Mar 23, 2015

HUYU NDIO MWENYEKITI MPYA WA PAC KAMATI ALIYOKUWA ANAIONGOZA ZITTO KABWE




Kamati ya Bunge ya Ukaguzi wa Mashirika ya Umma (PAC), imemchagua Mhe. Amina Mwidau (MB) kuwa Mwenyekiti mpya wa kamati hiyo kuchukua nafasi ya Mhe. Zitto Kabwe ambaye si mbunge tena.

Mhe. Mwidau ni Mbunge wa Viti Maalum wa Chama Cha Wananchi CUF kutoka mkoa wa Tanga, ni msomi mwenye stashahada ya Diplomasia ya Biashara, Shahada ya Biashara na Shahada ya Uzamili ya Biashara.

TUNAMTAKIA KILA LA KHERI KATIKA NAFASI YAKE HII

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA