Jul 2, 2012

SPAIN NDIO MABINGWA WAPYA WA ULAYA 2012


Timu ya Spain jana usiku ilidhihilisha kuwa wao ndio mabingwa wa soka wa dunia baada ya jana kuibuka mabingwa wa soka wa Ulaya baada ya kuifunga timu ya Itali kwa mabao 4-0.

 David Silva of Spain scores the opening goal
Mfungaji wa goli la kwanza Silva

We are the champions: Skipper Iker Casillas lifts the trophy as the team celebrate 
Iker Casillas akiwa amenyanyua juu kombe baada ya kukabidhiwa huku wachezaji wa Spain wakishangilia kwa nguvu.

 Spain celebrate after their 4-0 victory 
Wachezaji wa Spain wakishangilia baada ya kuibuka na ushindi wa goli 4-0 dhidi ya Itali

Mario Balotelli of Italy shows his dejection as the the Spanish team celebrate 
Mario Balotelli akiwa amini kilichotokea baada ya mpira kwisha

 
Cassanoakijaribu kuipenya ngome ya ngumu ya Spain

Fernando Torres of Spain scores his side's third goal 
Fernando Torresnae hakuwa nyuma katika kuiadhibu Itali

Juan Mata of Spain scores his team's fourth goal 
Juan Mata alifunga ukurasa wa magoli kwa Spain hapo jana ni goli la 4

Spain wao walitumia mtindo wao wa (4-3-1-2) na iliwakilishwa na  Casillas 7; Arbeloa 7, Pique 8, Ramos 8, Jordi Alba 8; Xavi 8, Busquets 7, Xabi Alonso 7; Fabregas 8 (Torres, 75, 7); Silva 8 (Pedro, 58, 7), Iniesta 9 (Mata, 87, 6)

Itali wao walitumia mtindo wao wa  (4-1-3-2)  na iliwakilishwa na  Buffon 7; Abate 6, Barzagli 6, Bonucci 5, Chiellini 4 (Balzaretti, 21, 7); Pirlo 7; Marchisio 6, Montolivo 6 (Motta, 56, 6), De Rossi 7; Balotelli 5, Cassano 5 (Di Natale, 46, 6)

 Referee: Pedro Proenca (Portugal)

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA