Aug 23, 2013

RAIS KIKWETE ASHIRIKI SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MUGABE WA ZIMBABWE JIJINI HARARE


Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mama Salma Kikwete wakiwasili katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa Rais Robert Gabriel Mugabe Agosti 22, 2013.

  
http://2.bp.blogspot.com/-tYBw9U-n9S0/Uhco3v7XPgI/AAAAAAAEqs8/MsBalml4gmc/s1600/ha25.jpg
 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Rais Robert Gabriel Mugabe katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa Rais huyo Agosti 22, 2013.
 
Rais Mstaafu Mzee Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa wakimpongeza Rais Robert Mugabe katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa rais huyo Agosti 22, 2013.

 


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wengine jukwaa kuu uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa Rais Robert Gabriel Mugabe Agosti 22, 2013.
 
Marais wastaafu Mzee Benjamin Mkapa na mkewe mama Anna Mkapa na Alhaj Ali Hassan Mwinyi wakiwa katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa Rais Robert Gabriel Mugabe Agosti 22, 2013.
 

 

Rais Mstaafu Mzee Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa wakiwasili katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa Rais Robert Gabriel Mugabe Agosti 22, 2013.



 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoka katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, baada ya kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Robert Gabriel Mugabe Agosti 22, 2013. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini zimbabwe, Mhe Adadi Rajabu.PICHA NA IKULU