Sep 5, 2013

MWANAMKE WA KINAIGERIA AKAMATWA AKITAKA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA

    
ANTHONIA OJO AKIELEKEA KWENYE GARI BAADA YA KUKAMATWA.

 
 PASPORT YAKE.

 
 SEHEMU YA KETE 99 ALIZOKAMATWA NAZO.
 
HILO NDO BEGI MADAWA HAYO YALIKUWEMO

 
AKIZITOA KWENYE MIKEBE YA POWDER NA SHAMPOO 



HUYO NDO ANTHONIA OJO AKIWA KITUO CHA POLISI
 
 
MADAWA HAYO YAKIRUDISHWA KWENYE VYOMBO BAADA YA KUONESHWA KWA WANAHABARI.
 
RECORD ZA ANTHONIA ALIWAHI KUJA TENA MWAKA 2011
 
Anthonia Ojo (25) Raia wa Nigeria akiwa na kete 99 za madawa ya kulevya baada ya kukamatwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam jana, akieleke Roma Italia kupitia Paris Ufaransa kwa ndege ya Ethiopian Airways. 
Msichana huyo aliingia hapa nchini Agosti 30 akitokea Nigeria. Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Viwanja vya Ndege, Renatus Chalya, Ojo anaendelea kubaki chini ya ulinzi wa polisi kwa uchunguzi zaidi, wakati madawa hayo yamepelekwa kwa ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali ili kubaini aina ya dawa hizo, thamani yake na hatimaye atafikisha mahakamani.
KWA HISANI YA http://jumamtanda.blogspot.com