May 2, 2014

AJALI MBAYA YATOKEA MKOANI MOROGORO USIKU WA KUAMKIA LEO


 Ajali mbaya imetokea usiku wa wa wakuamikia leo karibu na Morogoro ikihusisha magari sita kuna watu waliojeruhiwa ila hakuna taarifa ya kifo 





 Wasamalia wema wakiwa wamefika kutoa msaada

 Hizi ndio nyanya zilivyotapakaa eneo la ajari


Moja ya magari likiwa limeharibika vibaya

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA