Nov 27, 2015

KAMISHNA MKUU WA TRA, RISHED BADE ASIMAMISHWA KAZI



  KAMISHNA MKUU WA TRA, RISHED BADE ASIMAMISHWA KAZI

Rais Dk Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa mamlaka ya mapato Tanzania ( TRA) Rished Bade na kumteua Philiph Mpango kukaimu nafasi hiyo

Taarifa kutoka ikulu zimesema kuwa uamuzi huo wa Rais Magufuli umefuatia ziara ya waziri mkuu bandarini iliyobaini upotevu wa makontena 349.

Aidha Rais Magufuli amemtaka Rished Bade kutoa ushirikiano kwa Philiph Mpango wakati uchunguzi ukiendelea.

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA