Jan 7, 2014

Breaking: Picha za Mwenyekiti wa Chadema Temeke aliepigwa na kutupwa Dar usiku kuamkia leo


                       

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Temeke Joseph Yona amepigwa na watu wasiojulikana na kisha kutupwa kwenye eneo la Ununio kwenye Magorofa ya Wasomali Kawe Dar es salaam.

Shuhuda Abdul Ally ambae ni mkuu wa nyumba zilizokaribu na alikopigwa Mwenyekiti huyu, anasema walisikia kelele za huyu mtu kupigwa saa tisa usiku na walipomsogelea walimkuta peke yake.

‘Niliomba wasiniue, wamenipiga sana… wamenichukua saa tano nyumbani kwangu Kwa Aziz Ally, wao walikua na gari kama ya Polisi lakini inaonekana sio ya polisi wakasema tunakupeleka Central, tulikua wanne na hawakuhangaika na mtu wakanichukua mimi moja kwa moja.. tulipopanda kwenye gari wakachukua nguo yangu wakanifunga uso, wakaanza kunipiga wakisema nisiwajibu na hawakuniambia chochote’

 http://millardayo.com/wp-content/uploads/2014/01/ununio8.jpg

 

http://millardayo.com/wp-content/uploads/2014/01/ununio5.jpg 

ununio4

 ununio3

 DSC_0027
 
chanzo na millard ayo

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA