Baadhi ya picha za tukio hilo
Dactari akichunguza mwili wa marehem huyo

Maiti ya kijana Kassim Said Mboya akiwa Chumba cha Upasuaji kuondolewa Dawa hizo

Kete inayosadikiwa kumuua kijana huyo baada ya Kupasukia tumboni

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya akitoa taarifa kwa waandishi wa habari hukusu tukio hilo

Kete alizokutwa nazo tumboni kijana huyo baada ya kufanyiwa upasuaji Hosp ya Rufaa Mbeya

Kulia ni kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya akiwa amevalia mavazi maalum kwenye chumba cha
kuhifadhia maiti

CHANZO NA http://www.jamiiforums.com
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA