Helkopta iliyokuja na Rais Kikwete ikitua eneo la daraja la Dumila mkoani Morogoro leo.
Rais Kikwete akishuka katika helkopta aliyokuja nayo.
Rais JK akielekea kukagua daraja la Dumila lililokatika kutokana na mvua kubwa iliyonyesha eneo hilo.
Rais Kikwete akisalimiana na bibi mmoja wa kijiji cha Magole.
...Akitafakari jambo.
Wananchi wa Magole waliokumbwa na mafuriko.
Rais Kikwete akiongea na wakazi wa Magole leo.
RAIS Dk. Jakaya Kikwete leo ametua kwa helikopta kijijini Magole, Dumila ili kukagua daraja lililoharibiwa na mvua pamoja na kuongea na wananchi wa eneo hilo waliokumbwa na mafuriko yaliyotokea Januari 22, mwaka huu wilayani Mvomero, Morogoro.
chanzo na http://www.globalpublishers.info
0 Weka maoni yako hapa:
Post a Comment
COMMENT HAPA