May 13, 2014

JIMAMA SHABIKI LA AFRICAN SPORTS TOKA TANGA LA FANYA VIROJA UWAJANI MOROGORO

 

Jimama hilo likiingia uwanja wa Jamhuri Morogoro na  kiroba kilichojaa pombe kali 


Likianza kufanya viti vyake jukwaani,mbele ya umati mkubwa wa wana

 
Mzuka unaaza kumkolea
 
 Akishiriki kuishangilia timu yake ya African Sports 'wana kimanumanu
 
 
Aliacha kushangilia na kumu kuwakatikia mauno mashabiki

 
Akikolezwa kwa kupigiwa ngoma za asili

Mpiga ngoma mzuka umempanda na kuamu kuacha kupiga ngoma na kucheza na Jimama hilo

Wachezaji wa Sports wakishiriki kushangilia baada ya kuwa Nyuka wapinzani wao Kiluvya ya Pwani kwa bao 1-0

kwa habari zaidi fungua hapa    

                                                                      

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA