Wanitaka ndio ujio wa ngoma mpya kutoka kwa msanii Belle 9 ambapo ngoma
yake ya mwisho kuachia ilikuwa ni Listen ambayo video yake ilifanywa na
Director Nisher. Isikilize ngoma hii hapa chini.. na http://www.annapita.com
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP
2012 ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi
ya New B...
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA