ULINZI ULIKUWA ULIIMALISHWA SANA ILI KUSTOKEE VURUGU MAHAKANI
DIWANI WA CUF AKIINGIA MAHAKANI
Diwani wa CUF (aliyevaa tisheti nyekundu)
ni kati ya watuhumiwa waliopandishwa kizimbani juzi 29.04.2013. Yeye
alisomewa mashtaka ya uchochezi.
ATI kwamba kwenye mkutano wa CUF wa
tarehe 17.04 alitamka kwamba CUF itachukua hatua ikiwa pesa hazitalipwa.
Eti huo ndo uchochezi. Diwani alidhaminiwa na anasema mapambano
yanaendelea.
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP 2012
ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi ya
New Bo...
-
Sio kila mume atakuwa kama kanye west, Mwanadada huyu mwenye umri wa miaka
32 kutoka Ukrain Alena Politukha Ameachwa na mume wake ambaye ni mwana
siasa N...
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA