1762e35803aa60b67dff9414abf26&oe=546C7027" width="111" /> <img alt="" class="spotlight" height="200" src="https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/s552x414/10610817_10152264733940025_2054303337537534209_n.jpg?oh=a7717e4165bfa0ee35b70f828dee6e11&oe=5468DF3C&__gda__=1415874914_4a802b59e5836bdfa5e7145bdbb57ec0" width="111" /><br />
<span style="font-size: large;">Zamani ilikuwa haipo sehemu ya kujitetea, gazeti likishaandika ndio limeandika. </span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Lakini sasa ulimwengu umebadilika, sio muda wa watu wote kulishwa chakula kisichofaa. </span><br />
<span style="font-size: large;"> Kwanza hicho kichwa cha habari kimenivunjia heshma sana</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Nafikiri lengo ni kuilazimisha jamii inayomuelewa JayDee tofauti imuone kuwa ni mtu asiefaa, sawa.</span><br />
<span style="font-size: large;"> Dogo anaswa na mkoko? Huo mkoko mmemnasa nao wapi wakati hizo picha ni mimi nilizi post mwezi February Instagram?????</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Picha ambazo zilipigwa Nyumbani lounge tena kutumia simu ya Gardner.</span><br />
<span style="font-size: large;"> Jide, dogodogo gumzo mjini 🙆🙆🙆🙆<br /> Gumzo ni kitu kinachoongelewa sana na kilichoenea kila kona ,,,,,sasa hii habari ni gumzo wapi ambapo haisikiki, ......</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Mngeandika tumeamua kumuanzishia Jide gumzo hili, ndio ningewaelewa. <br /> Vitu vya kuzua.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
Ni watu wengi tu wakija band wakipata nafasi wanaomba kupiga picha na
mimi na wengine pia wanaomba kupiga picha na gari sababu wanaipenda. </span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Kama mtu yoyote anavyoweza kupiga picha na sanamu la kitu chochote anachokipenda. </span><br />
<span style="font-size: large;"> Hivi je! Wimbo wa JayDee mgumba, JayDee tasa umechuja? Umeisha chati?? Nashangaa na najiuliza tu<br /> Inawezekana wimbo huo umechuja ndio maana mnatafuta wimbo mwingine utakao hit zaidi ya ule<br /> Ndio kinachopelekea kuandika story za namna hii 🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;"> Sio nyinyi mliokuja kuomba radhi kwa yote mliowahi kuniandika na kudai kuwa mmejirekebisha, miezi kadhaa tu iliopita?</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Sio boss wenu aliemfuata Gardner na kumwambia tumalize tofauti zetu? <br /> Kama hizo tofauti zilikuwepo 😎😎😎</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Inawezekana nyie ndio mna tofauti na mimi, sijawahi kuwa na tofauti na mtu hata nisiemfahamu. ..</span><br />
<span style="font-size: large;"> Nashukuru Mungu nilikataa msamaha wenu ni kama nilihisi hamkumaanisha </span><br />
<span style="font-size: large;"> Au sababu sijawahi kukubali show mlizotaka kufanya na mimi? </span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Je! Hiki ni kisasi? Sielewi <br /> Mungu alienisimamia ataendelea <br /> Hii sio vita ya kwanza wala ya mwisho <br /> Dunia ni mapambano.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
Kama nia ni kufanya niishi maisha ya uoga, kudhoofika na msongo wa
mawazo mmefeli ,,,,, wengine mkijidai ni wacha Mungu huku mkiumiza nafsi
za watoto wa binadamu wenzenu. <br /> No wonder mnaishi bila amani mbali na utajiri mlionao kwa kuogopa visasi. </span><br />
<span style="font-size: large;"> Sikuzaliwa kukata tamaa </span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Pia wapo wanaopenda kuandikwa kwenye hayo magazeti yenu<br /> Wafanyieni favor ya kuwapa hiyo nafasi mi sifanyi muziki wa magazeti ya udaku <br /> Mkiachana na mimi nitashukuru sana </span><br />
<br />
<span style="font-size: large;"> Hata ndoa yangu ikivunjika haimaanishi mnitafutie story za kunichafua <br /> Ndoa ya Madiba ilivunjika sembuse yangu nina utofauti ipi na binadamu wengine? <br /> Nyie ndoa zenu ziko perfect si ndio? </span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Hewala watakatifu nyie, mnaoficha yenu na kutangaza ya wenzenu. </span><br />
<span style="font-size: large;">
Mwisho nawaomba watu mnaonielewa kutoamini tu habari yoyote ambayo
haijatoka kwangu wala kwa muwakilishi wangu ambae ni "Webiro Wakazi
Wasira".</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Kama kuna chochote cha watu kujua nitakiongea mimi kwa mdomo wangu sio kuwekewa maneno mdomoni. </span><br />
<br />
<span style="font-size: large;"> Kila siku ooooh tulimpigia simu hapatikani, namba yangu yenyewe kwanza hata mnaijua???<br />
Mngekuwa mnaijua msingekuwa mnahangaika mnawapigia watu wangu wa karibu
kunitafuta , na hao watu hawawezi kunisaliti ndio sababu mpaka miaka 70
mtaishia kusema tulimpigia simu JayDee hapatikani.<br /> Nyie muongee chochote mnachojiskia <br /> Ila sie hatuna haki kujitetea ??</span><br />
<span style="font-size: large;"> Hili nalo litapita kama mengine <br /> Na inshallah nitakuwa hapa hapa nimesimama nawaangalia </span><br />
<span style="font-size: large;">
Picha moja wapo ni hiyo ambapo mtoto wa vitoto alikuja siku hiyo hiyo
na akapiga picha na Gardner, mbele ya gari hiyo hiyo mnayodanganya watu
kuwa mmemkuta nayo na mahala ni hapo hapo Nyumbani Lounge, ,,,,, na
picha nyingine ni hizo nilizowahi kuzi post mimi mwenyewe mwezi february
leo zinanihukumu endeleeni kudanganya jamii </span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
Na hizo ni chat alizoniandikia huyo mtoto wa vitoto ambae ndio ilikuwa
mara yangu ya kwanza kumuona na sijawahi kumuona tena. . Zaidi ya
kuongea nae twitter ,,, sisemi kama mimi malaika lakini<br /> Ukweli huwa hauchanganywi na uongo </span><br />
<span style="font-size: large;"> Kwa hili mmenidhalilisha sana </span><br />
<span style="font-size: large;"><br /> Kama nia yenu jamii inione mwanamke nisiefaa na ninaependa dogodogo <br /> Basi Mungu atawaonyesha ukuu wake</span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-40601754723632784312014-08-29T15:27:00.003+03:002014-08-29T15:27:43.049+03:00YANGA YAMDAI OKWI MILIONI 800 KWA KUSAJILIWA NA SIMBA<img align="left" border="0" class="caption" src="http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/okwi-ds.jpg" title="Mwneyekiti wa Yanga SC Bw Yusuf Manji (kulia) akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu juu ya sakata la Okwi, kushoto ni makamu mwenyekiti Bw Clement Sanga" /> <span style="font-size: small;">Mwneyekiti wa Yanga SC Bw Yusuf Manji (kulia) akiongea na waandishi wa
habari leo makao makuu ya klabu juu ya sakata la Okwi, kushoto ni makamu
mwenyekiti Bw Clement Sanga </span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Klabu ya Young Africans imemshitaki mchezaji Emmanuel Okwi kwa
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kuwasilisha nakala kwa shirikisho
la soka Barani Afrika (CAF) na shirikisho la soka duniani (FIFA) kwa
kuingia mkataba na timu nyingine wakati akiwa bado ana mkataba wa miaka
miwili.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga mitaa
ya Twiga/Jangwani, mwenyekiti wa Yanga Bw Yusuf Manji amesema
wameshangazwa na kitendo hicho kilichofanywa na viongozi wa Simba ,
wakala wake na mchezaji mwenyewe.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">"Emmanuel Okwi awali
tulishapeleka malalamiko TFF na kuwapa nakala CAF na FIFA juu ya kufanya
mazungumzo na timu ya Wadi Degla FC ya nchini Misri na kufikia klabu
hiyo kutuma ofa ya kutaka kumnunua bila kuwasiliana na uongozi wetu"
alisema Yusuf.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Ikiwa hilo tunasubiria majibu kutoka TFF jana
mchezaji huyo amesaini mkataba mwingine, hii inaonyesha ni jinsi gani
mchezaji huyu kuna watu walikua wanamrubuni,kwa kusaini mkataba mwingine
kitu ambacho amekiuka sheria za FIFA za usajili.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Baada ya kuona
jana amesaini mkataba na Simba, Yanga tulichokifanya leo ni kuandika
barua nyingine TFF juu ya suala hilo na kuomba kulipwa fidia ya US
Dollar 500,000 (sawa na TZS 800,000,000/=) kutoka kwa klabu ya Simba,
wakala wake na mchezaji mwenyewe aliongeza "Manji"</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 1.3em;">Aidha
uongozi wa Yanga umeiomba TFF kuwa imelipatia ufumbuzi suala hilo ndani
ya siku saba, na kama siku saba zikikpita basi uongozi wa Yanga
utakwenda moja kwa moja FIFA na ikishindakana mahakama ya soka CAS.</span></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Lengo
sio kuikomoa timu ya Simba, bali tunachotaka ni sheria ifuatwe, Okwi
alikua ameitumikia klabu ya Ynaga kwa kipindi cha miezi sita tu, na kuwa
amebakiza mkataba wa miaka miwili mpaka msimu mwishoni mwa msimu wa
2015/2016.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Mchezaji anayekutwa na kosa la kusaini sehem mbili
adhabu yake ni kufungiwa kucheza soka kuanzia mwaka mmoja na kuendelea
huku klabu husika ikifungiwa kusajili kuanzia miaka mwili na kuendela na
kushushwa daraja au adhabu zote kwa pamoja.</span><br />
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-1241041438213879822014-08-22T13:44:00.003+03:002014-08-22T13:44:39.140+03:00Babu Tale ajibu tuhuma za Diamond kufanya biashara ya 'Unga'<img alt="Babu Tale ajibu tuhuma za Diamond kufanya biashara ya " itemprop="image" src="http://www.timesfm.co.tz/content/uploads/2014/8/21/cache/Diamond%20na%20tuhuma%20za%20unga_full.jpg" /><br />
<br />
<div class="body" itemprop="articleBody">
<span style="font-size: large;">Meneja wa Diamond, Babu Tale amekanusha taarifa
zilizoandikwa na gazeti la Amani la leo (August 21) zilizomtuhumu msanii
huyo kuwa anajihusisha na dawa za kulevya.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Babu Tale ameongea na mtandao wa Bongo5 na kuonesha kuchukizwa na
taarifa hizo na kueleza jinsi ambavyo msani huyo huingiza pesa nyingi
kwa kutumia muziki wake.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;"><strong>Haya ni majibu ya Babu Tale:</strong></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;"><em>“Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya.</em></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;"><em>“We get more money from music, sio kwenye madawa ya kulevya,
hatufanyi hizo biashara na kama wanahisi sisi tunafanya tunawaruhusu
watufanyie investigation hata kwa muda wa miaka kumi ina maana
tunavyopita pale airport hawana vifaa vya kutuchunguza? Ipo wazi hata
Global walishindwa kufanya kazi na sisi kwa sababu sisi ni wakubwa. Sasa
leo hii tunauza madawa ya kulevya kwa sababu tunakomaa kwenye bei zetu. </em></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;"><em>“September tunafanya show kubwa ya Unplugged na msanii wa kwanza
hapa kufanya ile show ni Diamond na ile show hawalipi hela ya kis**e,
wataendelea kuona watu wanauza madawa ya kulevya, hakuna msanii wa
Tanzania anayefanya show kwa walau dola elfu 10,000 ni Diamond peke yake
wengine ni dola 2000, 2500 elfu 3,000 mwisho. Tuna show Marekani show
kumi na tano (15), show kumi na tano dola elfu ngapi? Na kwa hapa
Tanzania hatufanyi show chini ya dola elfu 15,000.”</em></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;"><strong><em>Chanzo: Bongo5</em></strong></span><br />
</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-47615247467892691162014-08-13T08:31:00.001+03:002014-08-13T10:25:48.326+03:00HII SASA NI HATARI KAMPUNI MOJA NCHI JAPANI YATENGENEZA MIDOLI YA MAPENZI 'real Love Dolls', TAZAMA VIDEO HAPA<img alt="Video: Kampuni ya Japan yaingiza sokoni midoli ya mapenzi " src="http://www.timesfm.co.tz/content/uploads/2014/8/12/cache/DOLLS_full.jpg" itemprop="image" /><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Kampuni ya Japan inayojulikana kama Orient Industry imeingiza sokoni
midoli yenye umbo na sura ya wasichana wenye mvuto wa aina mbalimbali,
maalum kwa wanaume kufanya nayo mapenzi kama wasichana halisi (Real Love
Dolls).</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Kampuni hiyo ilianza kutengeneza midoli hiyo tangu mwaka 1977 na
imekuwa ikiiboresha kila wakati ili kuipa uhalisia katika suala la
mapenzi, na hadi sasa meweza kuingiza sokoni midoli ya aina tatu maalum
kwa ajili ya tendo hilo.</span><br />
<span style="font-size: large;"> </span><img alt="" src="http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/08/article-2722779-2078685600000578-879_306x423.jpg" height="640" width="462" /><br />
<span style="font-size: large;">Kwa mujibu wa kampuni hiyo, mdoli mmoja unauzwa $ 2.7 na ukiitazama
bila kuigusa ni vigumu kuitofautisha na msichana/ mwanamke halisi mwenye
mvuto kwa kuwa mtumiaji anaweza kuigeuza katika position aitakayo.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Katika aina hizo tatu, kampuni hiyo imeeleza kuwa aina moja
imetengenezwa katika hali ambayo itawasaidia hata wanaume ambao ni
walemavu wa viungo vya mwili.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Tayari kampuni hiyo imeanza kusambaza matangazo ya bidhaa hiyo kwa
wateja wao huku ikipost videos kwenye YouTube kuhusu jinsi ya kuitumia
midoli hiyo.</span><br />
<br />
<br />
<a href="http://www.timesfm.co.tz/" target="_blank">http://www.timesfm.co.tz</a>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-12883204865024007182014-08-06T14:27:00.003+03:002014-08-06T14:27:45.014+03:00YANGA WAISHANGAA CECAFA <img align="left" border="0" class="caption" src="http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/benomarcio.jpg" title="Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga, kushoto kwake ni Kocha Mkuu Marcio Maximo na afisa habari Baraka Kizuguto" />Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu akiongea na waandishi wa
habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga, kushoto kwake ni Kocha Mkuu
Marcio Maximo na afisa habari Baraka Kizuguto<br />
<br />
<span style="font-size: large;">Uongozi wa klabu ya Young Africans leo umefanya mkutano na waandishi
wa habari juu na kusema kilichofanywa na waandaji wa michuano ya Kombe
la Vilabu Bingwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuiondoa
timu isishiriki ni cha kushangaza sana na kinadidimiza soka kwa ujumla.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">
</span><span style="font-size: large;">Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu amesema walipata barua ya
mwaliko wa kushiriki mashindano tarehe 25/7/2014 na kudhibitisha
kushiriki michuano hiyo kwa kuandika barua iliyokwenda TFF na kisha wao
kuiwasilisha kwa CECAFA.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">"Baada ya kudhibitisha kushiriki michuano
hiyo tuliambiwa na CECAFA tutume orodha ya wachezaji na viongozi ambao
watasafiri kuelekea nchini Rwanda kwenye michuano hiyo ili waweze
kuandaa tiketi za ndege na sehemu ya malazi kitu ambacho
tulitimiza" alisema Beno.<span style="line-height: 1.3em;"> </span></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Lakini
katika hali ya kushangaza jana tulipokea barua kutoka TFF ikisema
CECAFA imetuondoa kwenye mashindano hayo kwa kushindwa kukidhi vigezo na
kuiteua timu ya Azam kuchukua nafasi yetu "aliongeza Beno."</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Kanuni
za CECAFA zipo wazi kuwa wachezaji wanaopaswa kushiriki michuano hiyo
ni lazima wawe na leseni za kucheza mpira kutoka kwa chama husika, jambo
ambalo ambalo orodha tuliyowapelekea wachezaji wote wataichezea Yanga
msimu huu wa 2014/2015.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Kocha Marcio Maximo alianza maandalizi ya
kikosi ambacho kingekwenda kushiriki michuano hiyo ambayo ilipaswa
kuanza ijumaa tarehe 8/8/2014 kwa Yanga kufungua dimba la wenyeji timu
ya Rayon FC .</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Kikosi ambacho kocha mkuu alikichagua kwenda kwenye
michuano ya Kagame kilikua na jumla ya wachezaji 20, 15 wakiwa kutoka
timu ya kikosi cha wakubwa na wachezaji watano wakitoka kikosi cha pili
U20 chini ya kocha Leonado Neiva ambaye amekua na wachezaji hao kwa
takribani mwezi mmoja.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Lakini walichokiamua CECAFA ni kuiondoa
klabu ya Yanga na kuipa nafasi timu nyingine kwa kusema kikosi
kilichopelekwa hawakubaliani nacho na hata kocha mkuu Marcio Maximo
haendi, hao ndo tulipojua ya kuwa wanataka majina ya watu na sio timu.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Zifuatazo ni sababu za Kiufundi ambazo Yanga ilizipelekea CECAFA kuhusu kikosi hicho kutojumuisha wachezaji wa timu za Taifa.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">a)
Ripoti ya kocha aliyeondoka Yanga msimu uliopita Hans ilitoa maelekezo
ya kupunguza wachezaji tisa (9) na wachezaji wawili kujiunga na klabu ya
Azam hivyo kufanya kikosi kupungua wachezaji 11 kutoka katika idadi ya
wachezaji 30 wa msimu uliopita.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">b) Wachezaji 10 wa Yanga wamekuwa
na majukumu ya timu za Taifa za Tanzania (Taifa Stars), Rwanda na Uganda
tangu Aprili 19, 2014 mpaka mwanzoni mwa Agosti, takribani miezi mitatu
wamekuwa kambini bila kupata muda wa kupumzika.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">c) Benchi la
Ufundi la Yanga ni jipya kuanzia kocha mkuu Maximo na wasaidizi wake
watatu Leonardo Neiva, Salavatory Edwarda na Shadrack Nsajigwa hivyo
wanahitaji muda wa kuwajua wachezaji </span><br />
<span style="font-size: large;">waliokuwa kwenye timu ya Taifa ndo
maana hawakuwajumuisha kwenye kikosi cha kwenda Kigali Rwanda.</span><br />
<br />
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 1.3em;">d)
Baadhi ya wachezaji wanahitaji Vibali vya kufanyia kazi nchini,
uhamisho wa Kimataifa (ITC) ili waweza kushiriki michuano ya Kagame, na
moja ya kanuni za CECAFA mchezaji anayeshiriki mashindano hayo ni lazima
awe na leseni ya kucheza mpira kwa ligi ya ndani.</span></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 1.3em;">e)
Katika wachezaji 20 waliochaguliwa kushiriki michuano ya Kagame,
wachezaji 6 wamepandishwa moja moja katika kikosi cha wakubwa msimu huu
hivyo kufanya idadi ya wachezaji wa U20 kuwa watano tu.</span></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 1.3em;">f)
Wachezaji walikokuwa kambini Taifa Stars kwa takribani miezi mitatu
bila ya kupumzika, daktari alipendekeza wapate japo siku kumi na nne
(14) za kupumzika ili miili yao iweze kupoa na kuanza upya tena
maandalizi ya msimu mpya.</span></span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">g) Yangga tunaamini hakuna mtu
yoyote zaidi ya Kocha Mkuu anayeweza kutupangia kikosi cha kwanza,
sababu yeye ndio anayekaa na wachezaji mda wote na kujua ubora wa
wachezaji wake.</span><br />
<br />
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8343252925852607004.post-17385632040792122372014-07-31T16:35:00.002+03:002014-07-31T16:35:39.272+03:00 TAMKO LA UKAWA KUHUSU WITO WA VIONGOZI WA DINI WA KURUDI BUNGENI<img alt="" class="fbPhotoImage img" height="425" id="fbPhotoImage" src="https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/t1.0-9/q71/s720x720/1393695_779585835425258_6625053321556002739_n.jpg" width="640" /><br />
<br />
<span class="fbPhotosPhotoCaption" data-ft="{"type":45,"tn":"*G"}" id="fbPhotoPageCaption" tabindex="0"><span class="hasCaption">UKAWA WAIJIBU BAKWATA<br /> <br /> TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI,<br /> DAR ES SALAAM, ALHAMISI, 31 JULAI 2014 SAA 5.00ASUBUHI<br /> <span class="text_exposed_show"><br /> TAMKO LA UKAWA KUHUSU WITO WA VIONGOZI WA DINI WA KURUDI BUNGENI<br /> <br /> Ndugu waandishi wa habari,<br /> <br />
Kama mnavyofahamu Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba (BMK) wanaotetea
kuheshimiwa kwa maoni ya Wananchi katika mchakato wa kuandika Katiba
maarufu kwa jina la UKAWA- Umoja wa Katiba ya Wananchi walitoka nje ya
Bunge hilo tarehe 16 April 2014.<br /> <br /> Sababu ya msingi iliyotutoa
kwenye BMK ni mkakati uliokuwa ukitekelezwa na Wajumbe wa BMK wa CCM
kupuuza maoni ya wananchi yaliyokusanywa na kuratibiwa na Tume ya
Mabadiliko ya Katiba ikiongozwa na Mwenyekiti Jaji Joseph Sinde Warioba
na Makamu mwenyekiti Jaji Agostino Ramadhani.<br /> <br /> Rasimu ya Katiba
inapendekeza Muundo wa Muungano wa Shirikisho yenye Serikali Tatu. Kama
waraka wa CCM unavyoeleza “Muundo wa Muungano ndiyo moyo wa Rasimu na
ndiyo unaoamua ibara nyingine zikae vipi.” CCM wameukataa Muundo wa
Muungano uliopendekezwa na Tume, na badala yake wanataka Muundo wa
Serikali mbili ambao haujafanyiwa utafiti, haujapendekezwa na wananchi
walio wengi, uliojaa na matattizo lukuki yasiyotatulika tangu enzi za
uhuru na ambao haujapendekezwa na tume ya mabadiliko ya katiba.<br /> <br />
Kwa sababu aina ya muundo wa muungano ndiyo moyo wa rasimu ya
katiba(kwa tafsiri ya CCM), ukiunyonga Moyo wa Rasimu hautakuwa na
Rasimu ya Katiba inayotokana na maoni ya wananchi. UKAWA tunatetea maoni
ya Wananchi yaheshimiwe na tumetoa wito kila mara kuwa hii ndiyo njia
bora ya kutufanya turidhiane.<br /> <br /> Ikumbukwe kuwa bunge la katiba
halikuanzisha mchakato wa katiba, linakamilisha moja ya hatua muhimu za
kupata katiba, tayari hatua mbili muhimu zimeshafanyika, maoni ya
wananchi yametolewa na tume imetumia maoni hayo pamoja na rejea zingine
na historia mbalimbali na imetuletea Rasimu ya Katiba inayotokana na
mambo hayo. Bunge Maalum la Katiba halina uwezo na kibali cha kuvunja
misingi mikuu ya maoni ya wananchi na kazi ya tume.<br /> <br /> Kuvunja
misingi mikuu “moyo wa rasimu” ni sawa na kuanzisha mchakato mwingine wa
katiba na ni sawa na kuwa juu ya maoni na matakwa ya wananchi. UKAWA
tumekataa kuwa sehemu ya uchakachuaji huu wa hali ya juu.<br /> <br /> Ndugu waandishi wa habari,<br /> <br />
Tunapenda ifahamike kuwa, UKAWA pia tulikwazwa na lugha za ubaguzi,
uchochezi, matusi na kejeli zilizokuwa zikiporomoshwa na baadhi ya
Wajumbe wa CCM ndani na nje ya BMK. Michango mingi ya Wajumbe wa CCM wa
Bunge Maalum ilikuwa ya kumkejeli na kumdhalilisha Jaji Joseph Sinde
Warioba na kauli za kibaguzi dhidi ya Waarabu, Wapemba na Wahindi.<br /> <br />
Lugha za kibaguzi na kichochezi pia zilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi
ya Waziri Mkuu (Sera Uratibu na Bunge), William Lukuvi alipokuwa
anamwakilisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika ibada ya kumsimika Askofu
wa Kanisa la Methodist, Jimbo la Dodoma.<br /> <br /> Mhe. Lukuvi aliwataka
wananchi waliohudhuria ibada hiyo kupinga serikali tatu
zilizopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, vinginevyo nchi
itatawaliwa na jeshi kwa kuwa Serikali ya Muungano itashindwa kuwalipa
mishahara wanajeshi. Katika hotuba yake katika kanisa la Methodist Mhe.
Lukuvi aliendelea kuwachochea waumini aliposema kuwa “Serikali tatu
zikipita ni wazi kuwa hata makanisa yatafungwa kwani nchi haiwezi kuwa
na amani tena.”<br /> <br /> Lukuvi alisema Wazanzibari wanaotaka kuwa na
nchi yao hawawezi kujitegemea, bali wanataka Serikali ili wapate nafasi
ya kujitangaza kuwa ni nchi ya Kiislamu. Serikali haikuchukua hatua
yeyote kukanusha na kumuwajibisha Mhe. Lukuvi.<br /> <br /> Hivi karibuni
kumekuwa na miito mbalimbali ambayo imetolewa kututaka sisi tulioko
katika Umoja wa Kutetea Katiba ya Wananchi (UKAWA), kurejea bungeni.
Katika Baraza la IDD ambako Waziri Mkuu Mizengo Pinda alikuwa mgeni
rasmi wito wa UKAWA kurudi bungeni ulisisitizwa.<br /> <br /> Watu wengi
wametoa kauli na hasa baadhi ya viongozi wa madhehebu mbalimbali ya
kidini nchini, kututaka turejee bungeni ili kuendelea na mchakato wa
kuandika katiba mpya. Tunasema, tumewasikia na tunaheshimu kauli zao.<br /> <br />
Tunatambua kuwa viongozi wa kidini ni watu wenye heshima na nafasi ya
pekee katika jamii yetu. Ni watu waliopewa wajibu wa kutuongoza tukiwa
hapa duniani na hata tukiondoka duniani. Kwa hiyo, napenda
kuwahakikishieni kabisa kuwa UKAWA inaheshimu sana miito na ushauri wao.<br /> <br /> Ndugu waandishi wa habari,<br /> <br /> Pamoja na heshima hiyo, tunapenda pia waelewe haya yafuatayo:<br />
Kwanza, UKAWA uliondoka bungeni, pamoja na mengine, kupinga njama za
kuhujumu mchakato wa Katiba Mpya. Tulipinga kudharauliwa maoni ya
wananchi kama yalivyowasilishwa bungeni na Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya
Mabadiliko ya Katiba, waziri mkuu mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba.<br /> <br />
Tumepinga Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupuuza maoni ya wananchi na
kutaka kuingiza maoni yake, kinyume cha kanuni na Sheria ya Mabadiliko
ya Katiba.<br /> <br /> Pili, tuliondoka bungeni kupinga lugha ya ubaguzi,
uchochezi, matusi na kejeli. Baadhi ya kauli hizi tulizikabili ndani ya
bunge na kuonya wenzetu kuacha lugha hizo na badala yake watumie jukwaa
hilo kusaidia upatikanaji wa katiba mpya. Hatukusikilizwa.<br /> <br />
Ninyi ni mashahidi jinsi wajumbe wa CCM walivyoporomosha matusi makubwa
na tuhuma nzito dhidi ya Tume ya Jaji Warioba. Baadhi ya wajumbe
waliwaita wajumbe wa tume hii Eti, “wasaliti wa Baba wa Taifa; wazee
wanaosubiri kufa; na watu wasiokuwa na uzalendo bali wana ajenda
binafsi.”<br /> <br /> Tatu, tuliondoka bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge
la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kushindwa kuwadhibiti wajumbe wanaotumia
lugha ya ubaguzi, uchochezi, matusi na kejeli na kuendesha vikao vya
bunge hilo kwa upendeleo.<br /> <br /> Mwenyekiti ameliendesha Bunge hilo
kibabe. Ameshiriki kubadili ratiba na mtiririko wa matukio bungeni.
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba alivunja kanuni kwa kumtanguliza
Mwenyekiti wa Tume kuwasilisha Rasimu kabla Bunge kusikiliza hotuba ya
ufunguzi ya Mgeni Rasmi. Amebadili Kanuni za Bunge la Katiba na sasa
ametishia kufanya hivyo tena.<br /> <br /> Nne, tuliondoka bungeni baada ya
kuona waziri mmoja mwandamizi wa serikali ya Rais Kikwete, William
Lukuvi, akiingia kanisani na kufanya uchochezi. Alidai Zanzibar inataka
serikali tatu ili iwe huru kuanzisha Serikali ya Kiislamu na kuwarejesha
Waraabu visiwani humo.<br /> <br /> Waziri huyu alikuwa amekwenda Kanisani
kumwakilisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Hadi tunaondoka na mpaka sasa,
hakuna mamlaka yoyote iliyo juu ya Lukuvi ambayo imechukua hatua angalau
hata ya kuomba radhi. Waziri Mkuu alikuwa na fursa adhimu kama mgeni
rasmi katika Baraza la Idd kuomba radhi lakini hakufanya hivyo.<br /> <br /> Tunawashukuru sana viongozi wa dini waliotoa matamko kulitaka Bunge Maalum la Katiba liheshimu maoni ya wananchi.<br /> <br /> Ndugu waandishi wa habari,<br /> <br />
Pamoja na kuwaheshimu viongozi wote wa dini, tumesikitishwa na matamshi
ya baadhi yao kama yale yaliyotolewa katika Baraza la Idd kututaka
UKAWA turejee bungeni, huku wakinyamazia matendo yaliyofanyika. Waziri
Mkuu aliyekuwa mgeni rasmi katika Baraza la Idd ndiye aliyewakilishwa na
Waziri Lukuvi alipotoa alipotoa kauli za kibaguzi na kichochezi katika
kanisa la Methodist mjini Dodoma.<br /> <br /> Leo ni zaidi ya miezi miwili
tangu Bunge hili liahirishwe. Hatujamsikia kiongozi yoyote wa kidini
(wale) wanaotutaka turudi bungeni, wakikemea au kutoa wito kwa
Mwenyekiti wa Bunge Maalum kutumia haki, hekima na usawa, katika
kuendesha mijadala bungeni.<br /> <br /> Hatujasikia viongozi wa dini
wanaotaka UKAWA warudi Bungeni wakitoa wito kwa wabunge wa chama tawala
kurejea kwenye ajenda kuu na kuacha kashfa dhidi ya Tume. Kimya chao
katika suala hili, kimechangia kukiongezea chama tawala kibri na dharau
dhidi ya wananchi.<br /> <br /> Vilevile, hatujawasikia viongozi wa
madhehebu ya kidini wakimkemea Lukuvi wala Waziri Mkuu Pinda kuhusu
kilichotokea kanisani Dodoma.<br /> <br /> Badala yake, tumeendelea kuona
viongozi wa dini wakikutana na viongozi wa serikali na chama tawala,
bila jitihada za viongozi hao kukutana na UKAWA. Miito ya viongozi hawa
inaelekezwa upande mmoja ikifumbia macho upande wa pili.<br /> <br /> Sisi tunaamini viongozi wetu wa kiroho wanao uwezo wa kuangalia pande zote mbili na kutoa miito yenye ukweli, usawa na haki.<br /> <br />
Tunawasishi kabla ya kututaka kurejea bungeni, wangetumia busara
hiyohiyo kutusikiliza na sisi kama ambavyo wanawasikiliza viongozi wa
CCM.<br /> <br /> Msimamo wa UKAWA uko wazi, tunataka maoni ya wananchi yaheshimiwe na Bunge Maalum la Katiba.<br /> Mungu Ibariki Tanzania!<br /> Imetolewa na;<br /> <br /><span> --------------------------</span><wbr></wbr><span class="word_break"></span>---------<br /> Freeman Alkael Mbowe(MB),<br /> Mwenyekiti - CHADEMA<br /> <br /><span> --------------------------</span><wbr></wbr><span class="word_break"></span>-------------<br /> Ibrahim Haruna Lipumba(MBMK)<br /> Mwenyekiti – CUF – Chama Cha Wananchi,<br /> <br /><span> --------------------------</span><wbr></wbr><span class="word_break"></span>------------<br /> James Francis Mbatia(MB)<br /> Mwenyekiti – NCCR MAGEUZI.</span></span></span> Unknownnoreply@blogger.com0