Dj Majay azindua upigaji muziki akiwa na mpiga drums
Usiku wa Kuamkia leo Xtreme Deejay
wamezindua upigaji mpya wa muziki kwenye Club ambapo Dj Majay alikuwa
akipiga muziki huku akishirikiana na mpiga Drums ndani ya New Maisha
Club jijini Dar es Salaam.
Hii ndio stairi mpya ya upigaji mzimki ya dj majay
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP
2012 ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi
ya New B...
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA