Jul 3, 2013

Linex kusimamia kazi za 'Aunt Ezekiel'

 
Mwana anayekubalika kwa kuimba katika hisia kali,Linex hivi karibuni alifunguka na kusema kwamba kwa sasa Aunt Ezekiel atakuwa chini ya Label yake Voice Of Africa (VOA) na kuhakikisha kazi zake zinasambazwa sehemu mbalimbali.

Linex ameimbia website ya Times FM "Naweza kusema Aunt nimeona ni mtu mwenyewe kipaji pia ni mtu mwenye uwezo wa kuimba na ndio maana nimeamua kumsaini katika Label yangu 'Voice Of Africa (VOA)' lakini akiwa katika upande wa Filamu atakuwa akijisimamia mwenyewe but kwenye upande wa Bongo 
Fleva nitakuwa ninasimamia mimi pia kwa wale mashabiki wa Aunt wakae tayari kwa ujio wa ngoma yake mpya"Mguu kwa Mguu' akiwa na mimi Linex Sunday chini ya producer Mr T Touch
 
aunt ezekiel

 habari na http://timesfm.co.tz

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA