Jan 27, 2014

RAIS KIKWETE ATUA MAGOLE, AKAGUA DARAJA LA DUMILA, AONGEA NA WANANCHI


Helkopta iliyokuja na Rais Kikwete ikitua eneo la daraja la Dumila mkoani Morogoro leo.

 


Rais Kikwete akishuka katika helkopta aliyokuja nayo.
 
 
Rais JK akielekea kukagua daraja la Dumila lililokatika kutokana na mvua kubwa iliyonyesha eneo hilo.  

Rais Kikwete akikagua daraja hilo.
Rais Kikwete akisalimiana na wananchi wa kijiji cha Magole mkoani Morogoro waliokumbwa na mafuriko ambao kwa sasa wanaishi katika mahema yaliyopo Shule ya Sekondari Magole.
 


Rais Kikwete akisalimiana na bibi mmoja wa kijiji cha Magole. 

Rais Kikwete akiingia katika mojawapo ya hema.
 
 
...Akitafakari jambo


Wananchi wa Magole waliokumbwa na mafuriko.
Rais Kikwete (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi.

 
 
Rais Kikwete akiongea na wakazi wa Magole leo.
  Wananchi wa Magole wakiwa nje ya mahema yao.

RAIS Dk. Jakaya Kikwete leo ametua kwa helikopta kijijini Magole, Dumila ili kukagua daraja lililoharibiwa na mvua pamoja na kuongea na wananchi wa eneo hilo waliokumbwa na mafuriko yaliyotokea Januari 22, mwaka huu wilayani Mvomero, Morogoro.

chanzo na http://www.globalpublishers.info

 


0 Weka maoni yako hapa:

Post a Comment

COMMENT HAPA