SHAKEEL INVESTMENT
  • Home
  • VIDEO
  • SIKILIZA MUSIC HAPA
  • MAKALA MAALUM
  • CONTACT TO US

Dec 16, 2013

MAPYA MCHAGA TENA AAMUA KUPIGA KIBERITI NYUMBA YAKE BAADA YA KUBAINI MKE WAKE ANAMSALITI


Nyumba ya familia moja huko mtaa wa ugombolwa Kata ya Segerea ikiwa inateketea kwa moto usiku huu mara baada ya Baba wa familia hiyo kuhisi kuwa mke ana mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mmoja na kuamua kuichoma moto nyumba hiyo sababu ya wivu wa mapenzi. 

 
 Nyumba ikiendelea kuteketea kwa moto mkali 


Kwa moto huu hakuna kilichoweza kuokolewa mpaka sasa

 
Baadhi ya Wakazi wa Mtaa wa Ugombolwa, Kata ya Segerea Wilaya ya Ilala Jijini Dar wakishuhudia nyumba hiyo ikiteketea kwa moto.
Segerea, Dar Es Salaam, Nyumba moja iliyopo Mtaa Ugombolwa Kata ya segerea Jijini Dar imeteketea kwa moto mara baada ya baba wa familia ya nyumba hiyo kuhisi kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwingine.

Hali hiyo imetokea usiku huu majira ya Saa tano Kasoro usiku katika Mtaa wa Ugombolwa, Kata ya Segerea, Wilaya ya Ilala Jijini Dar Es Salaam ambapo inasemekana baba wa familia hiyo alichukua uamuzi huo mara baada ya kusikia kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwingine nje na mara baada ya kutokuelewa kwao ndipo alipochukua uamuzi huo wa kuitia moto nyumba hiyo.

Mmoja wa shuhuda alisikika akisema kuwa "Hawa Wachaga wana matatizo sana Ebu Ona Sasa mwanaume Mzima Anateketeza Nyumba yake aliyoijenga kwa mamilioni ya Shilingi kisa Mkewe anatembea nje ya ndoa Sasa ona watoto wake wataishi wapi?..watu wengine ni wajinga sana Kama mwanamke anatembea nje ya ndoa si umpe talaka tu" alisikika akiongea Shuhuda huyo.

Mpaka Mtandao huu unaondoka eneo la tukio nyumba hiyo ilikuwa bado ikiteketea kwa moto na hakuna dalili zozote zile zilizokuwa zikichukuliwa kwaajili ya kupambana na moto huo huku ikiwa haijafahamika kama wakati nyumba hiyo ikitiwa kiberiti familia ya huyo baba ilikuwepo ndani ya nyumba au laah huku ikikadiriwa kuwa mali zote zilizomo ndani ya nyumba hiyo zimeteketea kwa moto kwani mpaka tunaondoka hakuna kikosi cha zimamoto kilichofik eneo la tukio wala majirani hawakuonyesha dalili zozote zile za kuuzima mot huo.

Mpaka tunaondoka eneo la tukio hakuna taarifa yoyote ile ya majeruhi wala watu kupoteza maisha katika ajali hiyo ya moto. 

CHANZO NA http://www.jamiiforums.com

imewekwa saa 3:19 PM
Email This BlogThis! Share to X Share to Facebook

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANGAZA NASI

TANGAZA NASI

Total Pageviews

Blogger templates

Blogger news

  Dar Es Salaam Time

Popular Posts

  • Did Jay-Z wear a shirt in which The Devil was having sex with Jesus?
      young jezzy Rocking the same shirt….   The answer is capital “NO”… Few days back a photo of Jay z wearing A controversial shi...
  • HUU NDIO WARAKA WA MCHUNGAJI MTIKILA
    MAANGAMIZI YA KUTISHA YA WANANCHI WA BULIGI (Wanyarwanda wahusika na unyama dhidi ya Wasukuma) Hii ni Taarifa ya kuteketezwa za...
  • wapendanao = Hammer Q & Salha (Mr & Mrs)
  • Kim Kardashian Shame Haters , Post-Pregnancy Bikini Body 6-Months After Childbirth.
        Kim Kardashian is having the last laugh as she flaunts her post-pregnancy bikini banging body on Miami beach just 6-months after gi...
  • New AUDIO | PNC ft DULLYSYKES - Sina Mpango nawe | Download
     
  • NEYMAR ATUA RASMI BARCELONA
      NEYMAR AKIWASILI BACELONA NA HAPA AKIWAPUNGIA MKONA MASHABIKI AMBAO HAWAKO PICHANI MASHABIKI WAKIMSUBILI MCHEZAJI WAO MPYA NEYMAR N...
  • Video Mpya : Belle 9 – Burger Movie Selfie
                                                         
  • KAMA HUJAWAHI KUONA WANAMITINDO WAJAWAZITO BASI CHECK HAPA
     BAADHI YA WANAMITINDO HAO     Uyo Okebie-Eichelberger is a Nigerian-born American maternity lingerie designer for  You! Linge...
  • SIKILIZA NA KUDOWNLOAD KIRUNGU YA MARLAW
  • TIMU YA TAIFA YA UINGEREZA YAANZA MAZOEZI KUJIANDA NA MECHI YA KIRAFI DHIDI YA NORWAY
    Leo asubuhi kwa mara ya kwanza kocha wa timu ya taifa ya Uingereza kwa ajiri ya kujianda na mechi dhidi ya Norway itakayo chezwa siku ya ju...

Search This Blog

Lastest Templates

Loading...

Blog Archive

Don't Forget To Join With Our Community
×
+Get this at Blogger Spice

Recent News

Labels

  • shabanishakel.blogspot.com (2)
  • www.shabanishakeel.blogspot.com (31)
post by Shakeel Investment email shakeelshabani@gmail.com . Powered by Blogger.

BLOGS WASHIRIKA

  • BONDE FOOTBALL CLUB
    BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012 - Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP 2012 ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi ya New B...
    13 years ago
  • BONGO YETU
    Video Mpya : Belle 9 – Burger Movie Selfie - [image: http://www.hassbabytz.com/wp-content/uploads/2015/12/Belle-9-Burger-Movie-Selfie.png]
    9 years ago
  • Idhaa ya Kiswahili Radio Tehran
    -
  • JUMA MTANDA
    MAISHA YA MWANASOKA HODARI, PELE NA MAISHA NJE YA SOKA YANASIKITISHA ! - Na Geofrey Chambua. Kwa watu wengi, Pele ni mchezaji bora zaidi kuwahi kushuhudiwa katika uwanja wa kandanda, na siyo bure kwamba walimpa jina la utani ka...
    7 years ago
  • Kandanda | The World of Football
    -
  • Maskani ya uchambuzi yakinifu
    卵管の詰まりを調べる不妊検査 - 不妊の原因を調べることが不妊治療の第一歩です。 この不妊検査には卵管通水・通気検査があります。 卵管が詰まって・・・
    9 years ago
  • MICHUZI
    MRADI WA SERIKALI , BARRICK NORTH MARA WA UWEZESHAJI WACHIMBAJI WADOGO TARIME MBIONI KUANZA - Wachimbaji wadogo wakiwa na leseni za uchimbaji madini walizopewa wakati wa uzinduzi wa programu hii mwezi Mei,2025. ** Tarime: Mradi wa Serikali wa kuwa...
    14 hours ago
  • MUNIRA MADRASA
    ASKOFU: KANISA LINAPASWA KUJICHUNGUZA NA KUJIREKEBISHA KUTOKANA NA UOZO. - *Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Valentino Mokiwa. * Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Valentino Mokiwa amewaonya wakristu dhidi ya mambo ambay...
    9 years ago
  • Salma Msangi
    MBOWE AMTAKA MEYA WA JIJI LA ARUSHA KUONYESHA UTOFAUTI NA WAKATI CCM IKITAWALA - Meya wa jiji la Arusha ametakiwa kuonyesha utofauti na wakati wa halmashauri hiyo ilipokuwa chini ya CCM. Hayo yamesemwa na Mwenyenyekiti wa Chama cha De...
    9 years ago
  • Sammisago.com
    -
  • Shaffih Dauda in Sports.
    -
  • SPORTS IN BONGO
    NAFASI ZA MASOMO AL MAKTOUM COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY - Chuo cha Al-maktoum College Of Engineering and Technology (AMCET) kinatangaza nafasi za masomo ya cetificate na diploma kwa mwaka wa masomo wa 2013/14. Ch...
    12 years ago
  • SWAHILI ORIGINAL ™ | TANZANIA
    -
  • TheCHOICE
    HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ANAVYO PENDWA NNCHINI KENYA...MASHABIKI WA VILABU KENYA WATENGENEZA TAWI LA MAGUFULI - [image: https://4.bp.blogspot.com/-POin-ICpMzk/Vxycbod3M9I/AAAAAAAA-ow/5_NzoDtRh4owGE8mr3leX16dBvvT8cwOACLcB/s640/13043528_976655849080443_90653603117684311...
    9 years ago

CALENDAR

Calendar

Popular Posts

  • TASWIRA YA HALI ILIVYO MAHAKAMANI LEO KATIKA KESI YA ZITTO NA CHADEMA
          Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Z. Kabwe pamoja na Mwanasheria wake,Albert Msando (kulia) wakiwasil...
  • MAZISHI YA MAMA YAKE PROFESA JAY YALIVYO KUWA
      MCHUNGAJI AKISOMA IBADA  MH: MNYIKA NAE ALIKWENDA KUMPA POLE PROFESA J  MWILI WA MAREHEMU UKIPELEKWA MAKABURINI WAOMBELE...
  • WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA RAIS KUELEZA KERO MBUNGE FILIKUNJOMBE AWACHANA MAWAZIRI MBELE YA JK
     Wananchi  wa Mlangali  wakiwa  wamezuia  msafara wa Rais Kikwete    Madai  ya  wana Ludewa kwa JK  Msafara  wa JK  ukiwa  umezuiwa  e...
  • Timu Nne Kucheza Nusu Fainali RCL
    Timu nne zimefuzu kucheza hatua ya nne (nusu fainali) ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) baada ya kushinda mechi zao za hatua ya tatu ya ...
  • MOTO MKUBWA WAUNGUZA JENGO LA RK BARABARA YA NYERERE DAR
                              Jengo la RK lililokaribu na eneo la Jet katika Barabara ya Nyerere karibu na sheli ya Victoria linaendelea...
  • HII NDIO KAURI YA CHRIS BROWN KWA KANYE WEST
    Chris Brown tells Kanye West to hire 'street thugs' for protection           A day after Kanye West blasted US Talk show ho...
  • JKT YATOA ORODHA YA VIJANA WALIOMALIZA SECONDARY WANAOTAKIWA KWENDA MAFUNZONI
    YAFUATAYO NDIO MAJINA NA SEHEMU WANAZOKWENDA  KAMBI YA  BULOMBORA JKT - KIGOMA  KAMBI YA KANEMBWA JKT - KIBONDO  KAMBI YA RWAMKOM...
  • MPIGA TUMBA MAARUFU MCD (SOUD MOHAMMED SAID) AMEFARIKI DUNIA
    KWA MAELEZO YALIYOTOLEWA PUNDE NA MENEJA WA AFRICAN STARS BAND TWANGA PEPETA, HASSAN REHANI, MPIGA TUMBA MAARUFU  SOU...
  • MAULID YA SHAKEEL YAFAANA SANA BAGAMOYO
     Picha juu ni mtoto shakeel siku ya maulid yake iliyofanyika Bagamoyo maeneo ya maungani nyumbani kwa Maalim Sudi  Hata mama Salim  nae...
  • NGASA ATAMBULISHWA RASMI YANGA
      Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mch...

Followers