May 2, 2012

LIVERPOOL YALALA 1-0 DHIDI YA FULHAM

Jana usiku timu ya Liverpool ilishindwa kutumia vyema uwanja wake wa nyumbani baada ya kukubali kipigo cha goli 1-0 dhidi ya Fulham kutokana na kipigo hicho Liverpool imezidi kungangania nafasi ya 8 na hivyo kukosa nafasi ya kucheza michuano ya ulaya mwakani 

pamoja na timu ya Liverpool kusajiri wachezaji wengi sana mwaka huu na kuwa moja ya timu ambazo mwaka huu zilitumia hela nyingi katika usajiri lakini imeambulia patupu na mashabiki wake wamebaki na sitofahamu juu ya hatima ya timu yao 

THAT'S GOT TO SKRT ... Martin Skrtel turns into his own net 
 Martin Skrtel hajui la kufanya akiwa amezidiwa ujanja jana hiyo.
FUL TILT ... Fulham players celebrate taking the lead
wachezaji wa Fulham wakiwa wanajipongeza baada ya kuifunga Liverpool goli 1-0

 JO DEAR ... Jonjo Shelvey rues a missed chance
John Arne Riise akiwa ameficha sura yake baada kupoteza nafasi 

Star wa mchezo wa jana alikuwa BREDE HANGELAND   wa Fulham

vikosi vilikuwa kama ifuatavyo 

 LIVERPOOL: Doni 7, Kelly 6, Coates 6, Skrtel 6, Aurelio 5, Henderson 5, Shelvey 6, Spearing 6, Maxi 6, Carroll 7, Kuyt 6. Subs: Downing (Henderson 46) 7, Enrique (Aurelio 65) 7, Sterling (Kuyt 76) 6. Not used: Jones, Carragher, Flanagan, Robinson. 

 FULHAM: Schwarzer 7, Kelly 7, Hangeland 8, Hughes 8, JA Riise 7, Duff 7, Murphy 7, Dembele 7, Kacaniklic 7, Dempsey 8, Pogrebnyak 6. Subs: Frei (Kacaniklic 58) 7, Etuhu (Pogrebyak 80) 6, Baird (Dembele 86) 6. Not used: Stockdale, Briggs, Kasami, Sa. 

REF: L Probert 7

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA