Oct 8, 2014

Lady JayDee kushirikiana na Oriflame wamefanikiwa kutoa mchango wa kununulia madawati shule ya msingi Bugoyi ilioko mkoani Shinyanga.

Oriflame kushirikiana na Lady JayDee tumefanikiwa kutoa mchango wa kununulia madawati shule ya msingi Bugoyi ilioko mkoani Shinyanga.


Awamu nyingine ya pili nitaitoa mimi binafsi mwezi January, 2015.
Kwaajili ya ujenzi wa vyoo na nyongeza ya madawati. .
Mungu Ibariki Tanzania.

Ni mimi mtumishi wenu
JIDE
 
 
 huu ni mfano wa cheki ya kiasi walichotoa
 
 
 
 
 
 
Tunapenda kumpongeza Lady JayDee na tunamtaka kuendelea na moyo huu huu wa kuwakumbuka wanafunzi 

Pia wanamuziki wengine sio mbaya kuiga mfano huu sio kushindana kuzungusha tu kwenye meza 

hongera sana Jide
 
 

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA