WINGA wa zamani wa Yanga SC, Said Maulid ‘SMG’ ameweka wazi kuwa yupo tayari kwa timu yoyote itakayomhitaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
SMG kwa sasa yupo nchini baada ya kumalizika kwa Ligi ya Angola msimu huu na kumaliza mkatawake katika timu ya Bravos iliyokuwa ikishiriki Ligi Kuu ya Angola ambayo ameitumikia kwa miaka mitano.
Akizungumza na Championi Jumatano, SMG alisema alirudi nchini tangu ligi hiyo ilipomalizika, sasa anasubiri ofa ya timu yoyote hapa Tanzania itakayohitaji huduma yake ili aweze kuitumikia
“Nimeshamaliza mkataba na Waangola na sasa hivi nipo huru kabisa nimeamua kurudi nyumbani, kama unavyojua mpira ndiyo kazi yangu na milango ipo wazi kwa timu yoyote ya nyumbani itakayonihitaji,” alisema SMG.
Personal information | |||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|
Full name | Said Maulidi Kalukula | ||||||
Date of birth | September 3, 1984 | ||||||
Place of birth | Namageni, Tanzania | ||||||
Height | 1.56 m (5 ft 1 in) | ||||||
Playing position | Striker | ||||||
Club information | |||||||
Current club | Onze Bravos | ||||||
Number | 7 | ||||||
Youth career | |||||||
1995-2000 | Simba SC | ||||||
Senior career* | |||||||
Years | Team | Apps† | (Gls)† | ||||
2001-2007 | Young Africans FC | 196 | (50) | ||||
2008-present | Onze Bravos | 52 | (32) | ||||
National team | |||||||
2000-2007 | Tanzania | 14 | (0) | ||||
* Senior club appearances and goals counted for the domestic league only and correct as of December 29, 2007. † Appearances (Goals). CHANZO NA http://www.globalpublishers.info/ |
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA