Aug 20, 2013

Breaking News Polisi Mwanza yamshikilia Mh.Wenje


Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linamshikilia kwa mahojiano Mbunge wa Nyamagana jijini humo,Mh Ezekiel Wenje kwa madai ya kuongoza maandamano yaliyosambaratishwa na polisihapo jana kwa kutumia mabomu ya kutoa machozi 

chanzo na  http://www.itv.co.tz/news/local/386-2976/Polisi_Mwanza_yamshikilia_MhWenje.html

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA