Pia Mba amesema watu wengine 19 wamejehuriwa katika tukio hilo.
Bomu hili linakuwa bomu la pili kulipuka katika kipindi kifupi kwani siku 16 zilizopita kulitokea mlipuko mwingine uliosababisha watu 70 kupoteza maisha na wengine 200 kujehuriwa vibaya
Rais JONATHAN ametembelea sehemu iliyokubwa na mlipuko



Rais JONATHAN akimwangalia mmoja wa majeruhi hospitalin

Rais JONATHAN akimwangalia mmoja wa majeruhi hospitalin




Hili ndio gari lililobeba bomu

magari mengine yaliyohalibika vibaya baada ya bomu kulipuka
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA