May 4, 2012

JOSE MOURINHO AWATOLEA NJE CHELSEA

JOSE MOURINHO amemwambia Roman Abramovich kuwa ataendelea kubaki Real Madrid na kuwa hawezi kurudi Stamford Bridge.

Lakini CHELSEA inafanya mawasiliano na kocha anaeachia ngazi katika timu ya BARCELONA Pep Guardiola kama wanaweza kumpata 

 Moulinho akiwa na Pep Guardiola

Abramovich’s chaguo lake la kwanza ni Pep Guardiola 41-year-old ambe ameishi kwa miaka 4 Now Camp anategemea kumpata kipindi hiki cha msimu wa majira ya joto.japo kuwa Abramovich alikuwa akitegemea kumchua  Jose Mourinho ila matumaini yalipotea baada ya Mourinho kusema ataendelea kubaki SPAIN kwa msimu mwingine

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA