Maroli na mabasi yakiwa kwenye foleni baada ya njia kuzibwa na mafuriko ya maji.
Hii ndio hali halisi inavyoonekana malori yakiwa yamekwama katikati ya barabara
Baadhi ya wasafiri waliokwama wakiangalia greda inayojaribu kutengeneza njia ili waweze kupita.
Wasafiri wakiwa wamekwama eneo la hedaru
Wakandarasi wakijadiliana jambo ili kuweza kupata ufumbuzi
Umati wa wasafiri wakiwa wanashangaa jinsi barabara ilivyozuiwa na maji
Magari zaidi ya 3000 yamekwama mda huu eneo la hedaru baada ya barabara
kufungwa na kuzibwa na maji mengi yaliyosababishwa na mvua kubwa
zilizonyesha eneo hilo.Wasafiri wamekwama eneo hili kwani magari na
mabasi pia magari ya mizigo yanashindwa kupita kwa kuwa njia
haionekani.
Kampuni ya ujenzi inayojenga
barabara hiyo wanajitaidi kuchimba maeneo ya pembeni ili kuweza
kuhamisha maji ili angalau njia iweze kuonekana.Hali ni mbaya eneo hili
hivyo serikali inatakiwa kuwahi kwenda kutoa msaada wa kuweza kupunguza
maji na hatimaye magari yaweze kupita. HABARI NA PICHA NA DJ SEK BLOG
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP 2012
ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi ya
New Bo...
11 years ago
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA