May 6, 2012

SIMBA YAUA TAIFA YAIPIGA YANGA 5-0

TIMU YA SIMBA YA DAR ES SALAAM LEO IMEDHIHILISHA KWAMBA MWAKA HUU NI MOTO WA KUOTEA MBALI BAADA YA KUWAFUNGA WATANI ZAO WA JADI YANGA JUMLA GOLI   5-0  ILIKUWA NI DAKIKA YA KWANZA NA SEKUNDE 18 SIMBA ILIPOPATA GOLI LA KUONGOZA MFUNGAJI AKIWA EMENUEL OKWI 

UBAO WA MATANGAZO YLIKUWA UNASOMEKA HIVI  DAKIKA YA 84 HUKU MASHABIKI WA YANGA WAKIWA MAMEKATA TAMAA NA KUANZA KUTOKA UWANJANI .


   OKWI MFUNGAJI WA GOLI LA KWANZA KWA UPANDE WA SIMBA


MASHABIKI WENGI LEO WALIONEKANA KUMCHUKIA SANA MCHEZAJI WAO NURDINI BAKARY HUKU WAKIMSHUMU KUWA HATA SIKU MOJA YEYE HUWA HAIFUNGI SIMBA NA NDIO SABABU KAWAKOSESHA USHINDI KIPINDI CHA KWANZA


KIPINDI CHA KWANZA KWANI YANGA WALIONEKANA KUWAWINI VIZURI SIMBA TATIZO LIKAWA NI UMALIZIAJI WAO MBOVU TU



 MASHABIKI WA SIMBA WALIOJITOKEZA UWANJANI TAIFA KUSHUHUDIA TIMU YAO IKIIFUNGA YANGA
 MASHABIKI WA YANGA HAWAKUJITOKEZA KAMA KAWAIDA YAO UNAWEZA SEMA WALIJUA NINI KITATOKEA


WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA WAMEMBEBA KOCHA WAO JUU JUU BAADA YA MPIRA KWISHA 


EMANUEL OKWI AKIVAA MEDALI YAKE BAADA YA SIMBA KUWA MABINGWA WAPYA WA TANZANIA BARA




JAMA KASEJA NAHODHA WA TIMU YA SIMBA AKIKABIDHIWA KOMBE NA WAZIRI MPYA WA HABARI VIJANA NA MICHEZO  DK FENELA MKANGALA 


WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA WANASHANGILIA BAADA YA KUKABIDHIWA KOME LAO 
  
 WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA WAMEONYESHA ISHARA YA TANO DHIDI YA WATANI ZAO YANGA 

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA