Oct 20, 2013

BREAKING NEWZZZZ::MAJONZI: MTANGAZAJI MKONGWE JULIUS NYAISANGA AFARIKI DUNIA


Habari mbaya na zenye kusikitisha ambazo mtandao huu umezipata kutoka mkoani morogoro asubuhi hii ni kuwa mtangazaji mkongwe hapa nchini Julius Nyaisanga maarufu kama "Uncle J" (pichani) amefariki dunia

Kwa mujibu wa chanzo chetu taarifa za kifo chake zimezagaa asubuhi hii na  

amefariki dunia kwa matatizo ya kisukari na presha.

Hadi Julius Nyaisanga anafariki dunia alikuwa meneja wa kituo cha redio Abood FM cha mjini Morogoro, na alijulikana sana tangu akifanya kazi Redio Tanzania sasa hivi inajulikana kama TBC Taifa na Redio One stereo
 

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA