Dec 3, 2013

Ofisi ya CHADEMA mkoa wa Arusha yachomwa moto

Click image for larger version. 

Name: DSC06857.JPG 
Views: 0 
Size: 165.2 KB 
ID: 124594

Click image for larger version. 

Name: DSC06858.JPG 
Views: 0 
Size: 164.0 KB 
ID: 124595

Click image for larger version. 

Name: DSC06859.JPG 
Views: 0 
Size: 162.0 KB 
ID: 124596

Click image for larger version. 

Name: DSC06861.JPG 
Views: 0 
Size: 165.0 KB 
ID: 124597
Hapa ndipo walipo ingilia.....

 ==============
aliyeku mwanachama wa chadema (Mboya) aliefukuzwa ndani ya chama na kuhamia ccm miezi minne iliyopita ambaye kwasasa ni kiongozi ndani ya CCM anashukiwa kuhusika na tukio hili kwasasa anatafutwa na polisi...

===================
Vijana wawili wa CCM( Green Guard) wamesha kamatwa kwa kuhusiswa na tukio hili wakati huo huo kuna vijana wa CCM wamejikusanya kwenye bar ya amazon wakipanga kuaandamana ili kuonyesha kuwa wana muunga mkono Zitto na Mwingamba...

chanzo na http://www.jamiiforums.com

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA