HIVI NDIVYO BASI LA MTEI LILIVYO KUWA LINAWAKA KWA MOTO HUU MKUBWA BAADA YA KUCHOMWA MKOANI SINGIDA
Leo asubuhi
bus la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda
mnadani singida baada ya bus ilo kugonga pikipiki yani bodaboda na kuua
watu watatu Hapohapo.
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP
2012 ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi
ya New B...
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA