Mar 1, 2012

MAULID YA SHAKEEL YAFAANA SANA BAGAMOYO

 Picha juu ni mtoto shakeel siku ya maulid yake iliyofanyika Bagamoyo maeneo ya maungani nyumbani kwa Maalim Sudi
 Hata mama Salim  nae alikuwepo huyu ni mke wa bwana ISSA JOSEPH kocha mkuu wa Bonde fc ya mwananyama
Hawa ni kinadada wa DUCE wakiwa na baba mtoto Shabani muda mfupi baada ya kuwasili mjini Bagamoyo 
Maustadh wakiendelea na kaswida kama kawaida yetu waislam
Hakina mama nao hawakuwa nyuma katika kuzisakata dufu 
Shakeel na baba yake hapo 
 Shangazi mtu nao hawakuwa mbali siku hiyo
Shakeel na mama yake hapo kabla ya kutoka rasmi
 Shakeel na shangazi yake Zainabu hapa
Shakeel na bibi yake kwa raha zao
Shakeel na shangazi yake Ramla 
Dada yake nae hakukaa mbali na mdogo wake 
Mama yake mkubwa nae hakuwa mbali na Shakeel 
Hatimae wakati uliokuwa ukisubiliwa wa mtoto kutoka mjomba mtu hakuwa nyuma 
 Mama Shakeel akiwa na wifi yake Somoe kutoka AM stationary chan'ombe (DUCE)
 Shakeel na shangazi yake Somoe
 
 Mama na baba na shangazi Shakeel
 Hatimae muda wa maakuli uliwadia na watu wakaanza kupata msosi
 watu wakiendelea kupata msosi
 hata watoto wa chuo nao walipata msosi 
Mimi na ustadh Abdallah tukimuangalia mtoto baada ya kutoka 
MTU NA SHEMEJI YAKE TULIPIGA PICHA YA PAMOJA

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA