Jun 29, 2013

Iran kujenga kituo kipya cha nyuklia

 http://kiswahili.irib.ir/media/k2/items/cache/8c8111504bf4e4b6fe5466afac8b05c3_XL.jpg
Dakta Fereydun Abbasi

Dakta Fereydun Abbasi Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ina mpango wa kujenga kituo kipya cha nyuklia. Akizungumza na waandishi wa habari wa kigeni katika mji wa 

Saint Petersburg nchini Russia, Dakta Abbasi ameongeza kuwa, eneo la kujengwa kituo hicho kipya limeshatengwa, na hivi karibuni Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia IAEA utajulishwa juu ya mpango huo. Abbasi ambaye anahudhuria maonyesho ya kimataifa ya Atom - Expo 2013 na kikao cha nishati ya umeme wa nyuklia katika karne ya 21 mjini Saint Petersburg ameongeza kuwa, mikakati ya Iran ilikuwa ni kujenga tanuri la nyuklia lenye uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 1,000 hadi 1,200 huko 

Bushehr, ambapo moja kati ya miradi hiyo miwili tayari umeshaanza kufanya kazi. Akizungumzia uwezekano wa kubadilishwa siasa za nyuklia za Iran baada ya kuingia madarakani serikali ya Dakta Hassan Ruhani, 

Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amesema kuwa, shughuli za nyuklia za Iran zinafanyika kwa malengo ya amani kwa minajili ya kudhamini nishati ya umeme na kuondoa mahitajio kwa wananchi na kwamba hakuna mabadiliko yoyote ya kimsingi yatakayofanyika.

CHANZO NA  http://kiswahili.irib.ir

Barthez achana mkataba wa Kaseja Yanga

 
 JUMA KASEJA

VIGOGO wa Yanga walikuwa wanabishana kuhusu nani wamsainishe kati ya kipa Deo Munishi ‘Dida’ na Juma Kaseja, wakashindwa kufikia muafaka. Ngoma ikalala.
Wakaamka asubuhi, wakakaa tena, wakafikiria weee, hawakufikia muafaka, baadaye wakapata jibu. Wakamkabidhi kipa wao namba moja, Ally Mustapha ‘Barthez’ rungu afanye uamuzi kati ya Kaseja na Dida nani anataka afanye naye kazi Jangwani.
Unajua alichofanya Barthez akawaambia: “Nileteeni Dida.” Mwenyekiti wa Usajili wa Yanga, Abdallah Bin Kleb akampigia simu Dida akakutana naye chemba juzi Alhamisi jioni jijini Dar es Salaam na bila ajizi akamsainisha mkataba wa miaka miwili, biashara ikawa imeisha.
Kwa maana hiyo mkataba wa Kaseja ukawa kama umechanwa Jangwani, lakini mkataba wa Dida ukapigwa muhuri, sahihi na dole gumba kijana akale chake akaondoka.
Simba imetangaza kumtema Kaseja na kwa sasa anahaha kusaka klabu mpya.
Bin Kleb aliliambia Mwanaspoti kuwa walifikiria kwanza kumsajili Kaseja wakakutana na kukuna vichwa sana kabla ya kuamua kuachana na kipa huyo ambaye ni nahodha wa  Taifa Stars baada ya kupata pia uamuzi wa Barthez.
“Tulianza kukusanya maoni kuhusiana na suala la kipa, kuna wadau wa Yanga walisema tunaweza kumsajili Kaseja huku wengine wakisema tuachane naye kwani aliwahi kudumu Yanga kwa msimu mmoja tu pamoja na kusajiliwa kwa pesa nyingi,” alisema Bin Kleb.
“Kwa kifupi Barthez ndiye aliyepiga kura ya veto kwa Dida na kusisitiza kuwa lazima asajiliwe kipa huyo ambaye aliwahi kusota naye benchi katika klabu ya Simba huku Kaseja akitawala. Hakukuwa na pingamizi zaidi ya kuanza mazungumzo naye Dida,” alisema.
Bin Kleb alisema pamoja na Dida kukumbwa na kashfa ya rushwa iliyohusisha klabu ya Simba, msukumo mwingine walioupata ni uamuzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ambayo ilimsafisha kipa huyo na wenzake watatu.
“Naomba wana Yanga wampe sapoti kubwa kama wachezaji wengine, ambao waliwahi kuichezea Simba kwa kipindi fulani,” alisema kiongozi huyo huku Dida akiomba sapoti ya wachezaji wenzake.
“Naomba mniamini kama ilivyokuwa kwa Kaseja ambaye alicheza Yanga huku akiwa ametokea Simba ambako alikuwa amecheza zaidi ya miaka saba. Naomba wanachama, wazee wa Yanga, wadau, mashabiki waniamini kama  ulivyofanya uongozi nitafanya kazi nzuri.”
Dida, Barthez na Kaseja wote wamekuwa kucheza pamoja Simba.

chanzo  http://www.mwanaspoti.co.tz

Jun 28, 2013

VIONGOZI WA CUF TAIFA WATEKWA MTWARA

MH: PROFESA LIPUMBA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
 
TAREHE 28/06/2012

KUTEKWA KWA NAIBU MKURUGENZI WA OGANAIZESHENI UCHAGUZI NA BUNGE WA CHAMA CHA WANANCHI CUF TAIFA MHE. SHAWEJI MKETO NA VIONGOZI WENGINE WA CUF MKOANI MTWARA.

Juzi Jumatano tarehe 26 Juni 2013 Mkurugenzi wetu wa Oganaizesheni Uchaguzi na Bunge mhe. Shaweji Mketo alitumwa na chama chetu kuhudhuria kesi inayowakabili viongozi mbalimbali wa CUF katika mahakama ya Mtwara Mjini (Kesi inayomkabili MHE.KATANI AHMAD KATANI na wenzake).

Mhe. Mketo alipotoka mahakamani alifanya kikao na wanachama wa CUF Mtwara mjini ambao walimueleza unyanyasaji na ukatili mkubwa ambao wanajeshi na polisi wanawafanyia wananchi wa Mtwara. Palitolewa ushahidi wa binti mmoja aliyenajisiwa na binti huyo aliripoti tukio husika katika kituo cha polisi cha Msimbati kilichoko Mtwara na binti huyo alipeleka polisi hadi ushahidi wa wa mipira ya kiume iliyotumika kumfanyia unyama huo lakini polisi hawakuchukua hatua yoyote hadi leo.

Mhe. Mketo na viongozi wengine waandamizi watano walielekea maeneo ya kijiji cha Msimbati ambako binti huyo amesitiriwa baada ya unyama huo. Mzazi wa binti aliyebakwa anajulikana kwa jina la SELEMANI BIN OMARI. Mhe. Mketo na viongozi aliokuwa nao walifika kijiji cha Msimbati na kukusanya ushahidi walioufuata na kisha wakakutana na wakakutana na mwenyekiti wa kijiji cha Msimbati ambaye anatoka Chama Cha Wananchi CUF wakafanya naye kikao kifupi na kisha wakaondoka kurejea Mtwara Mjini.

Kati ya saa 11.30 – 12.00 jioni walifika eneo la kilometa tatu kabla ya kuingia mjini(Eneo la njia pacha). Magari mawili ya kijeshi moja likiwa aina ya TATA na lingine likiwa DEFENDER ya jeshi yaliziba barabara. Ilibidi gari ya mhe. Mketo iliyokuwa ikipeperusha bendera ya chama chetu isimame(Gari hii ni aina ya NISSAN PATROL yenye namba T 866 BGW – Mali ya Chama Cha Wananchi CUF). Askari jeshi zaidi ya 50 waliivamia gari yetu na kuanza kuwapiga mhe. Mketo na wenzie bila kuwajulisha chochote na kisha kuwatupa katika karandinga la jeshi kama vile wanatupa mizigo.

Baada ya kuwateka waliwapeleka katika kambi ya jeshi ya NALIENDERO iliyoko maeneo ya jirani na Mtwara mjini na kuwashikilia huko tangu jana jioni hadi leo mchana.

Mimi binafsi nilifikishiwa taarifa hizo na Mhe. Mtatiro majira ya saa 2 usiku na nilipopewa taarifa hizo nilipiga simu za mhe. Mketo (Naibu Mkurugenzi wa Oganaizesheni Uchaguzi na Bunge CUF taifa) na Mhe. Kulaga(Katibu wa Wilaya) na namba zao zilikuwa zinapokelewa na wanajeshi hao huku wakijibu matusi. Taarifa tulizonazo ni kuwa Mh. Mketo na wenzie wanateswa na ndiyo maana simu zao zikipigwa wanajeshi hao watesaji wanajibu matusi.

Mhe. Mtatiro alimpigia RPC wa Mtwara na RPC akajibu kuwa yeye hana taarifa na viongozi wetu kushikiliwa na hajui wako wapi. Tumeendelea kuwajulisha viongozi mbalimbali wa jeshi la polisi na ulinzi juu ya tukio hili. Hivyo, pamoja na mashuhuda kuona wakipelekwa katika kambi hiyo ya jeshi bado kama chama hatujui hasa wako wapi kwani simu zao zinapokelewa na watekaji na watesaji wao tu.

CUF – Chama Cha Wananchi kimesikitishwa na kufadhaishwa na kitendo hiki cha utekaji nyara viongozi na raia wasio na hatia yoyote. Tumeumizwa zaidi kaa chama baada ya kuona kuwa jeshi la Ulinzi la Tanzania lenye mamlaka ya kulinda mipaka ya nchi hivi sasa limeachiwa sasa kazi ya polisi ya kukamata raia. Pamoja na Jeshi kuachiwa kazi za polisi(JAMBO AMBALO NI KINYUME NA SHERIA), wanajeshi hao wanatumia mamlaka hayo batili kuteka wananchi, kuwapeleka kwenye kambi za jeshi na kuwateka kwa siku watakazotaka. Nchi yetu inaelekea wapi? Leo Tanzania mwananchi anakamatwa na askari Jeshi badala ya polisi! Haya mamlaka askari jeshi wamepewa na nani na wameyatoa wapi?

Kwa mujibu wa sheria hata ikitokea mazingira ambayo hayakwepeki kwa askari wa jeshi au vikosi vingine kumkamata raia, ni sharti la kwanza kuwa lazima wamkamate raia huyo bila nguvu na wamkabidhi raia huyo kwa jeshi la polisi mara moja. Sasa iweje Mketo na wenzie wakamatwe na wanajeshi (kinyume na sheria na bila kufanya kosa lolote) saa 11 jioni eneo ambalo ni kilometa tatu tu kutoka kituo kikuu cha polisi Mtwara mjini na badala yake wanapelekwa kwenye kambi ya jeshi kuhojiwa kuteswa na kushikiliwa? Leo jeshi la ulinzi ndiyo lina kazi ya kuhoji raia?

Tunataka serikali na jeshi viwajibike haraka iwezeikanavyo. Jeshi la Ulinzi liache mara moja vitendo vya kinyama vya kuteka na kutesa wananchi wa Mtwara na viongozi wa CUF na tunataka wanajeshi wamuachie mhe. Mketo na viongozi wetu mara moja na bila masharti yoyote.

Tayari tumewasiliana na wanasheria wetu tokea jana usiku na timu yetu ya mawakili iko Mtwara Mjini tangu asubuhi hii kufuatilia suala hili na kuhakikisha kuwa viongozi wetu wanapata haki. 
Tunaitaka serikali isiendeleze vitendo vya namna hii kwani vinawavunja moyo wananchi na vinawakatisha tamaa na hali hii ikiendelea wananchi watavichukia vyombo vya ulinzi na usalama, jambo ambalo litakuwa na mustakabali mbaya.

Tunalitaka pia jeshi la polisi lifanyie kazi ukatili aliotendewa binti ya Selemani Omari kwa kubakwa na askari jeshi na askari husika afuatiliwe na sheria za nchi zichukue mkondo wake. Sambamba na hilo ,asasi za kiraia, za kisheria na za kutetea haki za wanawake zifanye juhudi kubwa kuhakikisha kuwa wanafika Msimbati na kukutana na binti huyu aliyebakwa ili asaidiwe kisaikolojia kwani kitendo alichofanyiwa ni kovu la kudumu kwa maisha yake. Chama Cha Wananchi CUF kinatoa pole kwa binti aliyebakwa na familia yake, wawe watulivu na wasaidiane na kila mdai haki kupigania haki yao.

Aidha tunatoa wito kwa vyombo vya habari vifanye juhudi kubwa kuweka kambi Mtwara ili kujionea ukatili wanaofanyiwa wananchi na kuuripoti kwa watanzania wote, wananchi wa Mtwara wasitengwe na asasi zinazoweza kutangaza ukatili wanaofanyiwa.

Imetolewa na :-
Prof. Ibrahim Lipumba
Mwenyekiti wa CUF-Chama cha wanachi, taifa
Mh.Prof.Ibrahim Lipumba

Jun 27, 2013

YANGA KWENDA KANDA YA ZIWA


 kikosi cha yanga

Timu ya Young Africans inatarajiwa kwenda kanda ya Ziwa mwishoni mwa wiki ijayo kwa ajili ya kucheza michezo ya kirafiki ya kujiandaa na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu 2013/2014, ambapo itatumia fursa hiyo kuwaonyesha  kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom na kusherehekea pamoja na wpenzi, washabiki na wanachama wake.

Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga, mkurugenzi wa kampuni ya Nationwide ambao ndio waandaji wa ziara hiyo Frank Pangani amesema wao wanatumi afurs ahiyo kwa wakazi wa kanda ya ziwa kupata fursa ya kuwaona wachezaji wa Yanga wakiwa na kombe lao la Ubingwa wa Vodacom pamoja na kushuhudia michezo ya kirafiki ya kimataifa.

Naye Afisa Habari wa klabu ya Yanga Baraka Kizuguto amesema ziara hiyo wataitumia kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom, wanachama na wapenzi wa Yanga kuliona kombe la Ubingwa ikiwa ni pamoja na kucheza michezo ya kirafiki ambayo mwalimu ataitumia kwa ajili ya kukiandaa kikosi chake.

Ziara ya Mabingwa au Champions Tour ni tukio la kila mwaka linalowahusishwa mabingwa wa soka wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara na mabingwa wa soka waalikwa wa kutoka nchi jirani za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati na pia timu alikwa ya nyumbani. 

Mara ya kwanza tukio hili lilifanyika mwaka jana 2012, kwa bingwa wa Tanzania Bara wa msimu uliopita, timu ya Simba Sports Club (SSC) ya Dar Es Salaam kushiriki ziara hiyo kucheza na mabingwa wa Uganda wa msimu uliopita timu ya The Express ya Kampala na Toto African ya Mwanza.

Mwaka jana 2012 ziara hiyo ya mabingwa ilifanyika katika mikoa ya Mwanza (Uwanja wa CCM Kirumba), Simba ilicheza na Toto African ya Mwanza, Shinyanga (Uwanja wa CCM Kambarage) Simba vs Express, na Dar Es Salaam (Uwanja wa Taifa) Yanga vs Express na Simba vs Express.

Mwaka huu 2013 itakuwa ni mara ya pili kwa tukio hili la Ziara ya Mabingwa kufanyika chini ya uandalizi wa taasisi ya michezo ya Natiowide Entertaiment Centre (NEC) yenye makao yake jijini Mwanza.

Ziara ya Mabingwa mwaka huu wa 2013 itawahusisha mabingwa wa Tanzania Bara, Young Africans Sports Club (YASC) ya Dar Es Salaam na waalikwa mabingwa wa mwaka huu wa Uganda timu kongwe na mashuhuri  ya Kampala City Council (KCC) ya jijini Kampala na pia timu alikwa ya ndani inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo itatangazwa ndani ya muda wa siku mbili kutoka leo.

Mechi za Ziara ya Mabingwa mwaka huu wa 2013 zitachezhwa katika mikoa ya Mwanza (CCM Kirumba) Jumamosi 06/07/2013 Yanga vs KCC, Shinyanga (CCM Kambarage) Jumapili 07/07/2013 Yanga vs KCC marudiano, na Tabora (Ali Hassan Mwinyi) Alhamisi 11/07/2013 Yanga vs timu ya nyumbani itakayotangazwa siku mbili zijazo. Baada ya mechi hizo ziara hiyo inatarajiwa kuendelea katika mikoa itakayotanagazwa baadae.

Nationwide Entertainment Centre pia inazishukuru timu zote zinazoshiriki ziara hii ya mabingwa kila mwaka wakiwemo mabingwa wa msimu huu Yanga na mabingwa wa msimu uliopita watani wao wa jadi Simba ambao wametoa ushirikiano mkubwa, na wadhamini wa mwaka huu Kilimanjaro Premium Lager na vyombo vya habari.

Jun 26, 2013

Ay Ft Fid Q Usijaribu

Hasira kuhusu maadhimisho ya Kifo cha Foe

Cameruon yaahirisha maadhimisho ya Miaka 10-Kifo cha Foe
  
Wananchi wakasirishwa:

 


Leo imetimia miaka kumi tangu kufariki kwa mchezaji wa Kimataifa wa Cameroun Marc Vivien Foe, aliye anguka uwanjani wakati wa mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FIFA la Mabara mwaka 2003 nchini Ufaransa.


Serikali ya Cameroon imeahirisha shughuli kubwa iliyoandaliwa leo kwa ajili ya kumbukumbu ya kifo chake, hatua ambayo imezua malalamiko ya wananchi wengi wanaodai kupuuzwa kwa mchezaji huyo. 

Kifo cha Foe kiliamsha taharuki kubwa Duniani hasa kwa kuzingatia kilitokea kwenye michuano mikubwa na wakati ambapo Cameroun ilikuwa na mashabiki lukuki kutokana na ubora wa timu yao.

Amekuwa ni mtu mwenye kuenziwa kwa kiwango cha juu kuanzia FIFA hadi vilabu alivyovitumikia wakati wa uhai wake hususan timu za Olympic Lyon, West Ham United na Manchester City.

Serikali ya Cameroun ilipanga maadhimisho makubwa ya kumkumbuka Foe akitimiza miaka kumi kaburini hivi leo na maandalizi yote yalikwisha kamilika, lakini imeahirisha na kusogeza mbele hadi mwezi ujao kwa ajili ya kupisha Mkutano Mkuu wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika Magharibi na Afrika ya Kati ulioanza jumatatu wiki hii Jijini Yaunde.

Wananchi wa nchi hiyo wameghadhibishwa na kitendo hicho na baadhi yao wamenukuliwa wakisema kuwa Rais Paul Biya na Serikali yake wameshindwa kuonyesha heshima inayomstahili marehemu Foe.

 
  

Taarifa ya Serikali imesema kuwa Imeandaa shughuli hiyo kwa wiki nzima kuanzia Julai 20 hadi 27 itakayofanyika kwenye kituo kilichopewa jina la mchezaji huyo katika eneo la Nkomo-Okoui, Jijini Yaunde.

Marc Vivien Foe alikufa kutokana na mshituko wa moyo katika mchezo dhidi ya Colombia na kifo chake kimechukuliwa kama fundisho kwa wadau wa mpira wa miguu duniani kuhakiki afya za wachezaji na hasa vipimo vya moyo kila wakati.

Jambo hilo bado linasugua vichwa vya watafiti wa afya na bado hakuna majibu ya moja kwa moja ya kwa nini wachezaji wanakufa viwanjani kwa matatizo ya moyo ilhali wanapimwa afya zao ipasavyo. Wengi bado wanakumbuka mkasa uliompata mchezaji wa ligi kuu ya England Fabrice Muamba aliyezimia kwa siku kadhaa baada ya kuanguka uwanjani kutokana na matatizo ya moyo, Muamba alisalimika na amejiuzulu kucheza mpira kabisa licha ya umri wake mdogo wa miaka 23.

Rekodi zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2003 wanasoka 38 wamekufa viwanjani kutokana na kutatizwa na moyo akiwemo Alen Pamic wa Croatia aliyekufa Ijumaa ya wiki iliyopita baada ya moyo wake kusimama ghafla.

Jamii ya wapenda soka duniani imeendelea kumkumbuka na kumuenzi Foe kwa matukio mbalimbali na mwezi Mei mwaka huu, Mchezaji wa Kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang alishinda tuzo ya Marc Vivien Foe inayotolewa kwa mchezaji bora kutoka Afrika miongoni mwa ambao wanacheza ligi kuu ya Ufaransa.

Barabara jirani na ulipo uwanja alipofia Stade de Gerland mjini Lyon imepewa jina lake wakati mjini Lens huko huko Ufaransa Mtaa unaolekea uwanja mkubwa wa soka Stade Bollaert umebatizwa jina lake pia. Kadhalika kwenye uwanja wa City of Manchester umejengwa mnara mdogo kwa ajili ya kumbukumbu yake.

Kijana mmoja mjini Garoua nchini Cameroun ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa Simba huwa hafi bali anasinzia tu, akimaanisha kwamba Wacameroun bado wapo na kipenzi chao Marc Vivien Foe wanayeamini kuwa amesinzia tu.

chanzo na http://www.bbc.co.uk/swahili/habari

UKWELI KUHUSU JUAN MATA

Chelsea midfielder Juan Mata has reacted with confusion to reports he will leave Stamford Bridge this summer.

Juan Mata: Celebrating one of his 20 goals for Chelsea last season

The 25-year-old says he is still enjoying life in the Premier League and is looking forward to forging a relationship with new Blues boss Jose Mourinho.

"I don't know where that came from," Mata said when questioned about rumours linking him with a return to Spain.

"The last time I spoke with the club they told me I was a very important player to them and transmitted confidence in me.

"I'm sure Mourinho will want to see everyone first and then decide what he wants to do.
"I'm sure Jose Mourinho will want to see everyone first and then decide what he wants to do."
Juan Mata
 
"You have to know people first before you can evaluate them. After the holidays and after I've rested, I'll meet the new boss and I'm sure things will go well."

Mata joined the Blues in 2011 after four successful seasons with Valencia but he began his career with the Real Madrid academy and was coy on a potential return to the Bernabeu.

He said: "I only have good words for Real Madrid. I was there for four years and they brought me up, both as a player and a person.

"I have many friends there and I'm very grateful to the club. But I've spent two great years in London and the only thing I'm thinking about now is continuing to enjoy this league and this city that I love."
SOUSE   http://www1.skysports.com/football/news/11668/8793295/Juan-Mata-has-dismissed-reports-he-is-planning-to-leave-Chelsea?utm_source=dlvr.it&utm_medium=twitter  

Jun 25, 2013

HUU NDIO WARAKA WA MCHUNGAJI MTIKILA



MAANGAMIZI YA KUTISHA YA WANANCHI WA BULIGI

(Wanyarwanda wahusika na unyama dhidi ya Wasukuma)

Hii ni Taarifa ya kuteketezwa zaidi ya nyumba 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma kwa moto, pamoja na tani nyingi za mazao yao ambayo ni pamoja na mpunga, mahindi, maharagwe, mtama, dengu, uwele, serena, pamoja na mali zao zingine, katika eneo liitwalo Buligi, katika Wilaya ya Muleba. Unyama huu wahusika wamejaribu kuuficha kwa jina la ‘Opresheni Okoa mazingira’. Ni lengo la Katiba ya Nchi yetu na Sheria pamoja na taarifa ifuatayo, kwamba wote waliohusika na maangamizi haya waadhibiwe vikali, na wananchi wote waliofanyiwa unyama huu ni lazima walipwe fidia za mali zao na mateso ya kutisha waliyopata.

Baada ya kuchomewa nyumba zao na mali zao zote wananchi wengi wamelundikana makanisani, na wengi wako maporini wakikimbia unyama wa kutisha na kuporwa mali zao. Vijiji vilivyoteketezwa ni pamoja na Nyamiranda, Itunzi, Kasharara na Kiteme.
Uharamia uliendelea mpaka maeneo ya Karagwe na Biharamulo kama alivyoeleza Mkuu wa Mkoa wa Kagera katika vyombo vya habari, kama gazeti la Mtanzania Toleo nambari 7142 la tarehe 17/11/2012. Utetezi wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian Masawe wa maangamizi ya kutisha ya Wasukuma, kama ulivyokuwa ule wa Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, kwamba ilikuwa opresheni maalum iliyolenga kuondoa wahamiaji haramu wenye maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi ya Taifa ya Buligiuna ukweli. Lakini Wasukuma si wahamiaji haramu, kwa sababu ni wazawa katika nchi yao, na hayo maelfu ya ng’ombe katika hifadhi si ya Wasukuma bali ni ya Watusi wa Rwanda.
KIINI CHA MATATIZO YA WATUSI DUNIANI
Hakuna asiyejua kuwa malengo makuu ya kuanzishwa Umoja wa Mataifa ni pamoja na kulinda haki na usawa wa binadamu wote ulimwenguni, ili idumu amani na kuleta maendeleo katika kuboresha maisha ya binadamu. Ndiyo maana ile sera ya Makaburu ya udhalilishaji wa mtu mweusi au ubaguzi wa rangi waliyoiita apartheid ilipigwa vita na dunia yote, mpaka ikatokomezwa. Hata ushujaa wa Nelson Mandela unaopita umaarufu wa kiongozi mwingine yeyote duniani, aliupata kwa sababu ya uhanga wake katika kutetea usawa wa binadamu wa rangi zote duniani.

Lakini apartheid ya Makaburu haikuweza kuufikia ushetani wa Watusi, jinsi wanavyowadhalilisha Wahutu na Wabantu wengine, kwa imani yao chafu sana kwamba wao eti waliumbwa kwa ajili ya kutawala tu, na kwamba Wahutu waliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao! Ni makufuru yanayojulikana wazi ya Watusi kuwatema mate Wahutu au Wabantu wengine kwa kinyaa kama vile ni mavi mbele zao. Na imani yao hii ya kishetani ndilo chimbuko la mbinu na mikakati yao yote ya kutawala siyo tu Maziwa Makuu bali hatimaye hata Afrika yote ya ‘watumwa’ wao! Tabia ya Watusi ya kula wao kwanza, halafu kuwatupia makombo watumwa wao (Wahutu), tena baada ya kuyatemea mate na makohozi, ni historia inayojulikana na kila mzawa wa Maziwa Makuu. Hata maendeleo yalipozidi kutowesha giza hili, bado wanawake Watusi walilazimika kudumisha udhalili wa Wabantu kwa kuolewa na wale wenye mali lakini mimba wapate kwa Watusi wenzao, ikibidi hata kwa ndugu zao wa damu kama hakuna Watusi wengine karibu. Historia itamuenzi shujaa Gregory Kayibanda wa Rwanda kuliko inavyomuenzi Nelson Mandela wa Afrika Kusini, kwa kutokomeza ile apartheid chafu kupindukia ya Watusi nchini Rwanda mwaka 1959. Ukweli ni budi uheshimiwe na dunia kwamba Watusi wengi walikimbia kutoka Rwanda kufuatia mapindizi yale, kwa sababu ya kukwepa balaa ya kuwa chini ya watumwa wao! Watusiwalikimbilia Burundi na Tanganyika kwa baba yao Julius Nyerere, kujipanga kwa ajili ya “kurudisha ubwana wao juu ya watumwa wao” Rwanda.

Kwa imani ya kishetani ya Watusi, Watanganyika kwao wao ni mataahira tu kama Wabantu wenzao yaani Wahutu. Hata bila kupayuka Watusi wanarithishana imani kwamba sisi tuliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao.
Ubwana wa Watusi uliimarishwa kwa kupandikizwa utwana katika mioyo ya Watanganyika, wa kuwaona Watusi kuwa bora kuliko Wahutu pamoja na hata sisi wenyewe! Hali hii ndiyo iliyowezesha Watusi kujipenyeza katika sehemu zote nyeti za utawala wa Nchi yetu, pamoja na uhodari wao katika matumizi ya rushwa ya mapesa na chambo cha wanawake zao (the Tutsi sexual diplomacy). Ndivyo Watusi walivyofanikiwa hata kuiteka kifikra jumuiya ya kimataifa, ikabariki na kuwasaidia kuangamiza Wahutu zaidi ya milioni sita, na hata kugeuza kibao kuhusu genocide ya Rwanda kwamba Wahutu ndio walioangamiza Watusi! Ndiyo maana nchi yetu ilipokuwa na wakimbizi wa Kitusi na wa Kihutu, Watusi walipendelewa kwa kuhudumiwa kama wafalme na kuandaliwa kurudi “kuikomboa” Rwanda.
Kwani ingawa Rwanda ilikuwa na utawala wa kidemokrasi wa Wahutu walio wengi kwa asilimia 85% Watusi wakiwa asilimia 14% tu, ni haramu Watusi kuwa chini ya Wahutu kwavile eti ni watumwa wao!

Ni kweli kwamba matokeo ya ufisadi na utwana wa watawala wetu wanaoamini katika ubwana wa Watusi, ni pamoja na kufurahisha Watusi na baba yao Nyerere kwa kuhusika kwa serikali yetu katika yafuatayo:

1. Maangamizi ya Wahutu zaidi ya 6,000,000,
2. Uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda kupitia Uganda na Burundi, ambapo maandalizi kwa sehemu kubwa yalifanyikia nchini mwetu kwa mkono wa Serikali ya CCM.

3. Kuhusika kikamilifu na mauaji ya kinyama ya marais watatu Wahutu wa Burundi na Rwanda yaani Melchior Ndadaye, Juvenal Habyarimana na Cyprien Ntaryamira pamoja na ujumbe wao wote, na ushetani mwingine wa kutisha.

4. Kujiuza utumwani kwa Watusi, na kutumika kuliingiza eneo la Maziwa Makuu katika Himaya yao, kwa kuwasaidia kuingia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wakati hawana sifa kabisa kulingana na Mkataba wa Uundaji wa Jumuiya(EAC), kwa unyama wa ‘apartheidna genocide yao.

5. Kusaidia uvamizi wa DRC uliofanywa na Kagame na Mseveni, watawala wetu wakaivika aibu kubwa Nchi yetu kwa kukataa kushiriki katika Jeshi la SADC (SADC Alliance) la kusaidia ndugu zetu dhidi ya maharamia, Nchi yetu ikaongopea dunia bila aibu kwamba eti haiko upande wowote kati ya wavamizi na mnyonge aliyevamiwa!
6. Kuwarudishia RPF Wahutu takriban milioni moja kwa unyama usiosemeka, waliokuwa wameyakimbia mauaji ya kinyama ya RPF baada ya kuvamia nchi yao, RPF wakawapokea na kuwaangamiza wote, na kumwaga maiti zao kwa maelfu katika mto Kagera, zikawa zinafunika Ziwa Victoria mpaka General Mboma alipotoa Tamko la kuvamia Rwanda kukomesha ushetani huu wa RPF, kama wasingeacha unyama huo mara moja.

Nchi yetu inakabiliwa na kisasi cha Mwenyezi Mungu!

Na ishara tayari zinaonekana! Kuna kuacha upumbavu na kutengeneza na Mwenyezi Mungu, ama mapigo makali kuliko yaliyoipiga Misri, yatakayosimuliwa vizazi vyote! Kwa ufisadi na utwana wa watawala wa nchi yetu kwa Watusi, bila chembe ya aibu wala hofu kwa Mwenyezi Mungu waliikaribisha katika ardhi yetu ICTR, ikiwa nyenzo maalum ya kuwasaidia Watusi kuangamiza Wahutu wote wenye uwezo kiuchumi na kifikra duniani! Kenya iliikataa ICTR katika ardhi yake, kwa kumwogopa Mungu kwa sababu ni nyenzo ya genocide iliyoangamiza mamilioni ya Wahutu, ikawafuata mpaka na wale milioni 2.5 waliokuwa wamekimbizia uhai wao Mashariki ya Congo, na kuwateketeza kinyama!

Kupenyezwa kwa Watusi katika ngazi zote nyeti za utawala wa nchi yetu kumewezesha Utusi kuteka nyara sera za nchi yetu zitumikie maslahi ya Watusi, kwa gharama ya heshima ya utaifa wetu na maslahi ya nchi yetu. Na siyo siri kwamba msingi wa laana hii yote iliyoonywa na Mwenyezi Mungu katika Kumbukumbu la Torati, ulijengwa na dikteta Julius Nyerere, ambaye leo anawekwa mahali pa Mwenyezi Mungu na kufanyiwa ibada ya ‘ubaba’ wa Taifa! Utekelezaji wa ndoto ya Nyerere ya kuweka eneo lote la Maziwa Makuu chini ya Himaya ya Watusi unasimamiwa na vijana wake, madikteta Yoweri Museveni na Paul Kagame aliyeangamiza mamilioni mengi ya binadamu duniani kuliko Adolf Hitler. Propaganda za ‘Jumuiya au Shirikisho la Afrika Mashariki’ zinazopigiwa debe kwa nguvu na hawa Watusi, ni katika ujenzi wa hiyo Himaya yao.
Dikteta Yoweri Museveni ametangaza mara kadhaa haki yake ya kustahili kuwa Rais wa kwanza wa shirikisho la Maziwa Makuu (Himaya ya Watusi), na anacho kikosi cha majasusi zaidi ya 400 ndani ya Nchi yetu, yanaoiyeyusha nchi yetu kwa ajili ya kumezwa katika Himaya hiyo, na mafanikio yanaonekana kwa jinsi utawala wetu wa CCM unavyonyenyekea Watusi na kujidhalilisha kwao.

KUMEZWA KWA DRC KATIKA HIMAYA YA WATUSI
Mwuaji wa kutisha Paul Kagame alikwishaikamata DRC baada ya kufanikiwa kumwua Rais Laurent Kabila, akampenyeza madarakani Mnyarwanda Hypolite Adrien Christophe Kanambe kwa jina bandia la ‘Joseph Kabila’. Wauaji wa Rais Laurent Kabila baada ya kutoroshewa Rwanda walikimbiziwa hapa, ambapo walihamishiwa Norway kimya kimya. Mnyarwanda “Joseph Kabila” anayetawala Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kama Gavana wa dikteta Paul Kagame, ni ndugu wa damu wa Mkuu wa Majeshi ya Kagame, yaani James Kabarebe, ambaye pamoja na Kayumba Nyamwasa ndio waliosimamia yale mauaji ya kutisha ya wale Wahutu milioni 2.5 waliokuwa wamekimbilia DRC, ilipovamiwa nchi yao na wauaji wa RPF.


Ni sera ya Rwanda kuhakikisha kuwa DRC haiwi na Jeshi imara, mpaka hapo mkakati wa Himaya yao utakapokamilika. Ndiyo sababu maafisa wa juu 7,000 wa Jeshi la DRC ni Wanyarwanda. Hypolite Kanambe (Joseph Kabila) anatumikia maslahi ya Rwanda kwa uzalendo wa hali ya juu, na Rwanda inapovamia DRC pilika za Hypolite A. C. Kanambe huwa ni usanii tu wa kuhadaa ulimwengu.
 Vinginevyo lazima DRC ingewapa silaha askari Wahutu waliojichimbia Congo, ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuutokomeza unyama wa Watusi. Hata uvamizi wa Rwanda wa RPF ulifanikiwa kwa kutanguliza vikwazo vikali sana, vilivyohakikisha kuwa majeshi ya Hayati Rais Habyarimana hayawi na silaha. Historia ni budi iwe sahihi, kwamba vijana wa Nyerere yaani Museveni na Kagame walivamia Zaire kwa maelekezo ya baba yao, bila hayati Laurent Kabila, kwa malengo ya kupanua Himaya yao na kuteka tani za dhahabu na madini mengine mengi ya thamani Gbadolite, Kilomoto, Kinshasa, Kisangani na kwingine, kwa ajili ya kujipatia mabavu ya kiuchumi ya kupanulia Himaya yao, na kugharamia propaganda kali inayohadaa jumuiya ya kimataifa.

Dunia ilipoanza kupigia kelele uvamizi huo, ndipo Nyerere alipomtafuta Laurent Kabila haraka, zikiwa zimepita wiki mbili baada ya uvamizi kuanza, na kumtanguliza yeye mbele katika kuhadaa ulimwengu, kwamba ni Wakongo wenyewe walikuwa wanaikomboa nchi yao kutoka kwa dikteta Mobutu! Uvamizi ulipoingia Kinshasa Kabila aliwageuka Watusi kizalendo, na kuwaambia sasa warudi kwao wawaachie Wakongo nchi yao. Kwani aliyekusudiwa na Watusi kuwa gavana wa Rwanda wa koloni hilo ni Bizimana Karahamheto au ‘Bizima Karaha’ kwa jina la hadaa.
Uporaji wa kutisha wa utajiri wa DRC ndio mtaji wa jeuri yote ya Kagame leo, ya kuchezea amani ya Maziwa Makuu, na kusambaza maelfu ya majasusi katika nchi za kusini mwa Afrika, kuzifanyia kazi chafu ili hatimaye zimezwe katika Himaya yao, mbali ya kugharamia kikosi chake cha Escadron de la mort kinachoua wapinzani wake popote walipo duniani. Siri ya mkakati wa Nyerere wa Himaya ya Watusi ilionekana tangu alipotaka kuchelewesha uhuru wa Tanganyika, eti mpaka majirani wapate wao ili mkakati ufanikiwe, uhuni ambao ulishindwa kuuhadaa ushujaa kama wa Jomo Kenyatta.

Mzee Jomo Kenyatta alipogundua jinsi Nyerere anavyochezea uhuru wa wana wa Tanganyika, hatimaye akaunajisi kwa ‘Muungano’ kwa ajili ya maslahi ya Wamarekani katika vita baridi, alilaani kwamba “Hakika Nyerere anatawala maiti” Ndiyo maana ni Watanganyika peke yao duniani wasiojali uhuru wao, wala hatima yao na vizazi vyao vijavyo, wala maslahi ya Nchi yao! Hii ni baada ya kupigika vizuri vichwani mwao ili wawe kama makondoo ya mtawala, waweze kuvikwa kwa ulaini kongwa la utumwa kwa Watusi, kwa maslahi ya kifisadi ya watumwa walio madarakani, wanaouza utu wao na hatima ya Nchi yao kwa utamu wa tende na halua, zinazomung’unyika mara moja na kupotea! Saa ya ukombozi ni sasa! Ndivyo utaahira wetu unavyoonekana kwa dunia yote ya wenye akili kuhusu kongwa la utumwa la Watanganyika liitwalo “Muungano”, lenye maslahi ya kifisadi ya watwana wachache sana wanaotawala, kama si mmoja tu, lakini kwa gharama ya Uhuru wa Watanganyika, heshima yao na utambulisho wao kama Taifa takatifu la heshima tangu katika Unabii wa Mwenyezi Mungu, tena kwa gharama ya raslimali za Watanganyika na matrilioni ya fedha ya damu yao!

Utaahira wetu sisi Watanganyika unaonekana zaidi baada ya Zanzibar kujitoa rasmi katika huo ‘muungano’ kikatiba, ambapo kwa ajili ya maslahi ya kifisadi watawala wetu wanafumbia macho ukweli kwamba muungano umebatilika! Na kwa ujinga kama wa kuku anapodhani haonekani kwavile amefunika macho yake kwa bawa lake, hawa nao wamekazana kuudanganya ulimwengu kwamba muungano bado upo, na hata kulazimisha raia waukiri kiwendawazimu usanii huo! Lakini ukweli ni kwamba baada ya Zanzibar kujitoa rasmi yaani kikatiba katika muungano, Wazanzibari ni wachache sana mafisadi na wasaliti waliohongwa madaraka watetee bila haya usanii wa muungano batili, kwa maslahi yao ya kibinafsi, huku wakisingizia maslahi ya ukupe wa Taifa lao (parasitic advantages) katika damu ya Watanganyika.. Kama chatu anavyomvunjavunja mnyama ili awe rahisi kumezeka, ndivyo Nyerere alivyowahasi kifikra Watanganyika na kuwafisha ari ya ukombozi wao na utaifa wao, mpaka kwa kafara ya mwenge, ili wawe rahisi kuvishwa kongwa la utumwa la Watusi. Upofushaji wa jinsi hii huua kabisa uzalendo ndani ya dhamiri ya kila raia katika nchi, na kuwaacha wananchi katika minyororo ya woga tu akilini mwao, badala ya uhanga kwa ajili ya Taifa lao.
KAGAME NA MUSEVENI - HATARI SANA KWA TAIFA LETU!
Uharamia anaoufanya Kagame kule Mashariki ya Congo hapa kwetu alifanikiwa siku nyingi. Tofauti ya DRC Mashariki na mikoa yetu ya Kagera na Kigoma ni kwamba wenzetu wanayo hata majeshi ya mgambo ya uzalendo wao yanayotetea ardhi yao na uhuru wao, kama vile Mai Mai. Lakini sisi tuliuawa kabisa uhanga wetu kwa ajili ya Nchi yetu. Tumebaki kuwasujudia wageni wanaoteka na kuipora nchi yetu, na kututia utumwani katika nchi yetu wenyewe. Hii ndiyo raha ambayo Nyerere aliwaandalia Kagame na Mseveni kwa Watanganyika. Kagame tayari ameingiza katika Nchi yetu Wanyarwandazaidi ya 35,000 wenye silaha, wengi wakiwa katika mapori ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi na maelfu ya ng’ombe waliowaingiza kutoka kwao Rwanda na Uganda. Kwani kule kwao wamejiwekea sheria kali ya kuokoa mazingira yao, kwamba ni marufuku mtu kumiliki zaidi ya ng’ombe tano (5).

Kwahiyo mamia ya maelfu ya ng’ombe zao wameziingiza katika ardhi yetu kwa njia za porini, na wapo Wanyarwanda wenye ng’ombe mpaka 10,000 mtu mmoja ndani ya Nchi yetu. Maelfu mengi ya ng’ombe hao wa Wanyarwanda wanajulikana kuwa mali ya dikteta Paul Kagame mwenyewe na mawaziri wake, na wengine ni mali ya dikteta Yoweri Mseveni, wengi wakiwa hata na mihuri ya NRA! Mbali ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi, maelfu mengi ya ng’ombe wao wamewaswagia katika mapori yetu ya Kasindaga, Katete, Kinesi (Karagwe), Nyakerera, Kyobuheke na Misambya na kwingineko, ambako Wanyarwanda wamejikatia mabuloku makubwa sana (Blocks) ambayo wazawa hawaruhusiwi kukanyaga, na wakithubutu ni kuuawa. Kitendo cha Kagame na Museveni cha kuifanya Nchi yetu kwamba haina Utaifa na heshima ya mipaka yake (sovereignty and territorial integrity) kama zilivyo nchi zao, ni Tangazo la Vita!

Ni lazima tujibu mapigo kwa nguvu kuliko tulivyomjibu dikteta Idd Amin Dadah. Majeshi yetu yaanze mazoezi makali ya vita, na raia waanze upya mafunzo ya mgambo kwa ajili ya Nchi yetu. Kama lilivyoanza tatizo la uvamizi wa Kagame DRC Mashariki, maelfu ya Wanyarwanda tayari wamekamata ardhi yetu kubwa sana, kwa kutumia vibali bandia vya kuishi nchini, na makaratasi ya uraia bandia wa Nchi yetu. Jasusi la Kagame liitwalo Athanas Kafurama mara nyingi hudhalilisha wazawa wa nchi yetu kwamba hawana kitu vichwani, na kwamba Tanzania inamjali mtu mwenye pesa yaani kama wao, na siyo raia wake walalahoi! Kagame amefanikiwa kwa sehemu kubwa kuiteka kimya kimya mikoa yetu ya Kagera na Kigoma! Hata Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian Masawe unamwuma moyo, jinsi Kagame na Mseveni walivyopenyeza askari zaidi ya 35,000, waliojichimbia na maelfu ya ng’ombe, hasa katika Hifadhi ya Taifa ya Buligi.

Wanyarwanda wamekamata ardhi yetu kubwa sana, bila kuwa hata na vibali vya kuwepo nchini mwetu.Kabla ya kueleza zaidi juu ya uvamizi wa Buligi mkoani Kagera, tunapenda ifahamike kwamba Mkoa wa Kigoma umeingiliwa na Wanyarwanda na Warundi zaidi ya 100,000, ambao tayari wameteka sehemu kubwa ya ardhi ya Taifa letu, katika upanuzi wa Himaya yao. Tena wanajipenyeza kupitia katika makanisa maalum yanayoeleweka. Tayari wameanza kufanikiwa kukamata utawala wa Nchi yetu, kama vile Mnyarwanda aitwaye Peter Serugamba alivyoteka Jimbo la Kigoma Mjini, au Diwani John wa Kata ya Gungu. Watusi wamegundulika kuwamwagia rushwa viongozi wa vijiji na vitongoji ambao wanawatumia kuiteka ardhi yetu, na nafasi hizo wamepanga kuzichukua wao katika kuijenga Himaya yao. Vikao vya Watusi vya mikakati yao ya kuitwaa Nchi yetu katika Himaya yao mjini Kigoma hufanyikia katika hoteli ya Coast View, iliyojengwa kwa mtaji uliotoka Rwanda, ambao ni utajiri ulioporwa Congo. Watusi hawafichi katika majigambo yao, kwamba wanaweza wasilazimike kutumia nguvu za kijeshi kuitwaa ardhi ya Tanzania, kwa sababu eti wanaweza kutumia rushwa tu na akili kuichukua yote bila shida! Wanaujua udhaifu wetu kwa sababu walijipenyeza katika ngazi zote za utawala wa Nchi yetu, katika majeshi yetu, Uhamiaji, Taasisi zetu za fedha, Usalama wa Taifa n.k. Ndiyo maana Nchi yetu takatifu imetumika katika unyama wa kutisha kwa maslahi ya Watusi.

Ni kweli pia kwamba nchi yetu inao watawala wanaoweza kununuliwa kirahisi kwa mapesa ya Wanyarwanda, ng’ombe zao na au mabinti wa Kitusi. Ndiyo maana wanampigia debe na kumwinamia mwuaji wa kutisha Paul Kagame, wakati wanajua kabisa kwamba:

1. Kagame amemwaga kinyama sana damu ya mamilioni ya Wahutu, ambao bado anaendelea kuwaua usiku na mchana, kuliko Adolf Hitler alivyowaua Wayahudi.
2. Kagame anaendesha mauaji dunia nzima, kwa kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort, ambacho ndicho alichotumia hata kumwangamiza Bingwa wetu wa Sheria, Hayati Profesa Jwani Mwaikusa, kwa kosa la kuweka wazi katika ICTR kwamba mtuhumiwa mkuu wa genocide katika Maziwa Makuu ni dikteta Paul Kagame. Kagame alihofia kwamba kutokana na majumuisho ya mwisho ya Mwanasheria huyo, lazima Ulimwengu ungelazimisha kukamatwa kwake na kufikishwa mbele ya Sheria.
3. Kagame akiwa na cheo cha Meja alikuwa mstari wa mbele kumwua Rais Thomas Sankara wa Burkina Faso, kule Uagadougou.
4. Kagame alikuwa Burundi kwa ushirikiano wake muhimu na Jean Bikomagu, katika mauaji ya kikatili sana ya marehemu Rais Melchior Ndadaye.
5. Kagame ndiye aliyehusika kikamilifu na utunguaji wa ndege iliyomchukua Rais Juvenal Habyarimana wa Rwanda pamoja na Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi.
6. Kagame analaaniwa na dunia nzima kwa kumfanyia unyama wa kutisha mwanasiasa mwanamke, shujaa Victoire Ingabire, ambaye amemtupa gerezani kwa kosa la kugombea Urais wa Rwanda akiwa Mhutu, na kosa la kuwa na kibali kwa wananchi wa Rwanda kuliko yeye aliyeloa damu ya mamilioni ya binadamu aliowaua kinyama.
7. Kagame amemwaga majasusi zaidi ya 1,000 katika Nchi yetu, wanaotumia ufisadi wa mapesa, ngono n.k katika kutengeneza mazingira ya kutekwa utawala wa nchi yetu na Watusi na hatimaye nchi yetu kuwa mkoa wa Himaya yao. Kama ilivyoelezwa juu, maelfu yao wamefanikiwa kujipenyeza katika taasisi zote nyeti za dola ya Nchi yetu. Walipoishika Uhamiaji waliitumia kujipa uraia na kukamata nafasi nyeti na ardhi yetu pia.
8. Maelfu ya majasusi wa Kagame wanajifanya wanashughulikia mizigo ya Rwanda na Uganda, wengine wanajifanya wafanyabiashara au wanatafuta kuwekeza, wengine wanajifanya wanafunzi. Lakini ukweli ni kwamba Taifa letu liko uchi kwa Kagame, kwa sababu kila tunachokifanya katika Nchi yetu kinaripotiwa Rwanda masaa 24. Katika Jiji la Dar es Salaam, Mikocheni ndiko walikojaa Wanyarwanda hao kama kwao.

ANGALIZO:
Jumuiya ya Afrika Mashariki ilivunjika mwaka 1977 kwa sababu moja tu kwamba ilishindikana viongozi wa nchi tatu wananchama yaani Tanzania, Kenya na Uganda kukutana pamoja, kwa ajili ya kupitisha maamuzi yote muhimu ya uendeshaji wa shughuli zote za Jumuiya. Kwa sababu Rais Julius Nyerere alikataa kukaa meza moja na Rais Idd Amin Dadah wa Uganda, kwa sababu Amin alikuwa mwuaji. “Siwezi kuchangia meza moja na mwuaji aliyeloa damu” alitamka Rais Nyerere, ulimwengu wote ukamuunga mkono hata mgomo wake uliposababisha kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki!

SWALI:
Ikiwa Nyerere alikataa kukaa meza moja na dikteta Idd Amin kwavile aliua binadamu takriban 350,000, Jumuiya ya Afrika Mashariki ikavunjika kwa sababu ya kuthamini uhai wa binadamu kuliko vitu vingine vyote, hawa watawala wetu wa leo wa CCM ni binadamu wa jinsi gani, ikiwa wanaweza kulikumbatia na kulipigia debe na hata magoti liuaji la kutisha kama Paul Kagame, lililoua kinyama binadamu zaidi ya 6,000,000 Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Tanzania, Kenya, na kuwapelekea wengine kifo kule kule Ulaya walikokuwa wamekimbizia uhai wao?

Watu wa hatari kuliko wote kuhusu amani katika Maziwa Makuu ni hawa madikteta, Paul Kagame na Yoweri Museveni, walioangamiza mamilioni ya raia wa Maziwa Makuu, wakavamia Jamhuri dada za Rwanda na Zaire (DRC) na kuangusha tawala za mataifa hayo huru, na kuipora Congo mpaka dunia nzima inawapigia mayowe kama majambazi ya hatari! Watawala wetu wanakuwa katika akili za namna gani wanapokwenda Kampala na Kigali, na kukaa na Kagame na Museveni na kuzungumzia eti amani katika eneo la Maziwa Makuu, wakati hao ndio wavunjaji makatili wa hiyo amani? Hivi ni kweli akina Kikwete hawana hofu kwa Mwenyezi Mungu, kiasi cha kuamua kumsaliti jirani mwema aliyevamiwa na kuangamiziwa mamilioni ya raia wake kwa kosa tu la kuwa Wahutu, na kuwasaidia maharamia waliomvamia? Ni aibu kubwa zaidi kwamba watawala wetu waliishia kukubali umamluki, wa kuwasaidia Kagame na Museveni majeshi eti yakawasaidie kuangamizia Wahutu waliopokonywa nchi yao ya Rwanda, na mashujaa wanaopinga udikteta wa damu wa Yoweri Museveni nchini Uganda! Huku ndiko kuhimiza kisasi cha Mwenyezi Mungu juu ya nchi yetu!
UHARAMIA ULIOFANYWA NA WANYARWANDA BULIGI
Kwanza kabisa, Wanyarwanda hawatasahaulika walivyotikisa Mkoa wa Kagera walipoingia kule kwa uharamia wa kutumia silaha, wakajulikana kwa ufupisho kama Wanyaru. Wanyarwanda waliteka magari, walipora fedha na mali zingine za wananchi, na zaidi waliteka ng’ombe za wananchi na kuzikimbizia Uganda, ambako walizibadilisha na kuleta nchini wale ng’ombe wa kwao, ambao wako tofauti na wetu kimaumbile. Huu ni ujanja wa kawaida wa kijambazi. Uharamia wa Wanyarwanda ulishamiri mno mkoani Kagera, hapo Buligi pakawa kama makao yao makuu ya kutisha, ndiyo maana palipewa jina la Kosovo. Pori lote mpaka Kyamyorwa lilikuwa halipitiki kwa sababu ya hatari ya Wanyaru., ambao walikuja kutokomezwa na ulinzi wa jadi wa Wasukuma na ushirikiano wa dhati wa Kamanda mzalendo wa Polisi, Inspekta Samson ambaye hivi sasa yuko Wilayani Chato Mkoa wa Geita.

Kutokana na umahiri wa Wasukuma katika kupambana na uharamia kwa ulinzi wao wa jadi au Sungusungu, Mheshimiwa Wilson Masilingi akiwa Waziri katika Ofisi ya Rais na Mbunge wa Muleba Kusini, alipopita mikoa ya Ukanda wa Ziwa aliwahamasisha Wasukuma kwamba wahamie maeneo ya Kyamyorwa na Kasindaga na kwingine mkoani Kagera, na kwamba wapewe na mashamba kwa sababu ni kweli kwamba Wasukuma kwa asili ni wazalishaji hodari. Wasukuma waliitika mwito huo na kuhamia huko, na ni kweli kwamba waligeuza eneo lile kuwa kitovu cha uzalishaji usio kawaida wa mazao ya mpunga, mahindi, dengu, mtama, ulezi, serena na mengine mengi, mbali ya ufugaji wao.

Baadaye Wasukuma hao walihamishiwa Buligi kutoka hapo Kyamyorwa, kwa maombi ya Waziri wa sasa wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, kwa msingi kwamba eneo hilo ni la kampuni ya Itente ambayo yeye ni mhusika. Profesa Anna Tibaijuka aliandika hata katika kitabu chake cha kampeni yake ya Ubunge wa Muleba Kusini, kuwa Wasukuma wengi walikuwa wamepewa eneo la Kyamyorwa kwa makosa, kwavile eneo hilo lilikuwa la Kampuni hiyo. Waziri Anna Tibaijuka anakiri kwamba aliwaombea Wasukuma Serikalini wakapewa uhamisho kwenda Buligi, na kwamba yeye mwenyewe aliwasaidia hata usafiri wa kuhamia Buligi. Wazalishaji wa Kisukuma waliongezeka huko Buligi, baada ya ndugu zao waliokuwa wamewaacha nyuma kuvutiwa na ushuhuda mwema wa uzalishaji wa wenzao waliotangulia huko, baada ya mageuzi ya eneo lililokuwa ‘Kosovo’ kuwa paradiso ya amani na maendeleo. Ni kweli kwamba Wasukuma walipofika uhamishoni Buligi, kwa uhodari wao katika uzalishaji na umahiri wao katika ulinzi wao wa jadi, waliigeuza ‘Kosovo’, ikawa kihenge cha chakula cha Mkoa wa Kagera, wakizalisha mpunga, mahindi, maharagwe, dengu, mtama, ngano, uwele, mihogo, migomba, viazi ulaya, vitunguu, nyanya, mboga na hata miti kwa ajili ya hifadhi ya mazingira, kwa kadri walivyoshauriwa kitaalamu.

KWAHIYO ukweli hauwezi kukwepeka kwamba :

1. Uchomaji wa nyumba zaidi ya 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma katika maeneo ya Buligi na mengineyo kwa kisingizio cha ‘Operation Okoa Mazingira’ ulilenga kuwaangamiza Wasukuma pamoja na mazao yao tele waliyokuwa nayo majumbani mwao pamoja na mali zao zingine zote.
2. Huko Buligi na maeneo mengine ambako Wasukuma wanazalisha kwa wingi mazao hayo yote, Wasukuma waliletwa na Serikali, si wavamizi.
3. Wasukuma hawakuvamia mapori ya Wanyarwanda au ya mtu mwingine yeyote. Kwani Vijiji vyote wanavyoishi vinawatambua, hata kwa mchango wao mkubwa sana katika uzalishaji.
4. Wasukuma hawajaingia katika Hifadhi ya Taifa, wala hawana ng’ombe hata mmoja katika Hifadhi, bali Wanyarwanda ndio wenye mamia ya maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi, ambamo hata wanyamapori wetu Wanyarwanda wamewamaliza. Wanyarwanda huhonga mamilioni ya fedha na ng’ombe kwa maafisa wa wanyamapori na watumishi wengine wa umma.
5. “Operation Okoa Mazingira” haikulenga wahamiaji haramu ambao ni Wanyarwanda, wala mamia ya maelfu ya ng’ombe zao kutoka Rwanda na Uganda hususan katika Hifadhi ya Taifa, kwa sabau Wanyarwanda hawakuguswa kabisa, bali walikuwa wakishangilia wanavyofanyiwa unyama Wasukuma, ambao wala hawana ng’ombe katika Hifadhi kunakoharibiwa mazingira!
6. Nyumba za Wasukuma zilizoteketezwa hazikuwa katika Hifadhi, bali katika vijiji na vitongoji rasmi vyenye serikali halali za Vijiji na Vitongoji. Mfano ni nyumba 105 za Kishonga B Barabara ya 9, katika Kijiji cha Nyamilanda Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Itunzi Kitongoji cha Miziro. Wenyeviti wa Vijiji vya Nyamilanda na Itunzi ni mashahidi, na wanalalamikia unyama wa kuchomewa nyumba wananchi wao.
7. Uteketezaji wa nyumba za Wasukuma uliambatana na unyang’anyi wa pesa zao, kuanzia shs 100,000/- hadi shs 4,000,000/- kwa Msukuma mmoja, na kuwapa stakabadhi feki zilizoandikwa “WAZABUNI WA MASOKO/ MIALO/VIVUKO. Eti ADHABU kwa ajili ya hatia zilizobuniwa zikiwa ni pamoja na uharibifu wa mazingira, kufyeka misitu ovyo, zingine ziliandikwa ‘Kusafirisha mifugo bila kibali’ Tunaambatanisha vivuli vya stakabadhi feki zilizotumika (Nambari 135559, 135519, 135562, 135356, 135520,135367). Tena walipora mapesa mengi sana kuliko waliyoandika katika stakabadhi, na walio wengi hawakepewa hizo karatasi! Huu ni unyang’anyi na ujambazi wa wazi kabisa! Tunawaachia kazi DCI na Takukuru.
8.
Maelfu ya wananchi waliofanyiwa unyama huu walilundikana makanisani, kwa ndugu zao na marafiki zao, na wengi walilazimika kuishi maporini, ambako wanawake wapatao watatu walijifungua kama wanyamapori.
9. Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo, ambaye alikuwa ameonwa na Mnyarwanda aitwaye Athanas Habamungu Kafurama, na kibaraka wa Wanyarwanda ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana aitwaye Julius Rwechungura, baada ya kuchangwa shilingi milioni 100 katika kikao cha Wanyarwanda katika kanisa lao la Butera tareke 31/10/2012, kulingana na majigambo ya Wanyarwanda na Kafurama mwenyewe, ndiye aliyeonekana kusimamia unyama huo, ingawa yeye ndiye mwangalizi wa amani na usalama katika Wilaya!
10. Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alipohojiwa na waandishi wa habari kuhusu unyama huu wa kutisha, alikiri kwamba wamechoma moto nyumba eti zilizokuwa katika Hifadhi, eti kwa ajili ya kulinda mazingira ya Mkoa wa Kagera na kuhamisha wahamiaji haramu wanaoingia na makundi makubwa ya ng’ombe katika Hifadhi.
11. Kama alivyoeleza Lemberis Kipuyo, unyama huo wa kutisha uliosukwa na Wanyarwanda na kutekelezwa kwa usimamizi wake yeye mwenyewe Mkuu wa Wilaya, ulianza tarehe 3/11/2012 saa 3 asubuhi katika eneo la Buligi. Na kama alivyosema hata yeye Mkuu wa Wilaya, maharamia waliowafanyia wananchi wa kabila la Wasukuma unyama huu ni: Askari wa Jeshi la Polisi Usalama wa Taifa Takukuru Wafanyakazi wa Idara ya Misitu Wafanyakazi wa Idara ya Uvuvi, ambao baadhi yao walitambulika. Askari wa Wanyamapori, ambao baadhi yao walitambulika. Askari wa Jeshi la Ulinzi, waliotambulika kwa sare zao. Maharamia waliovaa sare za Mgambo. Lemberis Kipuyo alisema walikuwemo pia Wanasheria katika unyama huu.
12. Wananchi waathirika walipokusanyika Kituo cha Polisi Miziro, Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alifika hapo. Lakini alipoombwa afike ajionee makazi ya wananchi wake yalivyoteketezwa, aliwapuuza isivyo kawaida hata kibinadamu, ingawa umbali haufiki hata kilometa!
13. Kwa kuhofia makusanyiko ya vilio vya Wasukuma, jasusi Mnyarwanda Athanas Kafurama alikwenda kumchochea Mkuu wa Wilaya azidishe unyama kwa madai kwamba eti Wasukuma wamejiandaa kuvamia Kituo cha Polisi Miziro. Ndipo unyama ulipozidishwa maradufu kuwaangamiza Wasukuma, na kuwawinda wale wote wanaoogopwa kama waelewa, na wengi ikawabidi kukimbilia maporini na kuishi huko kama wanyamapori licha ya mvua nzito.
WANYARWANDA WALIVYOIPINDUA OPERESHENI DHIDI YAO
(Kwa kuwageuzia kibao hicho Wasukuma)
Wanyarwanda walipoijua ‘Opresheni Okoa Mazingira’ kwamba imeandaliwa rasmi kwa ajili ya kuwatokomeza wahamiaji haramu yaani wao, na kwavile waliwashika mkononi viongozi wote kuanzia Mkuu wa Wilaya kama walivyokuwa wanajigamba, na kama walivyokuwa wanajihami kwa rushwa kwa uharamia wao wote wanaoifanyia Nchi yetu, ndivyo walivyojipanga kuwatoa kafara Wasukuma Serikali yetu ilikuwa na taarifa zote za mikakati ya dikteta Kagame na Museveni juu ya Nchi yetu, yaani uvamizi wenye lengo la kuiteka ardhi yetu kama vile wanavyofanya Congo Mashariki, uporaji wa raslimali zetu, na walivyohamishia mamia ya maelfu ya ng’ombe zao katika Hifadhi za Taifa letu na utekaji wa ardhi ya wananchi, na hata kulisha mifugo yao katika mazao ya wananchi, wakitetewa na vibaraka wao ambao ni viongozi wetu wala rushwa. Wamiliki halisi wa haya mamia ya maelfu ya ng’ombe ni marais na mawaziri wa Rwanda na Uganda, ambao wanayo mahusiano ya kifisadi na viongozi wetu mafisadi au Watusi kama wao. Ndiyo maana azma ya Serikali yetu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ imekuwa ikipozwa kwa ufisadi kwa muda mrefu, huku maadui wakizidi kujichimbia na kuangamiza mazingira. Lakini kwa nguvu ya wale viongozi wetu waliobaki na uzalendo, Serikali yetu ilikazana na mpango kabambe wa OPERATION ‘OKOA MAZINGIRA’, kwa ajili ya kutokomeza kabisa uvamizi wa Watusi katika Nchi yetu (wahamiaji haramu), na kutowesha ng’ombe zote zilizoingizwa katika Nchi yetu, zenye kuhatarisha uhai wa vizazi vyetu vijavyo kwa kuharibu vibaya sana mazingira. Kilio cha wananchi juu ya uvamizi wa ardhi yetu na kuingizwa maelfu ya ng’ombe katika Nchi yetu kutoka Rwanda na Uganda kilianza mwaka 2009. Wanyarwandawalipopata taarifa juu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ dhidi yao, walifanya mikutano kadhaa mizito katika kanisa lao la Butera, linaloongozwa na Mtusi wa hatari aitwaye Augens. Tawi la kanisa hilo liko Chanyamisa, Karagwe, ambako pia linatumika kwa mikakati hii ya Kagame.

Opresheni Okoa Mazingira
iliyokusudiwa kutokomeza wavamizi wa Nchi yetu na maelfu ya mang’ombe yao yanayoharibu mazingira ya Nchi yetu, iligeuzwa na walengwa, Wanyarwanda, kuwa unyama wa kutisha wa kutowesha katika eneo hilo wananchi wa kabila la Wasukuma, na kuwapora mali na ardhi wanayozalishia mavuno yaliyotia fora katika mkoa wa Kagera. Katika kuwatwika Wasukuma dhoruba ya ‘Operation Okoa Mazingira’ ambayo iliwalenga wao, Wanyarwanda walianza kwa kuwachonganisha kirahisi kabisa Wasukuma na ndugu zao Wahaya; Kwavile Mhaya mwenye kulima ekari nne au tano ndiye aliyeonekana kuwa mkulima stadi, lakini Wasukuma wakawa wanalima ekari mpaka 50 mkulima mmoja, Wanyarwanda walitumia kwa ufundi wao kigezo hicho kupandikiza mbegu ya kijicho miongoni mwa Wahaya, ambao wamekuwa wepesi kukabidhi kwa Wanyarwanda ardhi yetu. Hatimaye baadhi ya Wahaya walianza kuwanyoshea kidole Wasukuma kwamba eti wanakamata ardhi kubwa kuliko wao, ingawa mapori hayo yalikuwa yanakaa bure tangu uumbaji mpaka Wasukuma walipoyavamia kwa uzalishaji wa nguvu, hata wakawa wakivuna magunia ya mpunga mpaka 700 mkulima mmoja.

Kwa hila za Wanyarwanda, Wahaya wa Muleba na sehemu zingine zilizofanyiwa kazi ya ufitini na Watusi, walianza kujikusanya vikundi vikundi kuandika barua za kuomba ardhi hiyo wanayozalishia Wasukuma, ili mashamba ya Wasukuma yamegwe na kupewa wao, kusudi Wanyarwanda wajipatie kutoka mikononi mwa Wahaya, ambao Watusi wanawachukulia kuwa wepesi zaidi wa kuwapasia wao. Kwa kuwatumia vibaraka wao kama Julius Rwechungura ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, Wanyarwanda siyo tu wameteka mamia ya ekari za ardhi yetu, bali wamekuwa wanapiga vita siku zote ya kuwafukuza Wasukuma ili wakamate wao maeneo yote. Uharamia huu ndio uliopelekea Mkurugenzi wa Wilaya kumwamuru Afisa Mtendaji Kata ya Kyebitembe kuitisha mkutano wa tarehe 27/3/2012 kuhusu malalamiko ya Wasukuma dhidi ya Wanyarwanda.
Mkutano huo ulipiga marufuku kumega ardhi yoyote inayotumiwa na wananchi wa kabila la Wasukuma, kwa ajili ya mapinduzi ya uzalishaji waliyofanikisha katika mkoa, walioingia katika maeneo hayo tangu mwaka 2007 hadi 2011. Mkutano uliamuru pia kufutwa mashitaka ya kihaini yaliyofunguliwa na kibaraka wa Wanyarwanda Julius Rwechungura, akitaka Wasukuma wanyang’anywe mashamba yao ili wapewe Wanyarwanda. Kisha Wanyarwanda walifanya kikao muhimu tarehe 31/10/2012 katika kanisa hilo la Butera, chini ya uongozi wa Jasusi la Kagame liitwalo Innocent Mchunku Kapilipili. Agenda kuu ilikuwa kuchangisha shilingi milioni mia moja kwa ajili ya kujihami nahiyoOpreshenidhidi yao, kwa kuwanunua viongozi wote wa hiyo opresheni. Taarifa za uchunguzi wetu ni kwamba kweli mapesa hayo yalichangwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo na timu yake iliyoendesha unyama wa kutisha dhidi ya Wasukuma, badala ya wahamiaji haramu.

Uchunguzi umethibitisha kuwa Mnyarwanda Innocent Mchunku Kapilipili alikuwa jambazi, katika lile genge la hatari la maharamia kutoka Rwanda waliojulikana kama “Wanyaru” chini ya kamanda wao aliyeitwa ‘Kamanda Dogo’. Mnyaru huyu ameteka zaidi ya ekari 400 za ardhi yetu katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Kisana Kitongoji cha Butera. Mtutsi huyu anamiliki zaidi ya ng’ombe 500. Mnyarwanda mwingine muhimu katika kikao cha kanisani Butera ni Francis Magege, ambaye amekamata ekari zaidi ya 400 katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo.
 Kikao hicho kilishirikisha pia Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwaye Johanson Shumuni, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwaye Julius Rwechungura, na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Nyamtundu Abdon Krophas. Msaliti Johanson Shumuni ametoka katika kifungo cha nje cha mwaka mmoja, kwa kosa la kung’oa mazao ya mwananchi wa Kijiji cha Nyamilanda, kusudi Wanyarwanda wapitishe ng’ombe zao. Kibaraka huyu wa Wanyarwanda alilipishwa pia fidia ya shilingi 70,000/- kwa ajili ya mazao ya wananchi. Wasaliti Johanson Shumuni, Julius Rwechungura na Abdon Krophas kwa pamoja wana kashfa ya kukitapeli Kikotongoji cha Butera msitu wa asili wa mitundu, wakivunga kwamba ni ‘Hifadhi ya Kijiji’ lakini wakawa wanapasua wao mbao na kuzitoroshea nje ya nchi, mpaka moja ya malori ya mbao hizo lilipokamatwa mwaloni Katunguru na kifikishwa Polisi Muleba, mwezi Mei 2010. Lakini watuhumiwa hawajawahi kufikishwa mahakamani mpaka leo, Vibaraka hawa wa Wanyarwanda ndio wahusika wakuu katika kuwauzia ardhi yetu wahamiaji haramu.

Mhusika mwingine katika uuzaji wa ardhi kwa Wanyarwanda ni Diwani wa Kata ya Karambi, Ngote, aitwaye Hamudi Abdalla, ambaye hivi sasa anamiliki zaidi ya ng’ombe mia mbili (200) kutokana na rushwa ya Wanyarwanda. Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti Julius Rwechungura alidiriki hata kuwafungulia mashitaka mahakamani wananchi wa kabila la Wasukuma, kwamba eti wamevamia ardhi ya machungio ya Wanyarwanda! Kisha aliwawekea dhamana yeye mwenyewe na kuwatoza shilingi 10,000/- kila mmoja. Lakini kibaraka huyo alilazimishwa na kikao cha tarehe 27/3/2012 kilichoamriwa na Mkurugenzi wa Wilaya kufuta kesi hiyo, kwa sababu haiwezi kuwepo ardhi ya Wanyarwanda ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Tanzania!
USHAHIDI WA UKATILI WA WANYARWANDA KWA RAIA WETU
Kwanza kabisa turejee mapokeo ya ile imani chafu sana ya Watusi, kwamba wao wana utu wa hali ya juu zaidi (superior race) kuliko Wabantu. Unyama wa Wanyarwanda ni pamoja na kuwateka nyara raia wetu, na kuwatumia kama watumwa wa kuswaga mifugo yetu waliyotupora. Mateka hawa huvuliwa nguo na kuvikwa vipande vya matambara vya kitumwa, na kubadilishwa majina.

Mfano ni vijana wetu Opecatus Filipo wa Nsheshe, Kijiji cha Nyamilanda, Kata ya Kyebitembe ambaye aligeuzwa jina na kuitwa Peter, na Antelius wa Kabanga Kijiji cha Kasharara, Kata ya Karambi, aliyegeuzwa jina na kuitwa Rutashambya. Wanyarwanda waliishi porini na hawa ‘watumwa’ kwa miaka miwili. Mmoja wao hatimaye alifanikiwa kuwatoroka, akatoa taarifa Kituo cha Polisi Kyebitembe, ambapo Mkuu wa Kituo hicho shujaa Inspekta Samson alifuatilia kwa uhodari mpaka akafanikiwa kumwokoa yule kijana wetu wa pili. Wale watekaji walikimbia msako huo baada ya kutonywa na msaliti Afisa Mtendaji wa Rwabera, Karagwe, mwanamke aitwaye Alfredina. Raia wetu hao waliokombolewa wana ushuhuda wa kutisha wa unyama uliokuwa ukifanywa na Wanyarwanda. Wanaeleza njia za porini walizokuwa wakipitishia mifugo yetu, mawasiliano ya Wanyarwanda kwa redio na simu dhidi ya mipango yote ya serikali yetu ya kuwafuatilia na mifugo yetu waliyopora. Vijana wanaeleza jinsi walivyotumika kuficha hayo makundi ya ng’ombe zetu, na jinsi walivyoishi kama wanyamapori katika mvua kali na jua na mateso mengi yasiyosemeka.

Vijana hawa wanashuhudia jinsi Wanyarwanda walivyomchoma raia wetu kwa upanga wa moto mwilini, kwa kuthubutu kudai ujira wa kutumiwa kikatili kutorosha ng’ombe waliopora katika nchi yetu mpaka huko maporini. Vijana wanashuhudia jinsi wenzao walivyouawa na Wanyarwanda kama wanyama. Zaidi ya yote, anaalaniwa vikali msaliti Johanson Shumuni ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisana, kwa kumfichia siri mwuaji katili wa Kinyarwanda, ‘Mchungaji’ Augens mwenye hilo kanisa la Butera,

alipomwua kinyama mfanyakazi wake aliyekuwa anasimamia boti yake iliyokuwa ikifanya kazi za magendo katika Ziwa Buligi, baada ya kumtuhumu kwa wizi wa injini ya hilo boti lake. Shahidi mmojawapo wa mauaji haya ni Benedicto Damian ambaye ni Mwenyekiti wa Kitongoji hicho cha Butera. ‘Mchungaji’ hatari Augens pia anashughulika na uvuvi haramu wa kutumia makokoro, unaoangamiza mpaka mbegu ya samaki kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo.

Mtusi mwingine aliyeua kinyama raia wetu ni Mchungaji wa kanisa la Mnyarwanda Francis Magege. Huyu alimwua aliyekuwa mchungaji wa ng’ombe zake, baada ya siku tatu akaenda kutoa taarifa ya uongo Polisi kwamba marehemu ameuawa na nyoka.
Baada ya kugundulika mwili wa huyo marehemu machakani na kuchunguzwa na Dr. Mtumbi, iliripotiwa kwamba aliuawa kikatili sana kwa kitu kizito chenye ncha kali.
Ndipo Mnyarwanda huyo ‘Mchungaji’ aligeuza kibao na kusema marehemu ameuawa na Msukuma eti aliyekuwa amegombana naye kwa sababu ya kulisha ng’ombe mazao yake.
Lakini uchunguzi unaonyesha kuwa marehemu aliuawa baada ya kudaiana na huyo mwajiri wake ‘Mchungaji’. Mashahidi muhimu ni pamoja na huyo Daktari aliyefanya uchunguzi, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Butera, na kijana aliyekuwa anachunga pamoja na marehemu, ambaye alikimbilia Ngara.

KWAHIYO kwa ajili ya usalama wa Nchi yetu, na heshima na Uhuru wa kweli wa Taifa letu, na sifa ya Taifa letu ya kupigania HAKI na utu wa mwanadamu, tunasisitiza kwamba:

1. Watu wote waliohusika na unyama wa kutisha dhidi ya wananchi wa kabila la Wasukuma Mkoani Kagera, pamoja na Wanyarwanda wote waliohusika na unyama huu wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria. Watuhumiwa ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo .

2. Wananchi wote waliofanyiwa ukatili huu walipwe fidia ya mateso yote na hasara zote walizosababishiwa na unyama huu.

3. Mamia ya maelfu ya ng’ombe zilizoingizwa nchini mwetu kutoka Uganda na Rwanda zikamatwe na kupigwa mnada, ili fedha hiyo itumike kuboresha Hifadhi zetu na mazingira ya Nchi yetu.

KUHUSU GENOCIDE MAZIWA MAKUU

4. Taifa letu lisimame kinyume kabisa na uharamia wa kuvamia Nchi yoyote huru duniani, ikiwa ni pamoja na uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda na uvamizi na uporaji wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, uliofanywa na Watusi wa RPF na Uganda.

5. Taifa letu lilaani imani chafu ya Watusi (apartheid nyeusi) kwamba wenzao eti waliumbwa kuwa watumwa wao, hivyo kudai usawa wa kibinadamu eti ni uasi wa kuangamizwa kama wanavyofanywa Wahutu.

6. Taifa letu liusaidie ulimwengu kujua ukweli kwamba Watusi ndio walioendesha genocide ya kutisha duniani, kwa kuangamiza Wahutu zaidi ya 6,000,000, zaidi ni mauaji yaliyofanywa na dikteta Paul Kagame wa Rwanda, ambaye ndiye mtuhumiwa Mkuu wa genocide ya Maziwa Makuu.

7. Taifa letu lihakikishe pia kwamba mwuaji Paul Kagame na wenzake wote wanafikishwa mbele ya Sheria kujibu mashitaka ya genocide.

8. Taifa letu lifanye TOBA kwa mwenyezi Mungu kwa kudhamini unyama wote uliofanywa na Watusi, ukiwa ni pamoja na mauaji ya marais watatu wa Kihutu wa mataifa ya Rwanda na Burundi, marehemu Rais Melchior Ndadaye, marehemu Rais Juvenal Habyarimana na marehemu Rais Cyprien Ntaryamira.

9. Taifa letu lifanye TOBA kwa kuikaribisha ICTR Arusha, na kuifukuza katika Nchi yetu mara moja, kwa sababu siyo siri kwamba ICTR ni nyenzo ya kusaidia genocide ya dikteta Paul Kagame ya kuwamaliza Wahutu.

10. Taifa letu lipige vita ukatili wa kuendelea kuwashikilia kifungoni Wahutu waliotamkwa na hiyo ICTR kwamba hawana hatia, na kuwatetea kwamba walipwe fidia kwa unyama wote waliotendewa na Kagame pamoja na ICTR na/au UNO

. 11. Taifa letu lihakikishe kuwa Rwanda, Burundi na Uganda zinafutwa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Kwa sababu sharti kuu la uanachama ni Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala wa Sheria, lakini hizi ni tawala za Udikteta wa kikatili na Umwagaji damu.

12. Taifa letu lihakikishe kwamba Dikteta Paul Kagame anamwachia huru mara moja mwanamke mpinzani wake, shujaa Victoire Ingabire, ili akakataliwe na wananchi wenyewe wa Rwanda au wampe uongozi kama wanaona atawafaa. Kutoona haya mbele ya dunia kwa unyama huu, kunadhihirisha Kagame kuwa si binadamu wa kawaida!

Liberty International Foundation
Reverend Christopher Mtikila
(0766 053081, 0713 435016 )
EXECUTIVE CHAIRMAN