
Jumla ya wanafunzi 503,914 kati ya 518,034 waliofaulu mtihani wa
kumaliza elimu ya msingi,wamechaguliwa kujiunga na kidato cha
kwanza,katika shule za sekondari za serikali katika awamu ya
kwanza.Idadi hiyo ni sawa na asilimia 97.3 ya wanafunzi waliofaulu na
wenye sifa ya kujiunga na kidato cha kwanza
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA