Mke wa Kingwendu Abakwa.
MKE wa Kingwendu ambaye ni muigizaji maarufu wa filamu za
vichekesho nchini amefanyiwa kitendo kibaya cha ubakaji na
mwanaume aliyefahamika kama Upunguvuku katika pagala moja huko
Mbagala Kingugi kwa Kisauti.
Mke wa Kingwendu anayejulikana zaidi kwa jina la mama
Maua, alikutwa na masahibu hayo Alhamisi iliyopita baada ya
kuvamiwa na Upunguvuku anayedaiwa kuwa alikuwa amelewa na
kuingizwa kwenye jumba ambalo halijasha kujengwa lililopo maeneo
ya Kwa Dunga ambapo wapita njia waliwafuma na kuanzisha
mtiti.....
Shuhuda wa tukio hilo ambaye hakutaka jina lake
liandikwe amesema kuwa, wakati tukio hilo linatokea, Kingwendu
mwenyewe alikuwa safarini na hivyo majirani zake ndio
waliomuokoa mkewe.
Hata hivyo baadhi ya majirani walioongea na mwandishi
wamedai kuwa wawili hao ( Upunguvuku na mama Maua) ni wapenzi
wa siku nyingi na wamekuwa wakionekana mara kadhaa wakienda
kunywa pombe za kienyeji.
"Huyu Upunguvuku ni fundi Mwashi, tunamfahamu vizuri kuwa
ni hawara wa mama Maua, mara kadhaa huwa tunawaona wakinywa
pombe za kienyeji pamoja, sema tu leo wamefumwa wakijivinjari
ndo mwanamke anamsingizia eti kambaka," alisema shuhuda mmoja.
Juhudi za kumpata Kingwendu kuongelea mkasa huo
hazikuzaaa matunda kutokana na simu yake kutopatikana kila
akipigiwa.
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA