Aug 23, 2013

HATIMAE YULE MSANII ALIYEPIGA NA MADADA WAKIWA UCHI ATIWA MBAROONI



 




 

 Jeshi la polisi kanda ya Dar es Salaam linadaiwa kumtia mbaroni msanii anaetuhumiwa kupiga picha chafu na wanawake mchanganyiko wakiwema mamiss maarufu na baadae kusambaza kwenye mitandao yote ya kijamii pamoja na kuripotiwa kwenye magazeti mbalimbali
 

Mwandishi wetu amefanikwa  kuzinasa  picha  za  Manaiki  akiwa chini ya ulinzi wa  polisi huku akiwa amevishwa pingu na kurukishwa kichurachura.
 
 
Habari za uhakika zilizonaswa  zinasema kuwa msanii huyo alikamatwa siku chache baada kuvuja kwa picha zake za aibu zikimuonesha akiwa na wanawake tofauti tofauti.
 
HABARI NA PICHA KWA HISANI YAhttp://peruzibongo.blogspot.com  
 
KWA PICHA ZAIDI ZA MANAIKI AKIWA NA WAREMBO BOFYA HAPA  
KUONA PICHA ZAIDI