Apr 23, 2013

Mario Gotze kutua Bayern Munich majira ya joto


 Mario Gotze

Klabu ya  Borussia Dortmund imeweka wazi kuwa mchezaji wao Mario Gotze amekwisha saini mkataba na klabu ya Bayern Munich 

Klabu ambayo atajiunga nayo msimu wa majira ya joto. 

Hata napo kutokana na kitendo hicho mashabiki wa Borussia Dortmund wameamua kumuandikia ujembe katika ukurasa wake wa facebook na kumuita ni msaliti.  

Kocha Jurgen Klopp na mkurugenzi wa michezo Michael Zorc wamewaasa mashabiki kumunga mkono katika mechi zilizobakia

0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA