Wakazi
wa eneo la Makunguru jijini Mbeya wakiwa wamesimama nje nyumba iliopo
kwenye eneo hilo ambayo imepatwa na dhahma ya kuungua moto na kuteketea
kwa mali zote zilizokuwemo ndani ya nyumba hiyo, kutokana na
kinachosadikiwa kuwa ni hitilafu ya umeme. Bado haijadhibitika mpaka
sasa kama kuna mtu yeyote aliedhurika kwenye tukio hilo lililotokea
mchana wa jana jijini humo.
Sehemu ya mali zilizokuwemo kwenye nyumba hiyo zikiwa zimeteketea zote kwa moto huo.
Majirani wakichungulia kupitia dirishani kuona namna moto ulivyoteketeza mali zilizomo kwenye nyumba hiyo.
Wengine walikuwa wakihadhithiana tukio hilo.
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP 2012
ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi ya
New Bo...
11 years ago
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA