Dec 30, 2013

BAADA YA MBEYA MOROGORO DAR ES SALAAM NA SASA NI ZAMU YA MWANZA KUGOMEA MASHINE ZA TRA


Hali  si  nzuri  sana  jijini  Mwanza  kutokana  na  mgomo  wa  wafanyabiashara  wa  jiji  la  mwanza  ulionza  leo  asubuhi....

Kwa  mujibu  wa  paparazi wetu  aliyeko  jijini  Mwanza  muda  huu, maduka  yote  yamefungwa  na  wafanyabiashara  hao  wako  barabarani  muda  huu  na  mabango  yao  wakielekea  viwanja  vya  Tanganyika....
Chanzo  cha  mgomo  huo  kinadaiwa  kuwa  ni  mashine  za TRA ambazo  zimekuwa  zikipingwa   kila  kona  ya  nchi.. 


 

 
MADUKA YAKIWA YAMEFUNGWA

 
WAFANYA BIASHARA WAKIWA WAMEKUSANYIKA VIKUNDI VIKUNDI

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA