Taarifa zilizopatikana hivi punde zinasema FIFA imebaliki
taratibu za uhamisho wa mshambuliaji Emmanuel Okwi kutoka SC Villa kujiunga na
Yanga.
Taarifa kutoka ndani ya shirikisho la mpira wa miguu hapa
nchini TFF zinasema FIFA imemruhusu mchezaji huyo kuendelea kucheza, nakuhusu
suala la deni la Simba shirikisho hilo limesema bado linalifanyia kazi.
HABARI KWA NIABA YA http://www.shaffihdauda.com
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA