Profesa Jay ameachia wimbo wake uliokuwa unasubiriwa na mashabiki
wake. Ni wimbo wa Hip Hop ambao unamuwakilisha Jay Hustle ambaye ni Prof
aliyekuwa underground mwenye hasira miaka ya 1990 kabla hajatoka.
Ndani pia yumo Nigga J aliyekuwa mshindi wa tuzo ya hip hop akiwa na
Hard Blasters Crew (HBC) na Profesa Jay ambaye ni The Heavy Weight MC wa
sasa Mr. 'Kipi Sijasikia.'
Wimbo umefanywa katika studio yake ya Mwana Lizombe chini ya Producer Villy
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP 2012
ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi ya
New Bo...
11 years ago
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA