Oct 30, 2013

NYUMA YA PAZIA KUHUSU RIMIX YA NUMBER ONE KATI YA DAVIDO NA DIAMOND



Natanguliza shukrani kwa mashabiki zangu wa
 kweli ambao siku zote nipo kwa ajili yao,kila siku nalala/naamka 
nikifikilia niwaandalie nini kizuri kwa ajili yao..nashukuru
 jinsi mnavyoipa sapoti nyimbo na video yangu ya number one
 ikionyesha ni kiasi gani mko pamoja na
 mimi..hivi karibuni nilipata fursa ya kuonana na mwanamziki mkubwa
 kabisa Afrika na anaeliwakilisha
 vyema kabisa bara letu la Afrika kimziki,..
namzungumzia Davido,kila mtu anafaham uwezo mkubwa alio
 nao linapokuja
 swala la mziki,na katika kutafuta namna ya kuwapatieni taste tofauti 
mashabiki zangu na zaid kukuza mziki wetu 
wa Tanzania..tulikubaliana mimi na Davido Tutengeze
 number one remix  yenye vionjo vya Skelewu na ngololo.
.bila shaka mliokuwepo fiesta mlipata fursa ya kupata kionjo kidogo cha kile 
tulichokifanya ...tazama kwanza picha za nyuma ya pazia mimi na
 Davido tukiwa studio tukiandaa remix ya number one
 
Haikuwa kazi ngumu sana kumfundisha baadhi ya maneno
 ya kiswahili yatakayohusikandani ya wimbo 
  
Ha ha ha...!!kazi ikabaki kwake kuyameza tu......lugha za watu hizi
 
 
 
 
 
Kabla ya kuachana ,tukipanga mikakati ya nini cha kufanya baadae
 

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA