May 31, 2012

Lucas Leiva kulejea Liverpool

Lucas Leiva ameiambia leo tv ya Brazili yuko katika hatua za mwisho za matibabu yake kabla ya kulejea  katika klabu yake ya Liverpool kwa msimu huu .
Na kwa sasa yuko katika mazoezi mapesi kabla ya kurejea katika uwanja rasmi msimu huu.

Lucas Leiva amekuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi sita toka alipofanyiwa upasuajina sasa amebakiza mwezi mmoja tu kuwa fiti kabaisa na muda huu atarudi kwa kishindo katika kuisadia timu yake ambae ishindwa kuingia hata kwenye big four mwaka huu

Picture of  Lucas 
Lucas Leiva

TETESI ZA USAJIRI ULAYA

Dirk Kuyt kuendelea kubaki katika klabu yake ya sasa Liverpool licha ya klabu nyingi barani Ulaya kuonesha nia ya kumtaka 

Dirk Kuyt mwenyewe amesema atasaini tena mkataba baada ya kumalizika michuano ya Ulaya

Hata napo amesema atasaini tena ikiwa atakuwa na uhakika wa kuwepo katika kikosi cha kwanza 

Kop favourite: Fans wave flag in support of Dirk Kuyt of Liverpool  Mashabiki wa Liverpool wakimsapoti DIRK KUYT 

Goodbye: Kuyt looks to have played his last game for Liverpool DIRK KUYT alikuwa kama anawahaga mashabiki wa Liverpool katika mechi ya mwisho

May 30, 2012

HIVI NDIO UWANJA WA BONDE FOOTBALL CLUB ULIVYOHARIBIKA

Hii ndio hali ilivyokatika uwanja wa timu ya Bonde Fc ya Mwananyamala baada ya kuharibikwa kabisa na mvua zilizonyesha mapema mwaka huu.


Hivi ndio hali ilivyo katika uwanja wa Bonde Fc baada ya kuhalibiwa na mafuriko yaliyotokea mwanzoni mwa mwakaka huu.

Juzi timu ya Bongo Yetu ilipata nafasi ya kutembelea uwanja wa timu hiyo uliopo katika mipaka ya
Mwananyamala na Magomeni nakujionea jinsi ulivyoharibiwa na mvua hizo.

Kutokana na uhalibifu huo umesababisha timu hiyo kukosa sehemu ya uhakika ya kufanyia mazoezi na kulazimika kufanya mazoezi katika uwanja mdogo uliopo katika shule ya msingi Tuliani Magomeni

Pia amesema kutokana na hali hiyo amesema wachezaji wote wa timu hiyo wa under 14 wapekuwa hawatokei kabisa mazoezini kutokana na wengi kushindwa kuvuka barabara kuelekea Magomeni  kufanya mazoezi   

Hata napo kocha wa timu hiyo ndugu Issa Joseph amesema pia katika uwanja waliokuwa wanautumia wa shule ya msingi Tuliani pia wamesimamishwa kuhutumia na hivyo kwa sasa wamesimamisha mazoezi ya timu hiyo kwa muda mpaka watakapopata ufumbuzi wa uwanja wao.

Hivyo basi wameomba kwa wale wote wenye kupenda soka la watoto kujitokeza kusaidia katika kuokoa uwanja wao na hatimae watoto wapate sehemu ya mazoezi na waweze kuendelea na mashindano mbalimbali kama kawaida yao

Pia kocha huyo wa timu ya Bonde Fc alisema timu yake pamoja na matatizo yote hayo bado inakabiliwa na michuano mingi na migumu.
Miongoni mwa michuano hiyo ni kombe la PRINCE CUP 2012 inayochezwa katika uwanja wa Mwalimu Nyerere Magomeni Mwembechai haya ni kwa timu yao ya (U21)  na Tarehe 6/6/2012 itacheza na Faru Dume ya Magomeni

Nayo timu yao ya U17 inakabiliwa na timu michuano ya VIJANA CUP inayoendelea katika uwanja wa Muslim Kinondoni na Jumapili hii  ya tarehe 3/06/2012 itacheza na ABBA FC ya Kinondoni

Na pia timu ya U21 inakabiliwa na michuano ya ligi ya inayochezwa katika uwanja wa BEIRA Kigogo na Jumamosi hii itakuwa na kibarua kingine dhidi ya NEW TEAM ya Ilala kwani katika mechi ya awali timu ya Bonde Fc iliibuka na ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya Kigogo United.

Hiki ni kikosi cha Bonde Fc katika moja ya mechi zao katika uwanja wa BEIRA Kigogo
   

KIJUE KIKOSI CHA UJERUMANI KITAKACHOCHUANA KWENYE MICHUANO YA EURO 2012

Jana kocha wa Ujerumani Joachim Löw's alitaja majina ya wachezaji 23 watakao iwakilisha nchi hiyo kwenye michuano ya UEFA EURO 2012 itakayoanza mapema mwezi ujao hata napo kocha huyo imemlazimu kupunguza wachezaji wake wanne ambao hapo awali walikupo katika kambi ya timu hiyo ambayo ilikuwa na jumla ya wachezaji 27

Wachezaji walioachwa na kocha Joachim Löw's ni pamoja na kiungo wa Borussia Dortmund Sven Bender wengine ni golikipa Marc-André ter Stegen  kijana wa miaka18 Julian Draxler nae pia ameachwa Cacau pia nae amechwa katika kikosi hicho 

Cacau amesema hajafurahishwa na kuachwa kwake katika kikosi cha Ujerumani ila anaunga mkono uwamuzi wa kuteua vijana katika timu hiyo 

Hata napo kikosi cha Ujerumani kinaonekana kujaza viungo wengi kuliko washambuliaji 

Pia kikosi cha Ujerumani kitacheza mechi moja ya kirafi nnchini Israel May 31 kabla ya kuanza michuano kwani Ujerumani itacheza na Ureno

Hiki ndio kikosi cha Ujerumani 2012

Magolikipa 
       Manuel Neuer (FC Bayern München), Tim Wiese (SV Werder Bremen), Ron-Robert Zieler (Hannover 96)

Mabeki 
  Holger Badstuber (FC Bayern München), Jérôme Boateng (FC Bayern München), Benedikt Höwedes (FC Schalke 04), Mats Hummels (Borussia Dortmund), Marcel Schmelzer (Borussia Dortmund), Philipp Lahm (FC Bayern München), Per Mertesacker (Arsenal FC).

Viungo
         Lars Bender (Bayer 04 Leverkusen), Toni Kroos (FC Bayern München), Thomas Müller (FC Bayern München), Mesut Özil (Real Madrid CF), Sami Khedira (Real Madrid CF), Marco Reus (VfL Borussia Mönchengladbach), André Schürrle (Bayer 04 Leverkusen), Bastian Schweinsteiger (FC Bayern München), Mario Götze (Borussia Dortmund), İlkay Gündoğan (Borussia Dortmund).

Washambuliaje
   Miroslav Klose (S.S. Lazio), Mario Gomez (FC Bayern München), Lukas Podolski (1. FC Köln).

Picha chini ni  Cacau ambae ametemwa katika kikosi cha UjerumaniCacau among omissions from final Germany squad

HIKI NDIO KIKOSI CHA GREECE KITAKACHOPAMBANA KWENYE MICHUANO YA EURO 2012

Jana kocha wa Greece Fernando Santos aliwasilisha majina ya wachezaji 23 watakao hiwakilisha nchi hiyo katika michuano ya UEFA EURO 2012.

Huku akiwacha wachezaji wake wawili ambao ni  Alexandros Tziolis and Panagiotis Kone

Hata napo timu ya Greece itacheza mechi moja ya kirafiki nchini Austria May 31 kabla ya kuanza rasmi michuanao ya UEFA EURO 2012 


Na haya ndio majina ya wachezaji waliowasilishwa UEFA na Greece

Magolikipa 
Kostas Chalkias (PAOK FC), Michalis Sifakis (Aris Thessaloniki FC), Alexandros Tzorvas (US Città di Palermo).

Mabeki 
  Vassilis Torossidis (Olympiacos FC), Kyriakos Papadopoulos (FC Schalke 04), Sokratis Papastathopoulos (SV Werder Bremen), Avraam Papadopoulos (Olympiacos FC), José Holebas (Olympiacos FC), Giorgos Tzavellas (AS Monaco FC), Stelios Malezas (PAOK FC).

Viungo 
 Kostas Katsouranis (Panathinaikos FC), Giorgos Karagounis (Panathinaikos FC), Giannis Maniatis (Olympiacos FC), Giorgos Fotakis (PAOK FC), Grigoris Makos (AEK Athens FC), Giannis Fetfatzidis (Olympiacos FC), Sotiris Ninis (Panathinaikos FC), Kostas Fortounis (1. FC Kaiserslautern).

Washambuliaji
 Dimitris Salpingidis (PAOK FC), Giorgos Samaras (Celtic FC), Fanis Gekas (Samsunspor), Nikos Liberopoulos (AEK Athens FC), Kostas Mitroglou (Atromitos FC).

 Picha chini ni kiungo Kostas FortounisFortounis included in final Greece squad

May 25, 2012

Eden Hazard hakuna hatari kutakiwa na timu zaidi ya moja


Eden Hazard amesema haonai hatari kutokana na kutakiwa kwake na klabu kubwa za Uingereza yaani Manchester United Man City na Chelsea 
 Eden Hazard: hurry up and sign for someone, will you? 
Eden Hazard mchezaji ambaye kila klabu kubwa Uingereza inasubili saini yake

Amesema anachoangalia yeye ni nafasi yake ya kucheza kwani kila mchezaji anapenda kuona anapata nafasi ya kucheza na sio ukubwa wa klabu .
Wakala wake John Bico amesema wamekuwa katika mazungumzo ya makubaliano kwa pande zote kwani vijana wengi wa Ubelgiji wanapenda kucheza soka la kimataifa
 
Eden Hazard in action for Lille 
Eden Hazard watu wengi wanasubili maamuzi yakoe

Hata napo Eden Hazard atatoa maamuzi yake ni timu gani atachezea baada ya kumaliza mechi za kirafiki za timu yake ya taifa  kwani Ubelgiji itacheza Montenegro nchini Brussels siku ya Ijumaa na kisha kwenda Uingereza Wembley June 2 baada ya hapo Eden Hazard atatangaza maamuzi yake

May 24, 2012

Manchester United dismiss 'Malcolm Glazer dead' Twitter rumours


Manchester United dismiss 'Malcolm Glazer dead' Twitter rumours

Club sources confirm reports about the owner's health are not true
Hoax: A Twitter user claimed Malcolm Glazer had died
Hoax: A Twitter user claimed Malcolm Glazer had died
Getty
Manchester United have announced that rumours circulating on the internet about owner Malcolm Glazer are false.
It was claimed on various Twitter accounts this morning that Glazer had been reported as dead by the CNN news channel in the United States.
However, club sources have verified this is not true and the actual source of the story was also incorrect.
Glazer has not been a popular figure among United fans since his takeover of the club in 2005, which lodged a huge amount of debt next to the Red Devils.

Joel Glazer, Avram Glazer and Bryan Glazer, sons of owner Malcolm Glazer, are seen before the Champions League third
In charge: Joel, Avram and Bryan Glazer, sons of owner Malcolm Glazer
Getty
The day-to-day running of the Old Trafford outfit has been overseen by his sons Joel, Avi and Bryan since the American owner of the Tampa Bay Buccaneers NFL side suffered a stroke in April 2006.

LIVE England Training Session and Roy Hodgson Press Conference - England...

TIMU YA TAIFA YA UINGEREZA YAANZA MAZOEZI KUJIANDA NA MECHI YA KIRAFI DHIDI YA NORWAY

Leo asubuhi kwa mara ya kwanza kocha wa timu ya taifa ya Uingereza kwa ajiri ya kujianda na mechi dhidi ya Norway itakayo chezwa siku ya jumamosi 

Baada ya mazoezi hayo kocha mpya wa timu hiyo Roy Hodgson alifanya mkutano na waandishi wa habari na kueleza mipango yake kuelekea fainali za michuano ya mataifa ya Ulaya 

John Ruddy, Robert Green and Joe Hart during the training session at the Etihad Stadium 
  John Ruddy, Robert Green and Joe Hart wakiwa katika mazoezi yao leo asubuhi katika uwanja wa Etihad Stadium
 Gary Neville in action during the England Training session on May 24, 2012 at the Etihad Stadium in Manchester
Gary Neville akiwa katika mazoezi leo asubuhi katika uwanja Etihad Stadium in Manchester

 England coach Gary Neville in action with Theo Walcott during the England Training session in Manchester   
England coach Gary Neville in action with Theo Walcott during the England Training session in Manchester

Andy Carroll during an England training session at Etihad Stadium in Manchester 
 Andy Carroll akiwa katika mazoezi na timu yake ya taifa leo asubuhi

Steven Gerrard and Jermain Defoe during an England training session at Etihad Stadium in Manchester  
 Steven Gerrard na Jermain Defoe wakiwa katika mazoezi leo mjini Manchester

Roy Hodgson speaks to Glen Johnson during the England Training session at the Etihad Stadium 
 Roy Hodgson kocha wa England akiongea jambo na mchezaji wake Glen Johnson kipindi cha mazoezi yao leo

 
Makocha Roy Hodgson na Gary Neville wakiwa wanatazama mazoezi ya vijana wao

 
 Rob Green and Joe Hart wakiwa mazoezini leo 
Roy Hodgson during an England training session at Etihad Stadium 
  Roy Hodgson akiwa ametulia anafuatilia mazoezi ya vijana wake katika uwanja wa Etihad mjini Manchester

May 23, 2012

Manchester United wamtaka Leighton Baines wa Everton

Timu ya Manchester United inafanya mazungumzo na mchezaji wa Everton Leighton Baines ili aweze kusaini katika klabu hiyo katika kipindi hiki cha usajili Klabu ya manchester imetenga kiasi cha paund millioni 12 ili kuweza kumpata mchezaji huyo.hata napo Everton wao wanataka millioni 15 paund ili waweze kumuachia   Baines yeye anasibili kwanza michuano ya ulaya imalizike ndio aseme kama atakubali au laah

Leighton Baines: on his way to Old Trafford?     Leighton Baines yuko njiani  kutua Manchester United

May 22, 2012

MADRID CHELSEA ZAMTAKA LUKA MODRIC

Timu ya Real Madrid imesema macho yao yako kwa Luka Modric na wako tayari kubadilishana na Mfaransa Lassana Diarra na pesa kiasi cha paund million 22 Diarra ambae sasa ni muda mrefu amekuwa hayuko katika kikossi cha kwanza cha kocha Jose.

 

Hata napo Chelsea nao wanaonesha nia ya kumtaka Luka Modric tajiri wa Chelsea Roman Abromovich  amesema baada ya kutimiza ndoto yake ya kuchukua ubingwa wa club bingwa Ulaya sasa wanataka kutengeneza kikosi chao na kuwa imara msimu ujao na miongoni wa wachezaji wanaowataka ni pamoja na  Hazard na  Falcao

Wakati Chelsea wakijianda na usajili mshambuliaji wa timu hiyo Didie Drogba amesema kama hata pata mkataba wa miaka miwili basi atakenda kucheza soka nnchini China .

Swali lililobakia kwa chelsea ni kama itabaki na kocha wake wa sasa Di Matteo maana kocha huyu sio chaguo la kwanza la bodi ya Chelsea na chaguo lao lilikuwa kwa na hata kwa tajiri wao lilikuwa ni Pep Guardiola hata napo Pep Guardiola amesema anayaheshimu maamuzi yake ya kupumzika mwaka mmoja na si pesa wala nini kinachoweza badilisha maamuzi yake 
At last! Abramovich gets his hands on the European Cup - and now he's ready to spend 
Didie Drogba akiwa ameshikilia kombe la klab bingwa Ulaya

Eden Hazard in action for Lille  
Lille's Hazard chaguo la Chelsea
 Roberto Di Matteo lifts the Champions League trophy

May 21, 2012

Twiga yapoteza mchezo dhidi ya Banyana Banyana

http://www.tzaffairs.org/wp-content/uploads/2010/09/Twiga-5.jpg
Twiga stars jana ilishindwa kutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani baada ya kukubali kipigo cha goli 5-2 dhidi ya timu ya wanawake wenzao wa kutoka Afrika Kusini. 

Hii inakuwa ni mechi ya nne imeshapoteza michezo mingine dhidi ya Bongo Movies, Wabunge na timu ya wanawake toka Zimbabwe.

Na hii ikiwa ni katika michezo ya kujipima nguvu kujiandaa na mchezo dhidi ya Waethiopia katika michuano ya kuwania tiketi ya kushiriki michuano ya Afrika itakayofanyika Africa kusini.

May 17, 2012

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI



PATRICK Mutesa Mafisango (32), mchezaji tegemeo wa Simba SC amefariki dunia jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo katika eneo la Keko jirani na Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam.

Mafisango alikufa kutokana na ajali iliyotokea wakati gari alilokuwa akiendesha lilipogonga mti ulio pembezoni mwa barabara ya Chang’ombe majira ya saa kumi kasorobo alfajiri. Marehemu alifariki papo hapo.

Kwenye gari aliyokuwamo Mafisango, kulikuwapo na abiria wengine wanne lakini ni Mafisango pekee ndiye aliyefariki dunia.
Mwili wa Marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili tayari kwa kusafirishwa kwenda kwao Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako atazikwa.

Ingawa alikuwa na uraia wa Rwanda na akiichezea timu ya taifa ya nchi hiyo (Amavubi), Mafisango alikuwa ni mzaliwa na raia wa DRC na uamuzi wa kuzikiwa huko ni wa familia yake.

Msiba wa Mafisango uko katika eneo la Keko Toroli jirani na kituo cha Chang’ombe Maduka Mawili (Njia Panda Sigara).

Mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa kesho Ijumaa saa nne asubuhi katika viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar es Salaam kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Kinshasa majira ya saa kumi jioni.

Mafisango alizaliwa Machi 30, 1980 huko Kinshasa Zaire wakati huo na ameacha mke na mtoto mmoja wa kiume, Chris Paul, mwenye umri wa miaka mitano.

Mafisango ameichezea Simba kwa msimu mmoja tu akitokea Azam ya Dar es Salaam lakini kabla ya hapo alichezea pia TP Mazembe ya DRC, APR ya Rwanda na pia aliwahi kuwa nahodha wa Amavubi kwa takribani miaka mitano.

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, Makamu wake, Geofrey Nyange Kaburu na wajumbe wa kamati ya watendaji wameeleza kusikitishwa kwao na msiba huu mkubwa kwa klabu na wamewataka wana Simba wote kuwa watulivu na kumwombea marehemu Mungu amlaze mahali pema peponi.

Uongozi wa Simba unaahidi kuwa utatoa taarifa nyingine zozote muhimu kwa wananchi ili wafahamu kuhusu msiba huu pale itakapotokea.

Imetolewa na
Ezekiel Kamwaga
Ofisa Habari
Simba SC
17/5/2012

Breacking Newzzzzzzz Mafisango afariki dunia

Habari  zilizotufikia hivi punde zinasema aliyekuwa mchezaji wa timu ya Simba Spoti Club Patrick Mafisango amefariki dunia leo alfajili kwa ajari ya gari iliyotokea maeneo ya Tazara blog yenu ya Bongo Yetu inaendelea kufuatilia vizuri habari hizi na muda si mrefu mtazipata kwa undani


Pia blog yetu inatoa pole kwa ndugu  jamaa na marafiki viongozi wachezaji na mashabiki wa Simba Spoti Club 
Mungu ailaze mahari pema roho ya marehemu amina

Chini ni Patrick Mafisango enzi za uhai 

http://www.dullonet.com/sports/wp-content/uploads/2012/04/Mafisango.jpg

May 9, 2012

LIVERPOOL YAIGALAGAZA CHELSEA 4-1

Jana timu ya Liverpool ililipa kisasa cha kufungwa na Chelsea kataka fainali ya FA.
Baada ya kuitandika Chelsea goli 4-0 huku ikionekana kushambulia kwa kasi sana na kujiami tofauti na siku ilipocheza fainali.
Alikuwa ni Luis Suarez aliefungua milango ya magoli kwa upande wa LIVERPOOL

JOY ... Liverpool players congratulate Luis Suarez after the first goal   Wachezaji  wa Liverpool wakimpongeza Luis Suarez baada ya kufunga goli la kwanza dhidi ya Chelsea

 OPENER ... Luis Suarez's ball is turned into his own net by Michael Essien    
 Luis Suarez akifanya vitu vyake jana

DAN THE MAN ... Daniel Agger stoops to head in Liverpool's third    
Daniel Agger ikiwa ameinama kushuhudia kichwa alichopiga kikitinga nyavuni

GREAT DANE ... Liverpool players celebrate with Daniel Agger        
Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza Daniel Agger baada ya kufunga goli

WOODWORK ... Stewart Downing fires his penalty against the post     
Stewart Downing akimchambua kipa kwa penati safi sana

RAM RAID ... Ramires gets one back for Chelsea    
Ramires akifunga goli la kufutia machozi kwa Chelsea 

THE FOUR KOPS ... Jonjo Shelvey seals Liverpool's win   
Jonjo Shelvey seals Liverpool's win
 STEVIE GLEE ... Steven Gerrard watches from the directors' box at Anfield  
Steven Gerrard alikuwa akishuhudia timu yake ikitoa kipigo kwa Chelsea 

star wa mchezo alikuwa  LUIS SUAREZ



May 6, 2012

SIMBA YAUA TAIFA YAIPIGA YANGA 5-0

TIMU YA SIMBA YA DAR ES SALAAM LEO IMEDHIHILISHA KWAMBA MWAKA HUU NI MOTO WA KUOTEA MBALI BAADA YA KUWAFUNGA WATANI ZAO WA JADI YANGA JUMLA GOLI   5-0  ILIKUWA NI DAKIKA YA KWANZA NA SEKUNDE 18 SIMBA ILIPOPATA GOLI LA KUONGOZA MFUNGAJI AKIWA EMENUEL OKWI 

UBAO WA MATANGAZO YLIKUWA UNASOMEKA HIVI  DAKIKA YA 84 HUKU MASHABIKI WA YANGA WAKIWA MAMEKATA TAMAA NA KUANZA KUTOKA UWANJANI .


   OKWI MFUNGAJI WA GOLI LA KWANZA KWA UPANDE WA SIMBA


MASHABIKI WENGI LEO WALIONEKANA KUMCHUKIA SANA MCHEZAJI WAO NURDINI BAKARY HUKU WAKIMSHUMU KUWA HATA SIKU MOJA YEYE HUWA HAIFUNGI SIMBA NA NDIO SABABU KAWAKOSESHA USHINDI KIPINDI CHA KWANZA


KIPINDI CHA KWANZA KWANI YANGA WALIONEKANA KUWAWINI VIZURI SIMBA TATIZO LIKAWA NI UMALIZIAJI WAO MBOVU TU



 MASHABIKI WA SIMBA WALIOJITOKEZA UWANJANI TAIFA KUSHUHUDIA TIMU YAO IKIIFUNGA YANGA
 MASHABIKI WA YANGA HAWAKUJITOKEZA KAMA KAWAIDA YAO UNAWEZA SEMA WALIJUA NINI KITATOKEA


WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA WAMEMBEBA KOCHA WAO JUU JUU BAADA YA MPIRA KWISHA 


EMANUEL OKWI AKIVAA MEDALI YAKE BAADA YA SIMBA KUWA MABINGWA WAPYA WA TANZANIA BARA




JAMA KASEJA NAHODHA WA TIMU YA SIMBA AKIKABIDHIWA KOMBE NA WAZIRI MPYA WA HABARI VIJANA NA MICHEZO  DK FENELA MKANGALA 


WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA WANASHANGILIA BAADA YA KUKABIDHIWA KOME LAO 
  
 WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA WAMEONYESHA ISHARA YA TANO DHIDI YA WATANI ZAO YANGA 

May 4, 2012

JOSE MOURINHO AWATOLEA NJE CHELSEA

JOSE MOURINHO amemwambia Roman Abramovich kuwa ataendelea kubaki Real Madrid na kuwa hawezi kurudi Stamford Bridge.

Lakini CHELSEA inafanya mawasiliano na kocha anaeachia ngazi katika timu ya BARCELONA Pep Guardiola kama wanaweza kumpata 

 Moulinho akiwa na Pep Guardiola

Abramovich’s chaguo lake la kwanza ni Pep Guardiola 41-year-old ambe ameishi kwa miaka 4 Now Camp anategemea kumpata kipindi hiki cha msimu wa majira ya joto.japo kuwa Abramovich alikuwa akitegemea kumchua  Jose Mourinho ila matumaini yalipotea baada ya Mourinho kusema ataendelea kubaki SPAIN kwa msimu mwingine

May 2, 2012

LIVERPOOL YALALA 1-0 DHIDI YA FULHAM

Jana usiku timu ya Liverpool ilishindwa kutumia vyema uwanja wake wa nyumbani baada ya kukubali kipigo cha goli 1-0 dhidi ya Fulham kutokana na kipigo hicho Liverpool imezidi kungangania nafasi ya 8 na hivyo kukosa nafasi ya kucheza michuano ya ulaya mwakani 

pamoja na timu ya Liverpool kusajiri wachezaji wengi sana mwaka huu na kuwa moja ya timu ambazo mwaka huu zilitumia hela nyingi katika usajiri lakini imeambulia patupu na mashabiki wake wamebaki na sitofahamu juu ya hatima ya timu yao 

THAT'S GOT TO SKRT ... Martin Skrtel turns into his own net 
 Martin Skrtel hajui la kufanya akiwa amezidiwa ujanja jana hiyo.
FUL TILT ... Fulham players celebrate taking the lead
wachezaji wa Fulham wakiwa wanajipongeza baada ya kuifunga Liverpool goli 1-0

 JO DEAR ... Jonjo Shelvey rues a missed chance
John Arne Riise akiwa ameficha sura yake baada kupoteza nafasi 

Star wa mchezo wa jana alikuwa BREDE HANGELAND   wa Fulham

vikosi vilikuwa kama ifuatavyo 

 LIVERPOOL: Doni 7, Kelly 6, Coates 6, Skrtel 6, Aurelio 5, Henderson 5, Shelvey 6, Spearing 6, Maxi 6, Carroll 7, Kuyt 6. Subs: Downing (Henderson 46) 7, Enrique (Aurelio 65) 7, Sterling (Kuyt 76) 6. Not used: Jones, Carragher, Flanagan, Robinson. 

 FULHAM: Schwarzer 7, Kelly 7, Hangeland 8, Hughes 8, JA Riise 7, Duff 7, Murphy 7, Dembele 7, Kacaniklic 7, Dempsey 8, Pogrebnyak 6. Subs: Frei (Kacaniklic 58) 7, Etuhu (Pogrebyak 80) 6, Baird (Dembele 86) 6. Not used: Stockdale, Briggs, Kasami, Sa. 

REF: L Probert 7