Hawa ndio waliongia tano bora
WAREMBO 15 jana walipanda jukwaani katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta, jijini Dar kuwania Taji la Miss Dar Indian Ocean na bahati ikamuangukia Lucy Tomeka aliyeibuka kidedea kwa kutwaa taji hilo.
HABARI NA PICHA KWA HISANI YA http://www.globalpublishers.info/
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA