Jan 25, 2014

Chief Kiumbe asema gari alilompa Diamond amelinunua zaidi ya shilingi milioni 245.

 

Kumekuwa na maneno mengi sana kwenye mitandao kuhusu gari hili jipya la Diamond,sasa leo asubuhi baada ya kumkaa niliweze kusikiliza interview ya mfanya biashara 'Chief Kiumbe' alifunguka na kusema kwamba gari analomiliki msanii wa bongo fleva 'Diamond' ni la kwake.

Huu ndio ujumbe wake Chief Kiumbe.


'Unajua mimi uwa sio mtu wa kuzungumza sana ila ukweli ni kwamba wasanii wengi wa hapa bongo wanatembelea magari yangu,na wala hawatoi hela yoyote,kwa mfano Diamond anamiliki gari yangu mpya ambalo nilinunua zaidi ya shilingi milioni 245 kipindi niko nje kiziara,nafanya hivi kwasababu ya upendo na pia wapo wasanii wengi tu, kuna wengine wanajitamba kwamba wamenunua ila sio kweli mimi ndio ninawapa bureee watembele hizo habari za kwamba wananunua hakuna kitu kama hicho,mimi napenda watu wafuate nyayo za Diamond naamini watafanikisha ndoto zao'Alisema Kiumbe.


CHANZO NA BOFYA HAPA

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA