Haruna Moshi 'Boooban akiwa na kocha mkuu
wa Coastal Union, Hemed Morocco dakika chache baada ya kusaini mkataba
wa mwaka mmoja
Boban akisaini mkataba mbele ya kocha Morocco.
Mlinzi wa kati wa JKT Oljoro, Marcus Ndeheli akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Coastal Union.
Kiungo mshambuliaji, Kenneth Masumbuko akisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Coastal Union.
Juma Said Nyoso na Steven Mnguto makamu mwenyekiti wa Coastal Union.
Juma said Nyoso akitia saini kuitumikia coastal union kwa mkataba wa mwaka mmoja.
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP 2012
ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi ya
New Bo...
11 years ago
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA