Ray C Foundation wameanza kuyaona matunda ya kazi yao ya kuwasaidia
watu walioathirika na matumizi ya dawa za kulevya baada ya kumtibu video
Queen wa Ice Cream ya Noorah, Doreen kwa kutumia Methadone.
Ray C amepost instagram picha ya Doreen akionena kuwa na afya nzuri
tofauti na awali walipomchukua, na kuandika ujumbe kuhusu hali ilivyo.
Doreen akiwa na Ray C kabla ya kupata matibabu ya Methadone
“Video queen aliecheza kwenye video ya Noorah Ice cream Amerudi katika
Hali yake ya kawaida baada ya kuanza Tiba ya Methadone......Nafurahi
sana nikiona matunda ya Ray C Foundation..............Keep it up
girl!!!Nafurahi kukuona ukiwa na afya njema!!!!!!!Say No to Drugs!”
BONDE FC NI MABINGWA WAPYA WA BEIRA YOUTH CUP 2012
-
Timu ya Bonde fc jana iliibuka kuwa mabingwa wapya wa BEIRA YOUTH CUP 2012
ubingwa huo umepatikana baada ya kuibuka na ushindi wa gili 5-4 dhidi ya
New Bo...
11 years ago
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA