MACHANGUDOA WANAOFANYA BIASHARA YAO SINZA WAKAMATWA
Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata Madada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao wajulikanao kama Machangudoa katika eneo la Sinza. Picha mbalimbali zikionyesha namna walivyokuwa wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria
habari na picha kwa niaba ya ya http://www.udakuspecially.com
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA