
Dhamana ya Viongozi 10 wa Uamsho imetolewa na Mahkama ya Mkowa Vuga ikiwa na masharti mazito. Baadhi ya masharti hayo ni: Milioni 25 kila mmoja, Wadhamini 3 wafanyakazi wa Serekali, Barua ya Sheha, Wasufanye mihadhara na wasitoe mawaudha, Wasitoke nje ya Unguja.
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA