May 17, 2012

Breacking Newzzzzzzz Mafisango afariki dunia

Habari  zilizotufikia hivi punde zinasema aliyekuwa mchezaji wa timu ya Simba Spoti Club Patrick Mafisango amefariki dunia leo alfajili kwa ajari ya gari iliyotokea maeneo ya Tazara blog yenu ya Bongo Yetu inaendelea kufuatilia vizuri habari hizi na muda si mrefu mtazipata kwa undani


Pia blog yetu inatoa pole kwa ndugu  jamaa na marafiki viongozi wachezaji na mashabiki wa Simba Spoti Club 
Mungu ailaze mahari pema roho ya marehemu amina

Chini ni Patrick Mafisango enzi za uhai 

http://www.dullonet.com/sports/wp-content/uploads/2012/04/Mafisango.jpg

1 Weka maoni yako hapa:

Bua said...

MHSRIP

Post a Comment

COMMENT HAPA